Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Ah ah ccm inawajari vijana tangu lini?? Imeshindwa kuwapatia ajira wasomi wetu kwa mamilipni mnakuja na uongo huu, mshindwe
Baada ya kupata hela nyingi zilizo tokana na miradi yao iliyokuwa imepokwa na mafisadi, na mfuko wa CCM kutuna wakaona watoe ajira kwa vijana kupitia usanii wao, hongera CCM mnawajali vijana. Hongera Katibu mkuu Dr. Bashiru
 
Naona awamu hii Dr Magufuli amedhamiria kujibu mapigo ya washindani wake moja kwa moja.

Mosi, huwezi kuongoza nchi bila kutoza kodi msidanganywe.

Pili, ndege zimenyanyua mapato ya utalii hata huyo anayebeza ndege za ATCL aliporudi nchini alipanda bajaj?!

Kiukweli sasa ndio kampeni zimeanza rasmi.

Maendeleo hayana vyama!
 
Naona awamu hii Dr Magufuli amedhamiria kujibu mapigo ya washindani wake moja kwa moja.

Mosi, huwezi kuongoza nchi bila kutoza kodi msidanganywe.

Pili, ndege zimenyanyua mapato ya utalii hata huyo anayebeza ndege za ATCL aliporudi nchini alipanda bajaj?!

Kiukweli sasa ndio kampeni zimeanza rasmi.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa hiyo hapo ndiyo unadai kwamba hoja zimejibiwa!?
 
Kosa kubwa la kiufundi atakalofanya huyu mzee wangu ni kuanza kujibu hoja za Lissu!

Na kama kweli amedhamiria kuzijibu nadhani sehemu muafaka kabisa ni kwenye mdahalo wa wawili hao!!
 
Naona awamu hii Dr Magufuli amedhamiria kujibu mapigo ya washindani wake moja kwa moja.

Mosi, huwezi kuongoza nchi bila kutoza kodi msidanganywe.

Pili, ndege zimenyanyua mapato ya utalii hata huyo anayebeza ndege za ATCL aliporudi nchini alipanda bajaj?!

Kiukweli sasa ndio kampeni zimeanza rasmi.

Maendeleo hayana vyama!
Hajajibu swali,anauliza ndege zikinunuliwa kiasa gharama gani? Je shirika la ndege linaendesha kwa faida? Je CAG amelikagua shirika la ndege lini? Je Sasa ndege zilizonunuliwa zinasafiri kwenda nchi gani?
 
Naona awamu hii Dr Magufuli amedhamiria kujibu mapigo ya washindani wake moja kwa moja.

Mosi, huwezi kuongoza nchi bila kutoza kodi msidanganywe.

Pili, ndege zimenyanyua mapato ya utalii hata huyo anayebeza ndege za ATCL aliporudi nchini alipanda bajaj?!

Kiukweli sasa ndio kampeni zimeanza rasmi.

Maendeleo hayana vyama!
Tuanzie kwenye kodi kwani kuna mgombea yeyote aliesema hatakusanya kodi?kupotosha wakati mwengine kunashusha heshima mana unaonekana muongo😂😂😂😂😂
 
Naona awamu hii Dr Magufuli amedhamiria kujibu mapigo ya washindani wake moja kwa moja.

Mosi, huwezi kuongoza nchi bila kutoza kodi msidanganywe.

Pili, ndege zimenyanyua mapato ya utalii hata huyo anayebeza ndege za ATCL aliporudi nchini alipanda bajaj?!

Kiukweli sasa ndio kampeni zimeanza rasmi.

Maendeleo hayana vyama!
CCM mna laana nyie. Magufuli yuko kanda ya Ziwa Victoria ambako usiku wa kuamkia leo malaika wadogo wamepoteza maisha kwakuunguzwa na moto (kwakuunguzwa na moto) huko Kagera.

Ila bado wako jukwaani na wasanii wanakata mauno. Hivi hawana hata chembechembe ya huruma? Hata tamko hakuna wakati ndo wenye mamlaka?

Kwanini ndani ya muda mfupi hii ni shule ya tano ya Waislam kuwaka moto?
Kwanini Rais asionyeshe msisitizo hata kwa unafiki kukemea jambo hili na kuagiza suluhisho la haraka?

Yeye kujibu hoja za Lissu anaona sifa ila kuwaza wanetu wanaochomwa kama mishkaki mabwenini hataki hata kuwaza.
Iko Siku Mungu atashuka mwenyewe.
 
