South Africa wapeleka wanajeshi zaidi 700-800 na VIFAA Vizito vya kivita kupambana na M23

South Africa wapeleka wanajeshi zaidi 700-800 na VIFAA Vizito vya kivita kupambana na M23

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
BAADA ya WANAJESHI WAO kuuwawa na M23

South Africa imetuma WANAJESHI zaidi ya 700 na VIFAA vizitooo

Imeomba nchi za SADC na EAC kushirkiana kuuondoa MAGAIDI WA M23 wakiachwa wataenea Africa nzima

USHAURI tu wapendwa Hawa n majangili magaidiiii

Pale mnapoweza kupambana nao pambaneni nao tusiwaogope hao WA Rwanda kama n damu na imwagike warudishwe kwao kama walivyoua WA congo

Leo BBC wanaonyesha UN wanavyolilia watoto zaidi ya 700 waliuwawa walipoona baba zao na mama zao wamekufa wakachukua mawe na silaha kupambana na M23

Nilisema Hawa mbwa sio WA kucheka NAOO KUNA siku wataamkia nchi za jirani tuanze kuulizana

Dawa yao n kuwa flash mapema wasahaulike kama waliokuwepo

HUYO Bwana anaesema anajilinda huku wakiiba madini congo aliwahi kutishia nchi moja atawamaliza wakamwambia Wala WANAJESHI watakaokupiga hawatoki makao makuu watatokea kipande tu SEHEMU jirani ya nchi yakoo

Hahahaaaa akafunga mdomo mpaka Yesu atakaporudi na hakuwahi KUKANYAGIA hio nchi mpaka kulipofanyika uchaguzi kupata RAIS mpya ndipo akaonekana...

Hii nchi n kuiwekea vikwazo na kuwachakaxa hao M23 wakajutr kwa waliowattuma tuliingia choo cha kike

USHAURI wangu

WANAJESHI WA SADC na EAC tuungane wapendwa kujisaidia congo sijui kama mbona MAUWAJI ya wale wananchi na watoto

Sijui kama majuzi mmeona UN wakishusha Ile miili kwenye kaburi xs pamoja

Leo tunaogopa HATA KWENDA congooo

Madreeva wetu wamelalama gari zao zimeibiwa vitu kupitia chama chao

NXTY.....

Mungu IBARIKI EAC. Na Sadc
 
BAADA ya WANAJESHI WAO kuuwawa na M23

South Africa umetuma WANAJESHI zaidi ya 700 na VIFAA vizitooo

Imeomba nchi za SADC na EAC kushirkiana kuuondoa MAGAIDI WA M23 wakiachwa wataenea Africa nzima

USHAURI tu wapendwa Hawa n majangili magaidiiii

Pale mnapoweza kupambana nao pambaneni nao meiwaogope hao WA Rwanda kama n damu na imwagike warudishwe kwa kama walivyoua WA congo

Leo BBC wanaonyesha in wanavyolilia watoto zaidi ya 700 waliuwawa walipoona baba zao na mama zao wamekufa wakachukua mawe na silaha kupambana na M23

Nilisena Hawa mbwa sio WA kucheka NAOO KUNA siku wataamkia nchi za jirani tuanze kuulizana

Dawa yao n kuwa flash mapema wasahaulike kama waliokuwepo

HUYO Bwana anaesema anajilinda huku wakiiba madini congo aliewahi kutishiwa nchi moja atawamaliza wakamwambia Wala WANAJESHI watakaokupiga hawatoki makao makuu watatokea kipande tu SEHEMU jirani ya nchi yakoo

Hahahaaaa akafunga mdomo mpaka Yesu atakaporudi na hakuwahi KUKANYAGIA hio nchi mpaka kulipofanyika uchaguzi kupata RAIS mpya ndipo akaonekana...

Hii nchi n kuiwekea vikwazo na kuwachakaxa hao M23 wakajutr kwa waliowattuma tuliingia choo cha kike

USHAURI wangu

WANAJESHI WA SADC na EAC tuungane wapendwa kujisaidia congo sijui kama mbona MAUWAJI ya wale wananchi na watoto

Sijui kama majuzi nimeona UN wakishusha Ile miili kwenye kaburi la zpamoja

Leo tunaogopa HATA KWENDA congooo

Madeeva wetu wamelalama gari zao zimeibiwa vitu kupitia chama chao

NXTY.....

Mungu IBARIKI EAC. Na Sadc

Watu Wapenda Haki wanapaswa kuwaunga mkono M23.
M23 wapo sahihi kabisa, wamelazimika kutumia mitutu ya bunduki kwa sababu hakuna njia nyingine mbadala ya kuweza kutatua Mgogoro huo.

"Njia pekee ambayo Wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na Watawala wao ambao ni Madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote Mbili ni kwa kupitia mtutu wa bunduki."

Jeffs O'Brien.
 
BAADA ya WANAJESHI WAO kuuwawa na M23

South Africa imetuma WANAJESHI zaidi ya 700 na VIFAA vizitooo

Imeomba nchi za SADC na EAC kushirkiana kuuondoa MAGAIDI WA M23 wakiachwa wataenea Africa nzima

USHAURI tu wapendwa Hawa n majangili magaidiiii

Pale mnapoweza kupambana nao pambaneni nao tusiwaogope hao WA Rwanda kama n damu na imwagike warudishwe kwao kama walivyoua WA congo

Leo BBC wanaonyesha UN wanavyolilia watoto zaidi ya 700 waliuwawa walipoona baba zao na mama zao wamekufa wakachukua mawe na silaha kupambana na M23

Nilisema Hawa mbwa sio WA kucheka NAOO KUNA siku wataamkia nchi za jirani tuanze kuulizana

Dawa yao n kuwa flash mapema wasahaulike kama waliokuwepo

HUYO Bwana anaesema anajilinda huku wakiiba madini congo aliwahi kutishia nchi moja atawamaliza wakamwambia Wala WANAJESHI watakaokupiga hawatoki makao makuu watatokea kipande tu SEHEMU jirani ya nchi yakoo

Hahahaaaa akafunga mdomo mpaka Yesu atakaporudi na hakuwahi KUKANYAGIA hio nchi mpaka kulipofanyika uchaguzi kupata RAIS mpya ndipo akaonekana...

