Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subir kwan yana mda bac mrembo😃😃utakuwa tu mwanachama wa x-man.Bwana angu mtoe hapo kwenye chama la Ma ex. Nilimkuta bikra na bado hatujamwagana.
vipi hapo, kuna tofauti uliyoiona kati yao unapowabutua au wote wako sawa? Tupe ripotiMimi kwa hesabu za haraka ninaweza kuwa na 120 Exes na bado nipo nadunda.
Tena taulo lenyewe jeusi🤨🤨"HESHIMU" kila mtu kama unavyoheshimu "TAULO" lako, kwasababu sehemu utakayoitumia kufutia "KALIO" leo kesho unaweza kuitumia kufutia "USO". 🎯
Hapa tom anamwelekeza Jerry hayupo pichani"Yaani Ile manzi ina Tako kishenzi,unalishikia humu"
🙂 🙂Sio kila anayesikiliza nyimbo za kizungu anajua kizungu, wengine wanapenda MIDUNDO tu. 😃
excellentSio kila anayesikiliza nyimbo za kizungu anajua kizungu, wengine wanapenda MIDUNDO tu. [emoji2]
#red#ok#red#Struggle for the better whenever you are alive and never forget wishing to find a true love-Gamba la Nyoka