Virusi ni vidudu vizembe sana. Zembe sana.
Porini wanyama wanaogopana kwa ukubwa, ndo maana simba anamuogopa tembo. Iweje sie binadamu tukaogope kajitu ambako hadi kwa tochi hakaonekani.!??
Zembe sana😾.
Akili tu mtu wangu, kale hakana nguvu mpaka will yako ikubali matakwa ya kenyewe. Ubishi wako ndo dawa yake. Ndo maana yale mabishi yote yanayokapondaga hayauguagi kabisa no matter what. Yanakula hadi waliothibitishwa, mengine hadi yanajidunga lakini wapi.
Chukua hata kauli za waganga na manabii wanaosemaga ni kama kapepo au shetani kakirusi, ukikakataa ukakakemea kanatoka nduki🏃
Utaskia kajitu kanasema yupo kwenye denial. Kwanza kiherehere tu comment ndeeefu kuliko thread na bado sijajibu swali🤣.
Haya najibu sasa. Ni kwamba hewani hako kadudu zembe hakasavaivu kanatutegemea saana ili kaishi. Kakiwa kwenye damu zetu kanajikongoja kiasi. Lakini hata hivyo sindano ikikuchoma kakaingia katazurula kwenye damu weeeeeh mpaka karuhusiwe kuingia ndani ya seli la sivyo katakufa tena.
Kakiingia kwenye seli kanaanza ushawishi wa kuzalishwa zaidi. Mtu (Will) akikubali kanazaliana, akigoma ndo mwisho wake tena kanakufa!. So ultimately ubishi wako na uimara wa matakwa (will ya ndani) yako ndio utaamua matokeo. Nawasilisha👊