wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Anatafuta kiki kwanzaNi dalili tosha kuwa HAFAI. Ujuha mtupu. Ndiyo sera hizo za chama chake! Baada ya hapo anaenda kwenye jumba lake la ghorofa tatu na kuanza kuwacheka wajinga waliwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatafuta kiki kwanzaNi dalili tosha kuwa HAFAI. Ujuha mtupu. Ndiyo sera hizo za chama chake! Baada ya hapo anaenda kwenye jumba lake la ghorofa tatu na kuanza kuwacheka wajinga waliwao.
Ndio makada-watumishi hao mkuu.Hivi huyu ana akili kweli? Kazi aliipataje kwa uwezo huu mdogo wa kupambanua mambo!?!?
NaniKachoka kucheza porno
Nchi hii ina mapesa mengi sana-Magu.Hawa wengine ni mataahira tu. Serikali ya CCM inazitoa wapi hizo hela.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hawa ccm kumamae zao
Tuwe makini tunapowapa watoto majina, mtu anaitwa Majuto... usitarajie jambo la maana toka kwake.Wala hujakosea.View attachment 1559117
Nimesikia kuwa TAKUKURU wamempiga biti kugawa ubeche kwenye kampeni.Hivi leo Hashim Rungwe Sipunda anahutubia wapi nikale ubwabwa na vipapatio vya kuku? maana mapaja na vidali huwa havionekani
Hata chama kilimpitisha kwa kuwa ana hela tuu ili apambane mwenyeweAnaempigia kampeni Gwajima siishii tu kuhoji akili yake bali ata msimamo wa roho yake kwenye kweli!!!
Gwajima ni tapeli na muhuni wa kimataifa. Hakuna maelezo zaidi juu ya Gwajima zaidi ya hayo!!!
Then Lissu akinadi sera zake wanahoji, hela atatoa wapi?Nchi hii ina mapesa mengi sana-Magu.
Ndio yanaanza hivyo mwingine nimeona anakuna nazi utafikiri huko mjengoni anaend kukuna nazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tutashuhudia mengi kipindi hiki
Maney talkHivi huyu ni Askofu au porno star ! CCM walifanya maamuzi ya kufeli
Yajayo yanafurahishaHuu mwaka umekuja na mambo mengi ya kustaajabisha duniani
Alimfufua naniNa wewe utampigia kura Gwajiboy the porn star na mfufua wafu???
Noma sana hapo atakuja tena kula kwa mama ntilie baada ya miaka 5 tenAYajayo yanafurahisha
Kazi ipo walahWala hujakosea.View attachment 1559117
Na wale kondoo zake kanisaniWatakao mpigia kura Gwajima ni wenye vifungo vya kiakili tu. Lakini hata majority ya CCM hawatampa kura.
Hela inaongea bwashee
Bakheresa manzese ila ubwabwa umepigwa marufuku na takukuru eti ni rushwaHivi leo Hashim Rungwe Sipunda anahutubia wapi nikale ubwabwa na vipapatio vya kuku? maana mapaja na vidali huwa havionekani