Soseji zapigwa marufuku nchini Korea Kaskazini!

Soseji zapigwa marufuku nchini Korea Kaskazini!

Huyu mwamba ana wanyoosha wananchi wake kama Mwalimu Nyerere, TV zilipigwa marufuku na mambo mengine ya kipuuzi ya kijamaa.

Sometimes naonaga wajamaa kama vile ni watesi wa wananchi
Huyo mwamba huwa anapiga marafuku tu kwa wananchi kawaida, ila elite class inayoish mji mkuu wanaruhusiwa
Double standard ni kubwa sana
 
Wewe ni mkorea?unaacha kuandika habari za msingi za nchi yako unapamia za Wakorea ambazo hazikuhisu,
Bure kabisa!!!
 
Sisi na Korea Kaskazini ni MAZOMBI wa WATAWALA. China na Urusi kuna ka unafuu kidogo. WATASHI O SHINJITE.
China na Urusi kuna unafuu kidogo kuliko Tanzania???? Are you serious?
Kwa taarifa yako, China na Urusi kuna tawala za kidhalimu na za kidikteta sawa sawa na Tanzania au Korea ya Kaskazini, hakuna nchi yenye unafuu. Aidha, China ndiyo nchi inayoongoza kwa Sasa hapa duniani kwa kuua au kunyonga Watu wengi zaidi nje ya Mfumo wa Mahakama zikifuatiwa na nchi za kiArab kama vile Pakistan, Iran, Afghanistan, n.k. Nchini China au Urusi ukithubutu kuukosoa Utawala uliopo au kumkosoa mtawala yoyote yule kitakachofuatia ni mkosoaji kutekwa na kisha, kuteswa sana na mwisho wake atauawa. Nchini China au Urusi, kumkosoa mtawala yoyote yule hususani Rais wa nchi ni sawa sawa na kujikatia tiketi ya kifo.

Ukiwa nchini China au Urusi, ukimkosoa Rais wa nchi hizo lazima utambue ya kwamba utaadhibiwa kwa kuuawa, aidha utauawa kwa kutekwa na kuangamizwa au utauawa kwa kuwekewa sumu kwa Siri ili ufe. Mapolisi wa Siri au Mawakala wa Siri kutoka kwa Magenge ya Ujasusi ya Serikali huwa wako busy Sana kufanya kazi hiyo ya kuua Watu wakosoaji wa Serikali. Take a great Care!
 
China na Urusi kuna unafuu kidogo kuliko Tanzania???? Are you serious?
Kwa taarifa yako, China na Urusi kuna tawala za kidhalimu na za kidikteta sawa sawa na Tanzania au Korea ya Kaskazini, hakuna nchi yenye unafuu. Aidha, China ndiyo nchi inayoongoza kwa Sasa hapa duniani kwa kuua au kunyonga Watu wengi zaidi nje ya Mfumo wa Mahakama zikifuatiwa na nchi za kiArab kama vile Pakistan, Iran, Afghanistan, n.k. Nchini China au Urusi ukithubutu kuukosoa Utawala uliopo au kumkosoa mtawala yoyote yule kitakachofuatia ni mkosoaji kutekwa na kisha, kuteswa sana na mwisho wake atauawa. Nchini China au Urusi, kumkosoa mtawala yoyote yule hususani Rais wa nchi ni sawa sawa na kujikatia tiketi ya kifo.

Ukiwa nchini China au Urusi, ukimkosoa Rais wa nchi hizo lazima utambue ya kwamba utaadhibiwa kwa kuuawa, aidha utauawa kwa kutekwa na kuangamizwa au utauawa kwa kuwekewa sumu kwa Siri ili ufe. Mapolisi wa Siri au Mawakala wa Siri kutoka kwa Magenge ya Ujasusi ya Serikali huwa wako busy Sana kufanya kazi hiyo ya kuua Watu wakosoaji wa Serikali. Take a great Care!
Noted.
 
Hivi hakuna raia anaweza akajitoa ufahamu akamla kichwa?

akijitoa kafara mtu mmoja ni kama katoa kafara ukoo.. watateswa had panya walioko nyumbani kwake.. narudia kusema "Ukoo sijasema familia ' north Korea kumbuka kusafiri tu ni lazima upate kibali ukijifanya umetoroka ukavuka boda na ukikimbia nchi kisha wakakukosa au wakakukamata wewe na UKOO WAKO vyote vinavyohusika na ukoo wako hadi mifugo..watapata tabu maisha yao yote yaliobaki.. ( wanapelekwa kwenye camp za kilimo na ujenzi kazi yao ni kulima na kujenga hadi dunia iishe)

hata kama kuna mtu mjamzito mtoto akizaliwa anaingizwa kwenye utumwa huo.. ndo maana watu hawathubutu maana wanajua atakuwa amesign death sentence kwa kizazi chake cha sasa na kijacho

fikiria uko mji mwingine wazee wa serikali wanakuja kukuchuka na familia yako mnapelekwa kwenye camp za mateso kisa kaka yako ambaye yuko mji mwingine amefanya kosa la kutaka "ku defect" yaani kitendo cha wewe kuwa na nasaba naye tu inakucost wewe na familia yako..

hiyo staili ipo toka enzi ya baba yake kim na alifundishwa na wababe wa ukomunist ( urusi na Italia) enzi za Musolini na Stallin, ili kuingiza hofu ya watu wasithubutu chochote ndo wakaja na stail ya kuadhibu familia na ukoo mzima
 
Huyu mwamba ana wanyoosha wananchi wake kama Mwalimu Nyerere, TV zilipigwa marufuku na mambo mengine ya kipuuzi ya kijamaa.