Naona awamu hii Dr Magufuli amedhamiria kujibu mapigo ya washindani wake moja kwa moja.

Mosi, huwezi kuongoza nchi bila kutoza kodi msidanganywe.

Pili, ndege zimenyanyua mapato ya utalii hata huyo anayebeza ndege za ATCL aliporudi nchini alipanda bajaj?!

Kiukweli sasa ndio kampeni zimeanza rasmi.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa hiyo siku alizokuwa mapumzikoni alikuwa anatafuta majibu ya hoja za Lissu ?Sasa Lissu akija na hoja nzito zaidi(ambazo zipo lukuki) si itabidi ajitoe kabisa kwenye uchaguzi? Wakati mwingine mnakuwa na kiherehere cha kujifanya kumsaidia kumbe ndiyo mnazidi kuharibu.
 
Kosa kubwa la kiufundi atakalofanya huyu mzee wangu ni kuanza kujibu hoja za Lisu!

Na kama kweli amedhamiria kuzijibu nadhani sehemu muafaka kabisa ni kwenye mdahalo wa wawili hao!!
Mwache ajichanganye
 
Na kale kamguu kake anakoshindwa kukakunja angekujaje Tanzania kama hakukuwa na ndege? Eti ndege hazina faida, khaa.
 
Naona awamu hii Dr Magufuli amedhamiria kujibu mapigo ya washindani wake moja kwa moja.

Mosi, huwezi kuongoza nchi bila kutoza kodi msidanganywe.

Pili, ndege zimenyanyua mapato ya utalii hata huyo anayebeza ndege za ATCL aliporudi nchini alipanda bajaj?!

Kiukweli sasa ndio kampeni zimeanza rasmi.

Maendeleo hayana vyama!
Hahahaa

Kichaa huyo,hakuna ndege ya TZ inaenda Ulaya,alitoka Belgium kaja na KLM hapa TZ..

Sasa sijui kama KLM ni ATC?

Au ATC siku hizi ni KLM iliyochangamka labda?
 
Naona awamu hii Dr Magufuli amedhamiria kujibu mapigo ya washindani wake moja kwa moja.

Mosi, huwezi kuongoza nchi bila kutoza kodi msidanganywe.

Pili, ndege zimenyanyua mapato ya utalii hata huyo anayebeza ndege za ATCL aliporudi nchini alipanda bajaj?!

Kiukweli sasa ndio kampeni zimeanza rasmi.

Maendeleo hayana vyama!
Mzee mgaya sisi wafanyabiashara ndo tunajua jinsi Kodi kubwa zinavyo ya biashara, pia Kodi zinadumaza biashara tunahitaji kupunguza kkodi na mfumo wa Kodi utakao ongeza tax base
 
Kwani kabla ya magufuli kununua ndege watu walikua wanapanda bajaji kwenda marekani?

Tunazungumzia hizo pesa alizonunua hiyo midege kulikua hakuna umuhimu wowote kuunguza pesa kwa ajili ya midege ambayo asilimia 80 ya wananchi hawajui hata nauli yake.

Hizo pesa angeweza kuzitumia kufanya miundombinu itakayo mnufaisha mwananchi wenye hali ya chini. Mtu anaye panda ndege kwenda nchi za kimataifa huwezi kumuweka kwenye kundi la watu maskini ambao milo mitatu kwao ni shida.
 
Kwa hiyo siku alizokuwa mapumzikoni alikuwa anatafuta majibu ya hoja za Lissu ?Sasa Lissu akija na hoja nzito zaidi(ambazo zipo lukuki) si itabidi ajitoe kabisa kwenye uchaguzi? Wakati mwingine mnakuwa na kiherehere cha kujifanya kumsaidia kumbe ndiyo mnazidi kuharibu.
Bwashee hapa Moshi kwa miaka zaidi ya 30 tulikuwa hatuna treni lakini sasa tunayo.
 
Kosa kubwa la kiufundi atakalofanya huyu mzee wangu ni kuanza kujibu hoja za Lissu!

Na kama kweli amedhamiria kuzijibu nadhani sehemu muafaka kabisa ni kwenye mdahalo wa wawili hao!!
Hivi Lisu ni nani?
Atajibiwa majukwani tena kwa nyodo kama anavyofanya yeye nwenyewe!

Yani wanachadema wanafikiri Lisu anaogopwa [emoji3][emoji3][emoji3]

Lisu zaidi ya kejeli na sauti ya kufoka ana nini kingine?
 
Back
Top Bottom