take us to somewhere cooler, like africawhen this man woke up in the morning he was white!
T bag
We will stepback when the wind start blowing.when this man woke up in the morning he was white!
T bag
"We are captives of our own identities living in preasons of our own creation" Tbag namuelewa sanawhen this man woke up in the morning he was white!
T bag
T bag anajua kukera sana🤣Wote hao Theodore hawajamfikia .t bag mwehu yule
Akimzidi vipi akili wakati kila kitu kwenye movie kinapangwa.?!Wakuu nimeirudia tena series ya Prison Break.
Kwenye season 2 anaibuka Special Agent wa FBI, Alexander Mahone kusaidia zoezi la kuwakamata wafungwa 8 waliotoroka gereza la Fox River.
Jamaa alikuwa na akili na daima alikuwa mbele ya muda sana. Nadiriki kusema jamaa alimzidi Michael Scofield kiuwezo.
Ila kwakuwa Michael Scofield ndiye star wa series ilibidi tu Mahone atafutiwe udhaifu ili mwisho wa siku ushindi uende kwa Michael Scofield.
Na udhaifu wenyewe ni yale madawa aliyokuwa anatumia.
Nahitimisha, Mahone ni hatari sana ila Michael alibebwa na director.🤣🤣
Hii Sona ni umeme mtupuuuu. Kwangu ndio season bora zaidi kuliko zote.Nairudia nipo Sona Alex nae akili mingi sana
Ulimuelewa yupi zaidi?Ni nzuri sana