Soseji zapigwa marufuku nchini Korea Kaskazini!

Soseji zapigwa marufuku nchini Korea Kaskazini!

Huyu mwamba ana wanyoosha wananchi wake kama Mwalimu Nyerere, TV zilipigwa marufuku na mambo mengine ya kipuuzi ya kijamaa.

Sometimes naonaga wajamaa kama vile ni watesi wa wananchi
Mmmh! Hapo mi naona dish limeyumba kidogo. Wananchi waliokuweka madarakani unapata wapi ujasiri wa kuwatesa?
 
Mwanajeshi vitani halo hovyo,hao wapo chini ya jeshi la urusi
Si wahenga walisemaga "ukienda kuishi Roma, ishi kama wanavyoishi Waroma"
Manake; kama Warusi wanakula hiyo kitu, we Mkorea ni nani hutaki kula?
 
Bro una hamu??
Sina Pesa ya kukupa na umasikini wangu, true love is the only thing i can to you my love 😘

Ninakupenda mnoo cha utundu wewe. Nilikwambia PM kwa kutumia ID ile na sasa ninakuambia kwa ID hii..
 
Back
Top Bottom