Sometimes naonaga wajamaa kama vile ni watesi wa wananchi
Wapo kwenye gereza waliloruhusiwa kutembea na kulala nyumbani huku uhuru wao ukimilikiwa na nyapala mkuu kiduku
 
Ujamaa ni mfumo wa utawala unaomfanya kiongozi wa juu aonekane mkubwa kupita kiasi.

Nchi za kijamaa Serikali ina fedha ila raia ni makapuku.


Wananchi wa kawaida wanatabika mno huku watawala wakiwatenda watakavyo bila kuhojiwa.
Ujamaa ulifelishwa kwa nguvu na marekani. Ujamaa si mfumo mbaya wa maisha.
 
Katika muendelezo wa sheria za ajabu na za hovyo huko Korea Kaskazini, mtawala wa taifa hilo Kim Jong (Kiduku) amepiga marufuku ulaji wa soseji akisema ni chakula cha utamaduni uliopitiliza wa kibepari wa magharibi.
---

North Koreans have reportedly been banned from eating hot dogs as part of a crackdown on Western culture infiltrating the hermit kingdom.

Dictator Kim Jong Un has declared that serving the sausage was an act of treason, The Sun reports, amid the rising popularity of a South Korean dish inspired by the US.

People caught selling or cooking hot dogs face the prospect of time in the country’s infamous labor camps, while Pyongyang has also decreed that divorcees could also be jailed.

As part of the regime’s efforts to quash capitalist culture among citizens, it has forbidden the sale of budae-jjigae – a dish imported from pro-Western neighbor South Korea.

North Korean dictator Kim Jong Un has banned the sale of South Korean dish budae-jjigae.

North Korean dictator Kim Jong Un has banned citizens of eating hot dogs. Korean Central News Agency/Korea News Service via AP

People caught selling or cooking hot dogs can face time in a labor camp.

People caught selling or cooking hot dogs can face time in a labor camp. Paul Martinka

The spicy Korean-American hotpot – which means “army base stew” – includes hot dogs or spam among it ingredients.

It was born from meats discarded by US soldiers based in the region during the Korean War of the 1950s, with hungry locals using the items to create stews.

The fusion fare is believed to have crossed the border into North Korea some time in 2017, decades after it was invented in the south.
Go Kim ,hii ndio tunahitaji,watu wale raw foods kwa afya za mataifa yao,na uchumi bora
 
Ujamaa ulifelishwa kwa nguvu na marekani. Ujamaa si mfumo mbaya wa maisha.
Kama ujamaa siyo Mfumo mbaya wa maisha basi badili uraia wako ili uwe raia wa Korea ya Kaskazini, na uhamie huko Korea ya Kaskazini ili uishi huko kwa muda wako wote wa uhai wako uliobakia hapa duniani
 
Kama ujamaa siyo Mfumo mbaya wa maisha basi badili uraia wako ili uwe raia wa Korea ya Kaskazini, na uhamie huko Korea ya Kaskazini ili uishi huko kwa muda wako wote wa uhai wako uliobakia hapa duniani
Hivi umeekewq nilichoandika. Narudia ujamaa siyo mfumo mbaya wa maisha.

Marekani alitumia nguvu kubwa kuufanya ujamaa ufeli akapindua na kuua viongozi wote waliokua wana mawazo ya kijamaa dunia nzima kulinda interest zake hivyo kupelekea nchi za ujamaa kuwa masikini. Kwa sasa hivi kuuishi ujamaa ni ngumu sababu utawekewa vikwazo vya kila aina na mtaishi kimasikini.

Ujamaa kama mfumo si mbaya sema circumstances haziruhusu kuuishi ujamaa.
 
Hivi umeekewq nilichoandika. Narudia ujamaa siyo mfumo mbaya wa maisha.

Marekani alitumia nguvu kubwa kuufanya ujamaa ufeli akapindua na kuua viongozi wote waliokua wana mawazo ya kijamaa dunia nzima kulinda interest zake hivyo kupelekea nchi za ujamaa kuwa masikini. Kwa sasa hivi kuuishi ujamaa sababu utawekewa vikwazo vya kila aina na mtaishi kimasikini.

Ujamaa kama mfumo si mbaya sema ircumstances haziruhusu kuuishi ujamaa.
Kwa nini ujamaa ulishindwa USSR/Urusi?
 
Back
Top Bottom