KIMOMWEMOTORS
JF-Expert Member
- May 17, 2018
- 358
- 675
- Thread starter
-
- #21
Subaru Forester ya kuanzia Mwaka 1999 mpaka 2006 bei yake inakua kati ya 12,000,000 mpaka 13,000,000Mkuu vipi kuhusu subaru foresta kama nikiagizia kupitia kwenu itagharimu kiasi gani?
Subaru Forester ya kuanzia Mwaka 1999 mpaka 2006 bei yake inakua kati ya 12,000,000 mpaka 13,000,000
Gari hizi ni imara na nzuri zaidi kwa safari ndefu. Pia vipuri vyake ni madhubuti
Karibuni sana, bei zetu ni nafuu sana.
#KIMOMWE MOTORS- Save Money, Save TimeView attachment 902720
Lengo letu sio kutengeneza faida kubwa kiongozi ndio sababu bei zetu ni za chini sana na pia faida ya kuagiza na sisi ni kua tunashirikia na kampuni za Kijapani zaidi ya 10 ambazo hutupatia wigo mpana wa kumpatia mteja kilicho bora kwa gharama nafuu zaidi.Mbona bei sawa na Ist?
Vp kuhusu Premio cc 1500-1700? Za mwaka 2003-2008?
chukua 4M
Duuh!!chukua 4M
Hata mimi nimeshangaa. Utadhani bei ya Bajaji
Mbn amna sehemu ameandika m7 ye kaandika milleage yan kilometer ilizo tembeaHata mimi nimeshangaa. Utadhani bei ya Bajaji
Agiza gari bora kwa bei punguzo kupitia KIMOMWE MOTORS TANZANIA LIMITED.
Aina ya gari: Toyota IST
Mwaka: 2005
Cc: 1490
Injini: 1NZ- VVTi
Mafuta: Petrol
Umbali: 71,000km
Gari hii hufaa zaidi kwa matumizi binafsi. Ni gari imara na inayohimili barabara zetu, vipuri vyake ni nafuu na vinapatikana, ulaji wa mafuta ni wa chini.
Kwa mawasiliano zaidi piga 0754455865 au tembelea ofisi zetu zilizopo Magomeni Mapipa
Eti Kimomwe Motors, Magomeni Mapipa? Kama ni kuagiza gari kutoka Japan ni kampuni zenye hadhi kama BeForward, Tradecarview, SBT etc, wana ofisi zao au unaweza order online na stock ni kubwa siyo IST moja .Agiza gari bora kwa bei punguzo kupitia KIMOMWE MOTORS TANZANIA LIMITED.
Aina ya gari: Toyota IST
Mwaka: 2005
Cc: 1490
Injini: 1NZ- VVTi
Mafuta: Petrol
Umbali: 71,000km
Gari hii hufaa zaidi kwa matumizi binafsi. Ni gari imara na inayohimili barabara zetu, vipuri vyake ni nafuu na vinapatikana, ulaji wa mafuta ni wa chini.
Kwa mawasiliano zaidi piga 0754455865 au tembelea ofisi zetu zilizopo Magomeni Mapipa
Samahani, bei nimeiweka mda huu, ni 10,000,000Weka bei tafadhli