South Africa wapeleka wanajeshi zaidi 700-800 na VIFAA Vizito vya kivita kupambana na M23

South Africa wapeleka wanajeshi zaidi 700-800 na VIFAA Vizito vya kivita kupambana na M23

SADC na SA hakuna walichofanya Msumbiji ile kazi iliwashinda, askari wa kukodi aka mercenaries wa kikaburu kutoka SA nan Wagner ndio waliua sana IS nao wakashindwa mpaka Serikali ya Mozambique na jamaa wa Total France (France) walipoamua kuwacontract RPF (Rwanda) kuja kuweka mambo sawa, sasa pametulia na RPF wapo huko wanashika doria.
Unaongea vitu unajichanganya mwenyewe mara askari wa kikaburu kutoka SA ndio waliua sana navyokwambia hao jamaa ni hatari muulize Kagame mpaka wameuawa Askari 13 wa SA hao Wanyarwanda wamekufa wangapi mpaka Kagame anamchukia Ramaphosa kama alivyomchukia Kikwete kipindi kile hivi vikosi vya kulinda amani wao wakiua huwa hawatangazi kabisa ila Wanyarwanda wengi waliouawa huko ni jeshi la Kaburu na Tanzania ndio wamehusika..
 
Bado tz tunakoelekea na hali ngunu hii ya maisha kitakuja nuka na itakua balaa kuliko
 
BAADA ya WANAJESHI WAO kuuwawa na M23

South Africa imetuma WANAJESHI zaidi ya 700 na VIFAA vizitooo

Imeomba nchi za SADC na EAC kushirkiana kuuondoa MAGAIDI WA M23 wakiachwa wataenea Africa nzima

USHAURI tu wapendwa Hawa n majangili magaidiiii

Pale mnapoweza kupambana nao pambaneni nao tusiwaogope hao WA Rwanda kama n damu na imwagike warudishwe kwao kama walivyoua WA congo

Leo BBC wanaonyesha UN wanavyolilia watoto zaidi ya 700 waliuwawa walipoona baba zao na mama zao wamekufa wakachukua mawe na silaha kupambana na M23

Nilisema Hawa mbwa sio WA kucheka NAOO KUNA siku wataamkia nchi za jirani tuanze kuulizana

Dawa yao n kuwa flash mapema wasahaulike kama waliokuwepo

HUYO Bwana anaesema anajilinda huku wakiiba madini congo aliwahi kutishia nchi moja atawamaliza wakamwambia Wala WANAJESHI watakaokupiga hawatoki makao makuu watatokea kipande tu SEHEMU jirani ya nchi yakoo

Hahahaaaa akafunga mdomo mpaka Yesu atakaporudi na hakuwahi KUKANYAGIA hio nchi mpaka kulipofanyika uchaguzi kupata RAIS mpya ndipo akaonekana...

Hii nchi n kuiwekea vikwazo na kuwachakaxa hao M23 wakajutr kwa waliowattuma tuliingia choo cha kike

USHAURI wangu

WANAJESHI WA SADC na EAC tuungane wapendwa kujisaidia congo sijui kama mbona MAUWAJI ya wale wananchi na watoto

Sijui kama majuzi mmeona UN wakishusha Ile miili kwenye kaburi xs pamoja

Leo tunaogopa HATA KWENDA congooo

Madreeva wetu wamelalama gari zao zimeibiwa vitu kupitia chama chao

NXTY.....

Mungu IBARIKI EAC. Na Sadc
Gaidi Kagame auwawe popote aonekanapo kwa uhaini
 
Hapa wawaue tu Wanyarwanda na kumkamata pia na Kagame, we are tired of him kwa kweli.
Wewe na huyo kagame you can go to hell, yaani waue wanyarwanda sababu ya kagame?? Halafu ulivyo mwendawazim unaandika kabisa ktk open forum kama hii. Evil 😈 like you ndio mnafanya dunia isiwe sehem salama kuishi. I have no doubt wewe utakuwa ni mnyarwanda. Pelekeni chuki zenu kwenu mmalizene mpaka kizazi kinachojielewa kitakapo chipua.
 
Umeongea sahihi kabisa.
Yule aliyeteuliwa na Kagame kuwa kiongozi wa hao m23 bwana Sulutani Makenga anasema ''the language i understand is the language of the gun''

Hao siyo wa kuzungumza nao.

Ni kupiga wanakimbilia kwa Kagame mnawafuata hukohuko.

Ramaphosa lazima amshughulikie, huwezi kutukanwa hivyo halafu utulie tu, ilihali sababu ya kumshikisha adabu unayo.
Hili povu ungekuwa unalielekeza huko kwa Ramaphosa saa hizi hao watoto wa watu wanaoshikiliwa huko congo angeweza kutoa go ahead wapite kigali warudi kwao. Kagame kuwa muuaji hakumfanyi Ramaphosa perfect kwa kupeleka vijana kwenda kufia congo kwa matakwa na tamaa zake.
 
