Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Kaka sijui Dada, vipi kuhusu malipo yetu ya leo huko? Tunapata ugumu sana kutetea chama chetu huku tukiwa na njaa ujue.
Hivi wewe unadhani kuna ugumu wowote kwa JPM kushinda? Unajidanganya, Lissu hana ubavu wa kupambana na Magufuli yule ataambulia 5% ya kura zote.Amepuuza vilio vya watanzania kuhusu biashara zao kudorora, vijana kukosa ajira na kutoyakemea matukio ya utekaji, mauaji, matusi ya Musiba kwa wazee wastaafu na mengine mengi.
Alifanya maamuzi mengi kibabe. Mfano kukataza mikutano ya siasa, kukataza bunge kuwa live, n.k kwa kisingizio kuwa watanzania wachape kazi. Lakini yeye kutwa kucha yuko mubashara hata kwa mambo yasiyo na umuhimu.
Laiti kama Magufuli angekuwa msikivu, mnyenyekevu na mpenda watu, uchaguzi huu ungekuwa rahisi kwake.
Tatizo watu wanakuwa na maana zao za usikivu na unyenyekevu ambazo ni za kumtaka kiongozi aendeshe nchi kwa matakwa yao.
Tupo milioni 59 ikiwa rais atamsikilza kila mtu hip haitakuwa nchi bali itakuwa Bar.
Kampeni hazijadorora tena zimeboreshwa kwani mashambulizi yanatokea kila upande.
Mama Samia, Pinda, Kikwete, JPM na Majaliwa wanashambulia jukwaa katika mikoa tofauti huwezi kulinganisha na Lissu anayetembea mkoa mmoja hadi mwingine na akipitisha michango kwa wanaomsikiliza.
Huku akyjaber-jamberMambo mengine ni ya ajabu sana. Ukiangalia kwenye ratiba ya kampeni kwa mgombea wa ccm, imeonesha siku atakapo pumzika. Pia niwaambie cdm. Jembe litaendelea kuikanyaga nchi nzima kwa gari.
Pesa uchaguzi huu kwa upande wa CDM hakuna. Ndio inaombwa hiyo michango.Una maana hizi nyomi tuslazoziona mikutano ya CDM mwishowe hulipa pia pesa?
Nini siri yao ya kupendwa hivyo?
Jiwe na CMC watakuwa na cha kujifunza.
😀😀😀sasa hapa utakuwa kama umesusa sasaaHaya sawa, tuseme tu Magufuli amemuachia Lissu Urais,ili uridhike 😂😂.
hali ni mbaya usifanye mchezo,zisikilize vizuri kauri za viongozi wako utajua hilo,ila kwa wewe huwezi jua,na hata ukijua huwezi kutambua kwa kuwa unamacho lakini huoni.Kusema kampeni za CCM ni ngumu ni vichekesho. Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%
Rafiki zetu wa CHADEMA mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge.
😄😄 Ili jamaa 🖕afurahi, maana bila kufanya hivyo tunaweza kubishana mpaka Kiama.😀😀😀sasa hapa utakuwa kama umesusa sasaa
Kudai pesa zetu za malipo sio hoja kumbe? Wewe unalipwa kutokea wapi, kwa polepole directly au?Wewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Achana naye huyo kilaza wa Lumumba! Katumwa humu ili kuja kuharibu mijadala na hao kina polepoleKudai pesa zetu za malipo sio hoja kumbe? Wewe unalipwa kutokea wapi, kwa polepole directly au?
Nakupenda ccm ila naka nikwambie hali sivyo unavyo fikiri wenye akili wanalia na hata yeye anajuwa KAZI ipo uwenda kuna mambo hakuyaona au alidanganywa Mungu ajuwa ila Sali Kwa dini yako ukijuwa uchaguz hautokuwa kama walivyo fikiri. Why watu wamebinywa Sana SASA wameachiwa wanalipuka hata kuwazuwia kaz ipoKusema kampeni za CCM ni ngumu ni vichekesho. Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%
Rafiki zetu wa CHADEMA mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge.
Amekwenda nyumbani kupiga “NYUNGU”!! Ndio maana alitaka apite kwa mlango wa SADALA!!!Amekata moto aisee
Fikra za kuona mbali wapi?watanzania amkeni chama toka 1977 bado MNA imani tu?ajira zipo wapi Leo baada ya miaka yote hiyo?hali ya biashara na mazao ya biashara yako ktk hali ipi?Wanafunzi ndio wapiga kura wa kesho, tatizo CHADEMA mmjezana wengi wenye fikara zisizo ona mbali
Wote hao wanamjibu Lissu? Amakweli Lissu yupo juuTatizo watu wanakuwa na maana zao za usikivu na unyenyekevu ambazo ni za kumtaka kiongozi aendeshe nchi kwa matakwa yao.
Tupo milioni 59 ikiwa rais atamsikilza kila mtu hip haitakuwa nchi bali itakuwa Bar.
Kampeni hazijadorora tena zimeboreshwa kwani mashambulizi yanatokea kila upande.
Mama Samia, Pinda, Kikwete, JPM na Majaliwa wanashambulia jukwaa katika mikoa tofauti huwezi kulinganisha na Lissu anayetembea mkoa mmoja hadi mwingine na akipitisha michango kwa wanaomsikiliza.
Kwann yuko kwenye kampeini?Mdahalo unatumiwa kwa ajili ya mtu kuelezea anakusudia kufanya nini na atatumia mbinu zipi kutekeleza makusudio yake.
Magufuli anatekeleza ilani kwa vitendo kila kukicha. Sasa mdahalo wa kazi gani wakati yeye mwenyewe na urais wake ni mdahalo tosha?.