Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Congo iache kulialia, ipambane kiume kutetea territorial integrity yake. Kama haiwezi basi wacha Kagame anyooshe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afrika Kusini kitu gani kinawawasha kuhusu Congo?BAADA ya WANAJESHI WAO kuuwawa na M23
South Africa imetuma WANAJESHI zaidi ya 700 na VIFAA vizitooo
Imeomba nchi za SADC na EAC kushirkiana kuuondoa MAGAIDI WA M23 wakiachwa wataenea Africa nzima
USHAURI tu wapendwa Hawa n majangili magaidiiii
Pale mnapoweza kupambana nao pambaneni nao tusiwaogope hao WA Rwanda kama n damu na imwagike warudishwe kwao kama walivyoua WA congo
Leo BBC wanaonyesha UN wanavyolilia watoto zaidi ya 700 waliuwawa walipoona baba zao na mama zao wamekufa wakachukua mawe na silaha kupambana na M23
Nilisema Hawa mbwa sio WA kucheka NAOO KUNA siku wataamkia nchi za jirani tuanze kuulizana
Dawa yao n kuwa flash mapema wasahaulike kama waliokuwepo
HUYO Bwana anaesema anajilinda huku wakiiba madini congo aliwahi kutishia nchi moja atawamaliza wakamwambia Wala WANAJESHI watakaokupiga hawatoki makao makuu watatokea kipande tu SEHEMU jirani ya nchi yakoo
Hahahaaaa akafunga mdomo mpaka Yesu atakaporudi na hakuwahi KUKANYAGIA hio nchi mpaka kulipofanyika uchaguzi kupata RAIS mpya ndipo akaonekana...
Hii nchi n kuiwekea vikwazo na kuwachakaxa hao M23 wakajutr kwa waliowattuma tuliingia choo cha kike
USHAURI wangu
WANAJESHI WA SADC na EAC tuungane wapendwa kujisaidia congo sijui kama mbona MAUWAJI ya wale wananchi na watoto
Sijui kama majuzi mmeona UN wakishusha Ile miili kwenye kaburi xs pamoja
Leo tunaogopa HATA KWENDA congooo
Madreeva wetu wamelalama gari zao zimeibiwa vitu kupitia chama chao
NXTY.....
Mungu IBARIKI EAC. Na Sadc
watz wengi hamjui watutsi ila waoo wengi sana hata kuliko Drc ,wapo hadi serikalini , wengine mnaita wahaya ,wengine mnawaita wanyambo wengine mnawaita wahaangaza , mf Kyline , Jenerali Ulimwengu etc jeshi wamejaa vyeo vya juu kabisa , ccmu wapo vyeo vya juu kabisa ,mimi rafik zangu wawili ( sio familia moja ) wamesomea Tz na wamekulia Tz na wana mpk NIDA ila ni watutsi na enzi tunasoma kila likizo walikuwa wanaenda Rwanda kusalimia Ndugu zaoHivi hiki unachokiongea kipo katika muktadha upi? TZ kuna watusi mpaka useme hiki ulichokiandika hapa?
Jeshini kuna mtutsi gani unayemjua mwenye rank ya juu kama unavyodai?watz wengi hamjui watutsi ila waoo wengi sana hata kuliko Drc ,wapo hadi serikalini , wengine mnaita wahaya ,wengine mnawaita wanyambo wengine mnawaita wahaangaza , mf Kyline , Jenerali Ulimwengu etc jeshi wamejaa vyeo vya juu kabisa , ccmu wapo vyeo vya juu kabisa ,mimi rafik zangu wawili ( sio familia moja ) wamesomea Tz na wamekulia Tz na wana mpk NIDA ila ni watutsi na enzi tunasoma kila likizo walikuwa wanaenda Rwanda kusalimia Ndugu zao
Ngoma Chafu kila mtu anajipigia tuCongo imekuwa jamvi la wageni.au uwanja wa fujo.tangu nipo mdogo mpaka leo nasikia walinda amani wameenda kongo Cha ajabu hawajawahi kufanikiwa
Kwani hao watu hawapaswi kuwa raia wa nchi hii ? Watanzania mnawaogopa sana hiyo jamii sijui kwa kitu gani special walicho nacho.watz wengi hamjui watutsi ila waoo wengi sana hata kuliko Drc ,wapo hadi serikalini , wengine mnaita wahaya ,wengine mnawaita wanyambo wengine mnawaita wahaangaza , mf Kyline , Jenerali Ulimwengu etc jeshi wamejaa vyeo vya juu kabisa , ccmu wapo vyeo vya juu kabisa ,mimi rafik zangu wawili ( sio familia moja ) wamesomea Tz na wamekulia Tz na wana mpk NIDA ila ni watutsi na enzi tunasoma kila likizo walikuwa wanaenda Rwanda kusalimia Ndugu zao
Na hiyo serikali ya Congo inayo wapa hifadhi FDLR (wahusika wa mauaji ya Kimball ya Rwanda 1994) unataka serikali ya Rwanda ichukue hatua gani dhidi ya Congo?Kimsingi hata mimi siwaungi mkono m23 ,,,kwanini ??
