kampuzike kwa amani kamanda wetu mandela tulikupenda sana lakini Mungu amekupenda zaidi R.I.P MANDELA
 
''I learnt that courage was not the absence of fear, but the triumph over it, the brave man is not who does not feel afraid but who conquer that fear'' RIP MADIBA
 
the greatest glory of living doesnot lie in the way you fall but lies on the rise after every fall
 
RIP Madiba

go and meet your fellow heroes including
Walter Sissulu
liver Tambo
Steve Bhiko
Solomon Mahlangu and all others whom their blood nourished the freedom struggle in SA and other parts of the African continent

Ruth First

Joe Slovo

Giovvani Mbeki
 
"A man is not a man until he has his own house"
 
''Let there be work, bread, water and salt for all'' RIP MANDELA.
 
Forgiveness liberates the soul it removes fear that's why is a great weapon. R. I. P Tata N. Madiba
 
^^
Real Love is like ghost that many talks about but few has seen
^^
 
Habari WanJF,

Wakati mijadala ya Matokeo ya kidato cha nne na Ajira za walimu ikitawala Jukwaa hili,hapa tuongeze maarifa kwa kutupia nukuu(Quote) moja tu unayoikubali sana kutoka kwa mtuu maarufu na anayeheshimika duniani kote.

Mimi naanza kwa kutupia hii.....Wise men speak because they have something to say; Fools because they have to say something.
Plato.

Muhimu:Usisahau kuweka jina la uliemnukuu.
 
Habari WanaJF

Hapa tuongeze maarifa kwa kutupia nukuu(Quote) moja tu unayoikubali sana kutoka kwa mtuu maarufu na anayeheshimika duniani kote.

Mimi naanza kwa kutupia hii.....Wise men speak because they have something to say; Fools because they have to say something.
Plato.

Muhimu:Usisahau kuweka jina la uliemnukuu.
 
"Let us have as few people as possible between the productive minds and the hungry and recipient minds! The middlemen almost unconsciously adulterate the food which they supply,it is because of teachers that so little is learned,and that so badly "!! (Nietzsche)
 

Duuh hii ni kiboka aisee
 
Duuh hii ni kiboka aisee

"Education as the development of one's consciousness to think,decide and act,hence it should be aimed at improving people's physical and mental freedom inorder to increase their control over themselves,their own lives and the environment in which they live.(Nyerere)
 
Good things may come to those who waits, but after left by those who hustle! Abraham Lincoln hii hunifanya niamke asubuhi hata kama na usingizi kiasi gani
 
"darkness cannot ride out darkness only light can.hate can not drive out hate only love can" Luther jr. Martin.......huwa naamini sana hili neno na limekaa ndani yangu hunifanya ni smile hata ninapochukiwa na kudharaulika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…