JWTZ italinda mipaka ya Tz.

Huko kongo tukijjtahidi sana ni kuwapa siraha. Kila mtu alinde ardhi yake, Haiwezekani Wanajeshi wetu wakafie DRC kwa serikali ya kifisadi ili tu tumkomoe kagame, Haiwezekani
 
BAADA ya WANAJESHI WAO kuuwawa na M23

South Africa imetuma WANAJESHI zaidi ya 700 na VIFAA vizitooo

Imeomba nchi za SADC na EAC kushirkiana kuuondoa MAGAIDI WA M23 wakiachwa wataenea Africa nzima

USHAURI tu wapendwa Hawa n majangili magaidiiii

Pale mnapoweza kupambana nao pambaneni nao tusiwaogope hao WA Rwanda kama n damu na imwagike warudishwe kwao kama walivyoua WA congo

Leo BBC wanaonyesha UN wanavyolilia watoto zaidi ya 700 waliuwawa walipoona baba zao na mama zao wamekufa wakachukua mawe na silaha kupambana na M23

Nilisema Hawa mbwa sio WA kucheka NAOO KUNA siku wataamkia nchi za jirani tuanze kuulizana

Dawa yao n kuwa flash mapema wasahaulike kama waliokuwepo

HUYO Bwana anaesema anajilinda huku wakiiba madini congo aliwahi kutishia nchi moja atawamaliza wakamwambia Wala WANAJESHI watakaokupiga hawatoki makao makuu watatokea kipande tu SEHEMU jirani ya nchi yakoo

Hahahaaaa akafunga mdomo mpaka Yesu atakaporudi na hakuwahi KUKANYAGIA hio nchi mpaka kulipofanyika uchaguzi kupata RAIS mpya ndipo akaonekana...

Hii nchi n kuiwekea vikwazo na kuwachakaxa hao M23 wakajutr kwa waliowattuma tuliingia choo cha kike

USHAURI wangu

WANAJESHI WA SADC na EAC tuungane wapendwa kujisaidia congo sijui kama mbona MAUWAJI ya wale wananchi na watoto

Sijui kama majuzi mmeona UN wakishusha Ile miili kwenye kaburi xs pamoja

Leo tunaogopa HATA KWENDA congooo

Madreeva wetu wamelalama gari zao zimeibiwa vitu kupitia chama chao

NXTY.....

Mungu IBARIKI EAC. Na Sadc
Acha wapigane
 
Hawa Watutsi wako Congo muda mrefu na pia wako Burundi, Rwanda Uganda na Tanzania pia, huwezi waondoa eti sio kwao, ni sawa na kusema Wajaluo warudi Kenya kwa kuwa Tanzania sio kwao
hakuna mtu anataka waondoa ila ukitaka elewa fuatilia platforms za Rwanda , hao wanyamulenge wanatumiwa na Rwanda kufanikisha uporaji wa mali wa DRC , yaan wakongo wameish na hao watu miaka na miaka ola alipokuja Kagame ndo waanze kubaguliwa ? hv hii ni sahihi kwa akili zako ?
 
Hili povu ungekuwa unalielekeza huko kwa Ramaphosa saa hizi hao watoto wa watu wanaoshikiliwa huko congo angeweza kutoa go ahead wapite kigali warudi kwao. Kagame kuwa muuaji hakumfanyi Ramaphosa perfect kwa kupeleka vijana kwenda kufia congo kwa matakwa na tamaa zake.
Kufia vitani ndio kazi ya mwanajeshi. Amejitolea na analipwa kwa ajili hiyo.
 
Wewe na huyo kagame you can go to hell, yaani waue wanyarwanda sababu ya kagame?? Halafu ulivyo mwendawazim unaandika kabisa ktk open forum kama hii. Evil 😈 like you ndio mnafanya dunia isiwe sehem salama kuishi. I have no doubt wewe utakuwa ni mnyarwanda. Pelekeni chuki zenu kwenu mmalizene mpaka kizazi kinachojielewa kitakapo chipua.
Angalia watu anaowaua Kagame, unafikiri wote anaowaua wana hatia wale? Mtu wa namna ile ni wa kumshikisha adabu tu even if it takes killing a mass of people ili maradi tu Kagame apatikane....it's Ok....si mnaona hata kwenye hizi dini za hovyo (Ukristu na Uislam) kuuwana ilikuwa ni kitu cha kawaida kabisa tena ni mitume ndiyo ilikuwa Inaua kutimiza jambo lao.
 
Back
Top Bottom