Japo historia inaonesha kuwa mgogoro huu unasababu nyingi lakin kubwa kabisa ni kuwa M23 hawa ni wezi wa Ardhi ya Congo kivipi ??
Wakati wa genocide ,, watusi wengi walikimbilia Congo wakapewa hifadhi na Congo .. huku wa-Congo hawa wakiwa na imani kuwa pindi hali itakapotulia kwao (Rwanda ) watu hawa watarudi kwao na kuwaachia nchi yao ..
Lakin ,,, baada ya hali kutulia Rwanda,,, watu hawa hawakutaka kurudi tena kwao Rwanda ,,, wamekuwa wakiishinikiza serikali ya Congo iwatambue kama wa -Congo na siyo kama wakimbizi toka Rwanda ,,, je ,, ungekuwa wewe ungekubali ??
Serikali ya Congo inajua fika kabisa ikiwatambua kama wa - Congo ,, tafsiri yake ,, imekubali kumruhusu adui ndani ya Nchi ,, imekubali kagame itawale Rwanda lakin pia aitawale Congo ..
Hivyo ,, mimi nipo pamoja na serikali ya Congo ,, nipo pamoja na south Africa ,,nipo pamoja na nchi yeyeto ile inayowapinga M23 ..
Kagame lofa anania vuguvugu liwe juu ili kongo mashariki ijitenge kisha baadae kongo mashariki na Rwanda ziungane. Anataka kurudisha Rwanda ya zamani kujitanua zaidiSahihi, M23 hawana Nia ya Mji Mkuu , wanataka kutengeneza Nchi Ndani ya Nchi, Kuna tageti wakiifikia, utasikia wanataka maridhiano.
Hebu acha ukabila mkuu hao wanaitwa kama ni wahaya ni wahaya na kama ni waangaza basi iko hivyo hayo mambo ya watusi ni sawa na shishi mnyamwezi kujiita mwarabu wa Taborawatz wengi hamjui watutsi ila waoo wengi sana hata kuliko Drc ,wapo hadi serikalini , wengine mnaita wahaya ,wengine mnawaita wanyambo wengine mnawaita wahaangaza , mf Kyline , Jenerali Ulimwengu etc jeshi wamejaa vyeo vya juu kabisa , ccmu wapo vyeo vya juu kabisa ,mimi rafik zangu wawili ( sio familia moja ) wamesomea Tz na wamekulia Tz na wana mpk NIDA ila ni watutsi na enzi tunasoma kila likizo walikuwa wanaenda Rwanda kusalimia Ndugu zao
Nasikia wanawaua then wanawala nyama gross 😝 tembea uone pia kuwavuta mapua.M vingt-trois ni wazalendo na wanaiokoa Kongo kwenye ujinga wa watawala wabaguzi dhidi ya banyamulenge
Una interegensia ambayo marais na na majeshi ya EAC hawana ndio uzuri wa JFNinavyojua. Hakuna jeshi linaloitwa m23. Hilo ni jeshi la Rwanda likifadhiliwa na ufaransa na ulaya na marekani. Kituo kikuu kikiwa Nairobi. Western wameweka makao yao makuu ya kijasusi hapo Nairobi na ndio wanaoratibu kinachoendelea hapo congo na Sudan nk hapa africa.
Hawezi Chochote watu wanatetea haki na utu waoBAADA ya WANAJESHI WAO kuuwawa na M23
South Africa imetuma WANAJESHI zaidi ya 700 na VIFAA vizitooo
Imeomba nchi za SADC na EAC kushirkiana kuuondoa MAGAIDI WA M23 wakiachwa wataenea Africa nzima
USHAURI tu wapendwa Hawa n majangili magaidiiii
Pale mnapoweza kupambana nao pambaneni nao tusiwaogope hao WA Rwanda kama n damu na imwagike warudishwe kwao kama walivyoua WA congo
Leo BBC wanaonyesha UN wanavyolilia watoto zaidi ya 700 waliuwawa walipoona baba zao na mama zao wamekufa wakachukua mawe na silaha kupambana na M23
Nilisema Hawa mbwa sio WA kucheka NAOO KUNA siku wataamkia nchi za jirani tuanze kuulizana
Dawa yao n kuwa flash mapema wasahaulike kama waliokuwepo
HUYO Bwana anaesema anajilinda huku wakiiba madini congo aliwahi kutishia nchi moja atawamaliza wakamwambia Wala WANAJESHI watakaokupiga hawatoki makao makuu watatokea kipande tu SEHEMU jirani ya nchi yakoo
Hahahaaaa akafunga mdomo mpaka Yesu atakaporudi na hakuwahi KUKANYAGIA hio nchi mpaka kulipofanyika uchaguzi kupata RAIS mpya ndipo akaonekana...
