Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Wafuasi wake tupo.....tumejiandaa kwa mipango yote......na supplier wa kuku nchi nzima tushampata.......
Vile vile kutakuwa na kachumbari nambogamboga......
Chagua chauma....pata afya bora......

Mbogamboga unamaanisha kile chama kingine?
 
kuleni chakula bora kuku mayai na mboga, hii ni sawa hiyo? namkumbuka mzee mwinamila, inaonekana umezaliwa miaka ya 2000 Nyerere alishastaafu, yeye ndio alituhimiza tule tushibe.

Alihimiza au alitembea na shehena?
 
Hiii wajameni,

Hivi huu utani tumeshindwa kabisa kuuchorea mipaka?

Mgombea Urais kabisaaaaa, mbona asikemewe au kuondolewa mapema tu kwenye kinyang’anyiro!

Hivi taasisi ya Urais tunaichukuliaje, ni kweli watu hawana uwezo wa kumudu milo mitatu.

Lakini hii kutembea na mahando ya ubwabwa na kula hadharani ni kuonesha ufahari, kuwasimanga na kuwatamanisha wananchi!

Rungwe hautokuwa ukiwagawia misosi watu wote, waambie tu utawasaidiaje wamudu milo ya kiafya.

Hapa njaa inaniuma hadi nimeshindwa kuandika, ngoja kwanza.

Hii mizaha si vichekesho, tuikemee na kuipinga.


Simfahamu Rungwe personally ila namkubali sana, he is smart kichwani, ripoti ya utapiamlo na uduni wa afya ni Jambo nyeti na muhimu, akili ndogo haziwezi kutafsiri ananeyo ama kufanya ndugu Rungwe
 
Wafuasi wake tupo.....tumejiandaa kwa mipango yote......na supplier wa kuku nchi nzima tushampata.......
Vile vile kutakuwa na kachumbari nambogamboga......
Chagua chauma....pata afya bora......
Na pili pili safi!

Sasa si ndio.......
Mlo kamili kwa afya ya mwananchi.....na tunda moja la msimu huo........
Na maji safi!
 
Simfahamu Rungwe personally ila namkubali sana, he is smart kichwani, ripoti ya utapiamlo na uduni wa afya ni Jambo nyeti na muhimu, akili ndogo haziwezi kutafsiri ananeyo ama kufanya ndugu Rungwe

Wewe akili kubwa, hoja sio anenayo... basi jikite kwenye mada!
 
Hahahahaha!!! Afe beki afe kipa hakuna kupigwa bao!
Aaaah we mi nshaagiza mkungu wa ndizi kisukari toka Mbeya,ila kampeni naenda na kichana tu daily kwenye kila kampeni mbili kwa rais wangu zingine zangu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nlikuwa sijaona hizo potpot (kwa sauti ya mwanangu).....nimechekaaaaaaa jmn
 
Back
Top Bottom