Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe kina mulokozi pande hizo hawakosi duh,Sio yeye ni Jamaa alikuwa anaitwa Edwin Mulokozi wakibadilishana na Nathan ( sikumbuki jina lake la mwisho) walikuwa wanabadilishana hizo nafasi ya pili na ya tatu.
Mimi nlikuwa sina muda na NAFASI ZAO, Nilikuwa naendeleza uchagga, kuwauzia sabuni na mafuta ya kujipaka + Biskuti na pipi kifua ( nyie mnaita tropical siku izi)..
umeona masai haibi ng'ombe?Alikuwa anaiba nini twambie
hahahaaaaaaumeona masai haibi ng'ombe?
Mkuu nimekukubali sana, historia nzuri sanaSio yeye ni Jamaa alikuwa anaitwa Edwin Mulokozi wakibadilishana na Nathan ( sikumbuki jina lake la mwisho) walikuwa wanabadilishana hizo nafasi ya pili na ya tatu.
Mimi nlikuwa sina muda na NAFASI ZAO, Nilikuwa naendeleza uchagga, kuwauzia sabuni na mafuta ya kujipaka + Biskuti na pipi kifua ( nyie mnaita tropical siku izi)..
Ndo maana Mwele yakamkuta ya kumkutaHuyu dada angu kasoma nae
Dada kaniambia alikua mmbea sana kuwasemea wenzake kila kinachotokea pia alikua mtaalamu wa kusuta kwa kukodishwa na wenzie a
Mtatiro alikuwa waziri Mkuu,DARUSO.Ha ha ha, Mtatiro alikuwa kiongozi wa Mambo ya Mikopo UD, jamaa alikuwa anapenda issue za migomo sana, yaani yeye utatuzi wake wa swala lolote ni mgomo tu.
Wewe FARAS kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kiongozi mmoja sitamtaja alikuwa anaoga amejificha kisa Ana ****** , sasa tukamvizia kwamba kwanini yeye huwa anajificha wakati wa kuoga?
Au anasubiri tumemaliza ndo anakuja kuoga,
Ndo tukagundua hayo,
Lakin bahati nzuri ilikuwa mtu social sana na anajiweza darasani na alikuwa anapendwa sana na walimu,
Salamu zuwafikie mtama,
Watu wengine wanaforce kuchekesha lakini hawajuiNilisoma na JPM jamaa alikuwa anakula sana maharage
Mwalimu wa hesabu akipita kukagua homework jamaa anajibana kwa mfumo wa kifutu anatoa kitu hicho mwalimu anarudi mwenyewe hapiti tena upande huo
Sijui kwa sasa Juma Maharage yuko wapi
acha kujilazimisha kuandika upupu ilihali nafsi yako inakusuta, andika mambo ya maana sio ujinga
Na miaka hiyo alikuwa HAJAZALIWABrother umesoma Korea??? Mbona kiduku kasoma Switzerland?? hujanishawishi bado
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] hapo stori zake ni vita tuDah! nimekumbuka mbali sana,miaka ya 1980 nilikuwa nchini korea nikichukua masomo fulani na huyu Rais wa sasa mnaemwita KIDUKU jamaa alikuwa mkorofi balaa alikuwa anatembea na bastola! jamaa alikuwa hana demu kabisa...Yeye ukikaa nae story zake ni vita tu.
Punguza uongo bhc mkuu....acha kiki dawati apeleke wap?Madawati na Chaki!!
Ha ha ha haHiyo 1980 sio ndio alikua kwenye hatua za kuzaliwa huyo kiduku
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Nilibahatika kusoma na Wassira pamoja na mizengo pinda waliokuwa mahandsome darasa zima