wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
HaitokeiNoma sana hapo atakuja tena kula kwa mama ntilie baada ya miaka 5 tenA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaitokeiNoma sana hapo atakuja tena kula kwa mama ntilie baada ya miaka 5 tenA
Lord denning, mambo ya kwenye roho za watu mwachie Mungu mwenyewe.Anaempigia kampeni Gwajima siishii tu kuhoji akili yake bali ata msimamo wa roho yake kwenye kweli!!!
Gwajima ni tapeli na muhuni wa kimataifa. Hakuna maelezo zaidi juu ya Gwajima zaidi ya hayo!!!
Mkuu@bagamoyo muwekee jamaa ile clip Gwajiboy akifufua mtu aliyekufa kwa siku mbili alafu akaenda kanisani na nguo za kanisani 😂😂Alimfufua nani
Hata kwenye biblia wamesema juu ya manabii wa uongo!!! Gwajima ni conman wa kimataifa. Huyu hafai hata kuruhusiwa kuendesha lile kanisa lake tu la misukule. Achilia mbali kuwa mbungeLord denning, mambo ya kwenye roho za watu mwachie Mungu mwenyewe.
1 Samuel 16:7
Chepe lenyewe hajui kushikaKiongozi mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima na mgombea ubunge jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM askofu Gwajima alitembelea kempu ya kupakia mchanga na kuwasaidia kupakia.
Vile vile alifanikiwa kuwatembelea wajasiriamali wauzaji wa samaki kijiweni na kujipatia kitoweo cha samaki (ile ya kurumangia ugali)na kula hapo hapo.
My take
Awamu hii tutaona mengi.
View attachment 1559103
View attachment 1559107
Hana hadhi ya kuwa mhuni wa kimataifa...wahuni wa kimataifa ni smart upstairs...huyo ni level ya buzaAnaempigia kampeni Gwajima siishii tu kuhoji akili yake bali ata msimamo wa roho yake kwenye kweli!!!
Gwajima ni tapeli na muhuni wa kimataifa. Hakuna maelezo zaidi juu ya Gwajima zaidi ya hayo!!!
Bora yeye amechoka na ameacha hiyo tabia. Mgombea mwenza yule mwenye sauti isiyotafasili jinsia yeye bado anaendelea na ule mtindo wake wa jinsia moja na yule mama wa Bundalala.
Kiki hizo bwasheeChepe lenyewe hajui kushika
Na kwnza syo mzoefu wa kupiga chepe
Inaelekea Kazi ngumu hafanyagi, ona chepe analorusha hata halifiki kwenye gari
Vituko tu hapo
Ova
Unabii unatoka kwa Roho wa Mungu Kwahiyo wa uongo anamjua yeye. Kwenye Ubunge wana Kawe wenyewe wataamua. Mbona huo Uconman haukusemwa enzi alipokuwa mpiga debe wa Mdee?!?Hata kwenye biblia wamesema juu ya manabii wa uongo!!! Gwajima ni conman wa kimataifa. Huyu hafai hata kuruhusiwa kuendesha lile kanisa lake tu la misukule. Achilia mbali kuwa mbunge
Na huko bungeni wale wabunge viti maalum walivyosimamia ukucha jamaa atahamia kabisa[emoji125][emoji125][emoji125]Huyu ni kiboko mpenda ngono akipita huyu atawapiga UNO wajasiriamali wote wa kiki jimbo LA kawe, maana kondoo kashawamaliza
Mi nachokumbuka kuna siku kapelekewa maiti kweli eti aifufue ikakaa hap asubuhi hadi jioni wakakesha nayo ile kufika alifajiri wale waombaji mmoja moja walitimka kukimbia harufuMkuu@bagamoyo muwekee jamaa ile clip Gwajiboy akifufua mtu aliyekufa kwa siku mbili alafu akaenda kanisani na nguo za kanisani [emoji23][emoji23]
Gwajima ni tapeli na muhuni wa kimataifa. Hakuna maelezo zaidi juu ya huyu mtu zaidi ya haya!!
[emoji87]Qumamakee,,,na bado atawatembelea hadi wale Malaya wa governor na sinza bar akawasaidie kukata viuno
[emoji23]Kahamia kwenye puchu
Jr[emoji769]
Duu!!Hana hadhi ya kuwa mhuni wa kimataifa...wahuni wa kimataifa ni smart upstairs...huyo ni level ya buza
Jr[emoji769]