Hii nchi n kuiwekea vikwazo na kuwachakaxa hao M23 wakajutr kwa waliowattuma tuliingia choo cha kike
USHAURI wangu
WANAJESHI WA SADC na EAC tuungane wapendwa kujisaidia congo sijui kama mbona MAUWAJI ya wale wananchi na watoto
Sijui kama majuzi mmeona UN wakishusha Ile miili kwenye kaburi xs pamoja
Leo tunaogopa HATA KWENDA congooo
Madreeva wetu wamelalama gari zao zimeibiwa vitu kupitia chama chao
NXTY.....
Mungu IBARIKI EAC. Na Sadc
Ndyo maana nimekwambia kuwa mgogoro huo una sababu nyingi sana lakini hicho nilichokielezea hapo ndiyo kiini kikuu,, hata jina la M23 ,, limetoka hapo hivyo huenda wewe ndiyo huna taatifa za kutosha juu ya mgogoro huuHuna taarifa za kutosha kuhusu historia ya Mgogoro huo.
Tangu enzi za mwanzo za Utawala wa Mobutu Sese Seko miaka ya 1960s Mgogoro huo ulikuwepo.
Pia kumbuka kwamba: Jenerali Kabarebe aliwahi kuwa Mkuu wa Majeshi nchini DRC (Zaire) na baadaye alihama nchi na kwenda kuwa Mkuu wa Majeshi nchini Rwanda
Hapa wawaue tu Wanyarwanda na kumkamata pia na Kagame, we are tired of him kwa kweli.BAADA ya WANAJESHI WAO kuuwawa na M23
South Africa imetuma WANAJESHI zaidi ya 700 na VIFAA vizitooo
Imeomba nchi za SADC na EAC kushirkiana kuuondoa MAGAIDI WA M23 wakiachwa wataenea Africa nzima
USHAURI tu wapendwa Hawa n majangili magaidiiii
Pale mnapoweza kupambana nao pambaneni nao tusiwaogope hao WA Rwanda kama n damu na imwagike warudishwe kwao kama walivyoua WA congo
Leo BBC wanaonyesha UN wanavyolilia watoto zaidi ya 700 waliuwawa walipoona baba zao na mama zao wamekufa wakachukua mawe na silaha kupambana na M23
Nilisema Hawa mbwa sio WA kucheka NAOO KUNA siku wataamkia nchi za jirani tuanze kuulizana
Dawa yao n kuwa flash mapema wasahaulike kama waliokuwepo
HUYO Bwana anaesema anajilinda huku wakiiba madini congo aliwahi kutishia nchi moja atawamaliza wakamwambia Wala WANAJESHI watakaokupiga hawatoki makao makuu watatokea kipande tu SEHEMU jirani ya nchi yakoo
Hahahaaaa akafunga mdomo mpaka Yesu atakaporudi na hakuwahi KUKANYAGIA hio nchi mpaka kulipofanyika uchaguzi kupata RAIS mpya ndipo akaonekana...
Hii nchi n kuiwekea vikwazo na kuwachakaxa hao M23 wakajutr kwa waliowattuma tuliingia choo cha kike
USHAURI wangu
WANAJESHI WA SADC na EAC tuungane wapendwa kujisaidia congo sijui kama mbona MAUWAJI ya wale wananchi na watoto
Sijui kama majuzi mmeona UN wakishusha Ile miili kwenye kaburi xs pamoja
Leo tunaogopa HATA KWENDA congooo
Madreeva wetu wamelalama gari zao zimeibiwa vitu kupitia chama chao
NXTY.....
Mungu IBARIKI EAC. Na Sadc
Kama Wapalestina????M23 sio Magaidi bali ni Freedom Fighters.
Wala hakuna haja ya kuwa na wasiwasi mradi tu waheshimu sheria na taratibu za sheria za nchi.Kwani hao watu hawapaswi kuwa raia wa nchi hii ? Watanzania mnawaogopa sana hiyo jamii sijui kwa kitu gani special walicho nacho.
Ifike hatua habari za kusema huyu sijui mtutsi sijui BLA BLA kibao toone kama ujinga na upumbavu.