Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu
kampuzike kwa amani kamanda wetu mandela tulikupenda sana lakini Mungu amekupenda zaidi R.I.P MANDELA
 
''I learnt that courage was not the absence of fear, but the triumph over it, the brave man is not who does not feel afraid but who conquer that fear'' RIP MADIBA
 
Wanajamvi nawasalimu.

Tukiwa katika majonzi na mshtuko kwa kuondokewa na kiongozi na mzee wetu MADIBA. Nimeonelea tujikumbushe nukuu alizowahi kusema nitataja machache we pia waweza endelea kwa kutaja zingine.

1. ''Education is the most powerful weapon which you may use to change the world''

2.''If you want to make apeace with your enemy you have to work with your enemy,then he become your partner''

3. ''No one is born hating another person because of the color of his skin or his background or his religion. People must learn to hate and if they can learn to hate, they can be taught to love for love comes naturally to the human heart than its opposite''

4. ''After climbing a great hill, one only finds that there are many more hills to climbs''

you may continue.....................
the greatest glory of living doesnot lie in the way you fall but lies on the rise after every fall
 
RIP Madiba

go and meet your fellow heroes including
Walter Sissulu
liver Tambo
Steve Bhiko
Solomon Mahlangu and all others whom their blood nourished the freedom struggle in SA and other parts of the African continent

Ruth First

Joe Slovo

Giovvani Mbeki
 
"A man is not a man until he has his own house"
 
''Let there be work, bread, water and salt for all'' RIP MANDELA.
 
Forgiveness liberates the soul it removes fear that's why is a great weapon. R. I. P Tata N. Madiba
 
^^
Real Love is like ghost that many talks about but few has seen
^^
 
Habari WanJF,

Wakati mijadala ya Matokeo ya kidato cha nne na Ajira za walimu ikitawala Jukwaa hili,hapa tuongeze maarifa kwa kutupia nukuu(Quote) moja tu unayoikubali sana kutoka kwa mtuu maarufu na anayeheshimika duniani kote.

Mimi naanza kwa kutupia hii.....Wise men speak because they have something to say; Fools because they have to say something.
Plato.

Muhimu:Usisahau kuweka jina la uliemnukuu.
 
Habari WanaJF

Hapa tuongeze maarifa kwa kutupia nukuu(Quote) moja tu unayoikubali sana kutoka kwa mtuu maarufu na anayeheshimika duniani kote.

Mimi naanza kwa kutupia hii.....Wise men speak because they have something to say; Fools because they have to say something.
Plato.

Muhimu:Usisahau kuweka jina la uliemnukuu.
 
"Let us have as few people as possible between the productive minds and the hungry and recipient minds! The middlemen almost unconsciously adulterate the food which they supply,it is because of teachers that so little is learned,and that so badly "!! (Nietzsche)
 
"Let us have as few people as possible between the productive minds and the hungry and recipient minds! The middlemen almost unconsciously adulterate the food which they supply,it is because of teachers that so little is learned,and that so badly "!! (Nietzsche)

Duuh hii ni kiboka aisee
 
Duuh hii ni kiboka aisee

"Education as the development of one's consciousness to think,decide and act,hence it should be aimed at improving people's physical and mental freedom inorder to increase their control over themselves,their own lives and the environment in which they live.(Nyerere)
 
Good things may come to those who waits, but after left by those who hustle! Abraham Lincoln hii hunifanya niamke asubuhi hata kama na usingizi kiasi gani
 
"darkness cannot ride out darkness only light can.hate can not drive out hate only love can" Luther jr. Martin.......huwa naamini sana hili neno na limekaa ndani yangu hunifanya ni smile hata ninapochukiwa na kudharaulika
 
Back
Top Bottom