Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

Uchaguzi 2020 SPECIAL THREAD: Taarifa za Kampeni na Sera za Mgombea Urais kupitia CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda

BREAKING NEWS. Chama cha CCK kimeanguliwa kwenye mchakato wa Uchaguzi mkuu 2020. Sababu ni nyingi Hawakulipa, mgombea mwenza hakuwepo na mengine mengi tu.
20200825_163543.jpg
 

Attachments

  • 20200825_163543.jpg
    20200825_163543.jpg
    70.6 KB · Views: 1
Vichekesho vya mwaka Hashimu Rungwe na chama Cha mfukoni aonekane katimiza vigezo Lissu ashindwe ? Bipolar disorder ugonjwa mbaya sana .
 
Rungwe kama rungwe [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji106][emoji106]
IMG_20200825_222516.jpg
Screenshot_20200825-222423_Twitter.jpg
 
  • Thanks
Reactions: PNC
hahahaha[emoji23], mkuu ukipata muda pitia twitter uone watanzania wanavomuhusudu Rungwe spunda,wengine wameenda mbali na kumuomba wali maharage tu wanadai wali nyama ni maendeleo makubwa sana mpaka wanaogopa
Kwa jinsi ninavyowajua Watanzania,hapo watakuwa wanampaka mafuta mzee wa watu kwa mgongo wa chupa.
 
Back
Top Bottom