Hii nchi n kuiwekea vikwazo na kuwachakaxa hao M23 wakajutr kwa waliowattuma tuliingia choo cha kike

USHAURI wangu

WANAJESHI WA SADC na EAC tuungane wapendwa kujisaidia congo sijui kama mbona MAUWAJI ya wale wananchi na watoto

Sijui kama majuzi mmeona UN wakishusha Ile miili kwenye kaburi xs pamoja

Leo tunaogopa HATA KWENDA congooo

Madreeva wetu wamelalama gari zao zimeibiwa vitu kupitia chama chao

NXTY.....

Mungu IBARIKI EAC. Na Sadc
Watarudi maiti huko m23 they means bussiness
 
Plan wanayotumia ni kuifanya M23 iingie gharama kubwa kiasi cha kuifanya Rwanda na wadhamini kugive up kitu ambacho ni impossible.

M23 wengi wao ni raia wa Congo walionunuliwa .

Unless Kagame, museven na watoto wake watolewe ikulu vita ndo itaisha, kinyume na hivyo shika jembe ukalime vita bado ni mbichi .
 
Kimsingi hata mimi siwaungi mkono m23 ,,,kwanini ??

Japo historia inaonesha kuwa mgogoro huu unasababu nyingi lakin kubwa kabisa ni kuwa M23 hawa ni wezi wa Ardhi ya Congo kivipi ??

Wakati wa genocide ,, watusi wengi walikimbilia Congo wakapewa hifadhi na Congo .. huku wa-Congo hawa wakiwa na imani kuwa pindi hali itakapotulia kwao (Rwanda ) watu hawa watarudi kwao na kuwaachia nchi yao ..

Lakin ,,, baada ya hali kutulia Rwanda,,, watu hawa hawakutaka kurudi tena kwao Rwanda ,,, wamekuwa wakiishinikiza serikali ya Congo iwatambue kama wa -Congo na siyo kama wakimbizi toka Rwanda ,,, je ,, ungekuwa wewe ungekubali ??

Serikali ya Congo inajua fika kabisa ikiwatambua kama wa - Congo ,, tafsiri yake ,, imekubali kumruhusu adui ndani ya Nchi ,, imekubali kagame itawale Rwanda lakin pia aitawale Congo ..

Hivyo ,, mimi nipo pamoja na serikali ya Congo ,, nipo pamoja na south Africa ,,nipo pamoja na nchi yeyeto ile inayowapinga M23 ..
 
Kimsingi hata mimi siwaungi mkono m23 ,,,kwanini ??

Japo historia inaonesha kuwa mgogoro huu unasababu nyingi lakin kubwa kabisa ni kuwa M23 hawa ni wezi wa Ardhi ya Congo kivipi ??

Wakati wa genocide ,, watusi wengi walikimbilia Congo wakapewa hifadhi na Congo .. huku wa-Congo hawa wakiwa na imani kuwa pindi hali itakapotulia kwao (Rwanda ) watu hawa watarudi kwao na kuwaachia nchi yao ..

Lakin ,,, baada ya hali kutulia Rwanda,,, watu hawa hawakutaka kurudi tena kwao Rwanda ,,, wamekuwa wakiishinikiza serikali ya Congo iwatambue kama wa -Congo na siyo kama wakimbizi toka Rwanda ,,, je ,, ungekuwa wewe ungekubali ??

Serikali ya Congo inajua fika kabisa ikiwatambua kama wa - Congo ,, tafsiri yake ,, imekubali kumruhusu adui ndani ya Nchi ,, imekubali kagame itawale Rwanda lakin pia aitawale Congo ..

Hivyo ,, mimi nipo pamoja na serikali ya Congo ,, nipo pamoja na south Africa ,,nipo pamoja na nchi yeyeto ile inayowapinga M23 ..
Huna taarifa za kutosha kuhusu historia ya Mgogoro huo.

Tangu enzi za mwanzo za Utawala wa Mobutu Sese Seko miaka ya 1960s Mgogoro huo ulikuwepo.

Pia kumbuka kwamba: Jenerali Kabarebe aliwahi kuwa Mkuu wa Majeshi nchini DRC (Zaire) na baadaye alihama nchi na kwenda kuwa Mkuu wa Majeshi nchini Rwanda
 
Ndoto ya m23 wanataka kutengeneza hima empire.
1000016996.jpg
 
Watu Wapenda Haki wanapaswa kuwaunga mkono M23.
M23 wapo sahihi kabisa, wamelazimika kutumia mitutu ya bunduki kwa sababu hakuna njia nyingine mbadala ya kuweza kutatua Mgogoro huo.

"Njia pekee ambayo Wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na Watawala wao ambao ni Madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote Mbili ni kwa kupitia mtutu wa bunduki."

Jeffs O'Brien.
Hapa unaunga mkono nchi moja kuvamia nyingine bila sababu ya msingi,

unamuunga mkono Kagame kupeleka majeshi yake na kujifanyai m23 ili kupora madini ya Congo, kwa kisingizio dhaifu kuwa watusi wa Congo wanatengwa.
 
Back
Top Bottom