South Africa wapeleka wanajeshi zaidi 700-800 na VIFAA Vizito vya kivita kupambana na M23

South Africa wapeleka wanajeshi zaidi 700-800 na VIFAA Vizito vya kivita kupambana na M23

Huna taarifa za kutosha kuhusu historia ya Mgogoro huo.

Tangu enzi za mwanzo za Utawala wa Mobutu Sese Seko miaka ya 1960s Mgogoro huo ulikuwepo.

Pia kumbuka kwamba: Jenerali Kabarebe aliwahi kuwa Mkuu wa Majeshi nchini DRC (Zaire) na baadaye alihama nchi na kwenda kuwa Mkuu wa Majeshi nchini Rwanda
Duuh
 
Na pia ni jukumu la AU, SADC na EAC kuhakikisha member state govt haiangushwi kijeshi kama hivo piga M23 tena i wish wafike mpaka kwa sponsor wao kule this time wamalize kazi kabisa we need peace DRC ikitulia Africa yote tutaneemeka .Diplomasia imeshafeli kuna watu language wanayoelewa ni violence tu ni wakati sasa wahubiriwe kwa lugha wanayoijua .
Umeongea sahihi kabisa.
Yule aliyeteuliwa na Kagame kuwa kiongozi wa hao m23 bwana Sulutani Makenga anasema ''the language i understand is the language of the gun''

Hao siyo wa kuzungumza nao.

Ni kupiga wanakimbilia kwa Kagame mnawafuata hukohuko.

Ramaphosa lazima amshughulikie, huwezi kutukanwa hivyo halafu utulie tu, ilihali sababu ya kumshikisha adabu unayo.
 
WATUSI N WASHENZI HABATI ZILIZOPO WAKISHIKA CONGO WANAINGIA NA REFPOWER KIKUNDI CHA WAASIS KUIKAMATA BURUNDI
 
Waha wa kigoma wakitaka kujitenga huku wanasaidiwa na Burundi kijeshi utawaita freedom fighters?
Kama tunawaonea na kuwanyanyasa kwanini wasiwe freedom fighters kuna kipindi hata Mwami Zitto Ruyagwa aliliongelea.
 
SA haina jeshi imara, jeshi imara la SA lilikuwa jeshi la kaburu, wawe makini wasijekwenda kuisha kwenye mapoli ya DRC.

Ramaphosa ajiangalie amewekwa kwenye kilengeo, hii vita itaifirisi SA awe makini.
Hivi vitu sijui mnapata wapi Wanajeshi wa SA wanaogopwa sana hata kwao hapo wakitumiwa ni mpaka vibali maana kinachotokea ni hatari zaidi..angalia sasa hivi wao ndio walinzi wa mipaka huko Messina na Lesotho fatilia utapata jibu baada ya kuchukua kazi waliyokua wanafanya Polisi mwanzo.
 
Hivi vitu sijui mnapata wapi Wanajeshi wa SA wanaogopwa sana hata kwao hapo wakitumiwa ni mpaka vibali maana kinachotokea ni hatari zaidi..angalia sasa hivi wao ndio walinzi wa mipaka huko Messina na Lesotho fatilia utapata jibu baada ya kuchukua kazi waliyokua wanafanya Polisi mwanzo.

Najua ninachoongea chief, unapozungumzia front line SA wana vifaa lakini hawana wapiganaji wazuri hili limedhihirika Angola ukiondoa wale Kaburu ndio maana nikasema nje ya wale wapiganaji Kaburu hawa ndugu zetu hamna kitu, imedhihirika pia Msumbiji dhidi ya IS na hata juzi DRC dhidi ya M23.

Jeshi kuogopwa na raia au kulinda mipaka isiyo na kitisho chochote cha uvamizi sio kigezo cha kuwa jeshi imara, jeshi imara linapimwa uwanja wa mapambano.
 
Najua ninachoongea chief, unapozungumzia front line SA wana vifaa lakini hawana wapiganaji wazuri hili limedhihirika Angola ukiondoa wale Kaburu ndio maana nikasema nje ya wale wapiganaji Kaburu hawa ndugu zetu hamna kitu, imedhihirika pia Msumbiji dhidi ya IS na hata juzi DRC dhidi ya M23.

Jeshi kuogopwa na raia au kulinda mipaka isiyo na kitisho chochote cha uvamizi sio kigezo cha kuwa jeshi imara, jeshi imara linapimwa uwanja wa mapambano.
Wanajeshi wa SA wanaua sana hata huko Msumbiji wamewaua sana wale Isis mpaka kupelekea baadhi ya maeneo kuwa salama.
Jamaa ni wakatili mpaka mkuu wao wa majeshi alilaumiwa kwa mauaji ya huko maana Isis wanavaa nguo za kiraia tu ikapelekea kupunguza na kutoa baadhi ya wanajeshi.
 
Wanajeshi wa SA wanaua sana hata huko Msumbiji wamewaua sana wale Isis mpaka kupelekea baadhi ya maeneo kuwa salama.
Jamaa ni wakatili mpaka mkuu wao wa majeshi alilaumiwa kwa mauaji ya huko maana Isis wanavaa nguo za kiraia tu ikapelekea kupunguza na kutoa baadhi ya wanajeshi.

SADC na SA hakuna walichofanya Msumbiji ile kazi iliwashinda, askari wa kukodi aka mercenaries wa kikaburu kutoka SA nan Wagner ndio waliua sana IS nao wakashindwa mpaka Serikali ya Mozambique na jamaa wa Total France (France) walipoamua kuwacontract RPF (Rwanda) kuja kuweka mambo sawa, sasa pametulia na RPF wapo huko wanashika doria.
 
Kimsingi hata mimi siwaungi mkono m23 ,,,kwanini ??

Japo historia inaonesha kuwa mgogoro huu unasababu nyingi lakin kubwa kabisa ni kuwa M23 hawa ni wezi wa Ardhi ya Congo kivipi ??

Wakati wa genocide ,, watusi wengi walikimbilia Congo wakapewa hifadhi na Congo .. huku wa-Congo hawa wakiwa na imani kuwa pindi hali itakapotulia kwao (Rwanda ) watu hawa watarudi kwao na kuwaachia nchi yao ..

Lakin ,,, baada ya hali kutulia Rwanda,,, watu hawa hawakutaka kurudi tena kwao Rwanda ,,, wamekuwa wakiishinikiza serikali ya Congo iwatambue kama wa -Congo na siyo kama wakimbizi toka Rwanda ,,, je ,, ungekuwa wewe ungekubali ??

Serikali ya Congo inajua fika kabisa ikiwatambua kama wa - Congo ,, tafsiri yake ,, imekubali kumruhusu adui ndani ya Nchi ,, imekubali kagame itawale Rwanda lakin pia aitawale Congo ..

Hivyo ,, mimi nipo pamoja na serikali ya Congo ,, nipo pamoja na south Africa ,,nipo pamoja na nchi yeyeto ile inayowapinga M23 ..
Hawa Watutsi wako Congo muda mrefu na pia wako Burundi, Rwanda Uganda na Tanzania pia, huwezi waondoa eti sio kwao, ni sawa na kusema Wajaluo warudi Kenya kwa kuwa Tanzania sio kwao
 
Back
Top Bottom