Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kwabahati mbaya unaongea habari za kigoma ila unaonekana si mwanakigoma, nakama ndio basi umeongea kimahaba zaidi.

Kigoma washenzi sana kila atakaeenda atajaza watu kwasababu walewale wanaokuja kwenye mkutano wa JPM ndio watakaokuja kwa LISU. Huwa wanapenda sana kumsikiliza mtu anasemaje hata kama hawampendi ili badae wakabishane vijiweni.

Nakukumbusha 2015 kawawa ilijaa hadi wengne wakapanda juu ya ukuta ila mwisho wa siku ubunge na madiwani wakampa Act.

Pili Kigoma kampeni za ndani (Nyumba kwa nyumba) ndo huwa zina mpa maamuzi mpiga kura. Hawategemei sana kampeni za majukwaa wao wanaenda kwenye mkutano ila washajua kula wanapiga wapi. 2005 kilitokea hichi kwa Kaburu baada yakujaza watu kwenye mikutano afu akapigwa chini.

Tatu Kigoma kula za Uraisi ni za Magufuri kwasababu kule Chadema ilipoteza Nguvu baada yakumtoa ZITTO. Ukizingatia wanajua kabisa membe hawezi kupita.

4: Kigoma hasa pale mjini udini na ukanda huwa unamuamulia mpiga kura wapi apeleke kura yake.

5: ZITTO anajua sana jinsi yakucheza na akili zao. Mana huwa anayoahidi 75% yanafanyika ko haijalishi nani kafanya ila wanajua yeye kafanya mana huwa anakua wakwanza kusemea.

Ko kung'oa ZITO kigoma sio kazi rahisi kama unavyofikiria labda irumike nguvu ya Ziada ya gori la mkono.

Kigoma ni ya wana Kigoma, wale watu hawana tofauti kabisa na Wapemba wa kule visiwani kwani unaongea nao na kukupigia makofi lakini moyoni wana chaguo lao

Na safari hii ndio kabisaa kwani pamoja na kutokuungana kwa Chadema na ACT kisheria lakini ni wazi Zitto ni rafiki binafsi wa Lissu mpaka aliweza kwenda kumsalimia Nairobi na Belgium? sasa hapo sioni kwamba Lissu atakuwa hayawani kuingia kwenye ngome yake na kumsambaratisha bali leo Lissu atapigilia msumari wa mwisho kama alivyofanya Zanzibar
 
Mkoa ulikua haujaunganishwa na Barabara, Grid ya taifa leo vinafanyika wapinzani wanasema havina maana, kwa nini wasikataliwe!

Huijui kigoma ungefunga bakuli lako.ni kikwete peke yake ndo alkuwa na mapenz na kigoma.miaka5 sasa toka Jamaa aingie barabara ni zilezile aloziacha kikwete umeme bado niwa generator una ongea nini wewe? Uwe unaenda ubungo kuangalia mabasi yanayotoka kigoma uone yalivyojaa vumbi.abiria utafkiri wafanyakazi wa mashineni kwa namna wanavyolipiga hilo vumbi humo njiani.
 
Kwa hiyo mmefanya tamasha la wasii mkaona haitoshi ikabidi muongeze nguvu kutoka Burundi lengo ni kumuangusha Zitto!!

Sasa Magufuli amekaa siku mbili tu akiondoka tu Zitto anakuja kufuta nyoyo zake zote,na Kabla ya Zitto kuja anapita Lissu anamtandika Màgufuli spanner za speed ya 5G
 
Ni kama kuvunja rekodi kwa aina yake mwaka huu kitu ambacho si kizuri kwa ACT Wazalendo kwani Kigoma ni kama miguu ya ACT Wazalendo hivyo ukikata ngwala Kigoma maana ni kama CCM imeua mtu au kubaka kabisa. Kuna kila haja ya Zitto kuliangalia hili anguko kwa umakini na kuchukua hatua za maksudi kuepuka janga hilo.

Kinachokwenda kutokea ni kuwa Tanzania Bara hakutakuwa na ACT Wazalendo ila Zanzibar itakuwepo, hili ndilo linaloonekana kwa sasa.
Unawajua watu wa Kigoma mbele ya burudani ya mziki??? Unakumbuka walivyojaa kwenye tamasha la diamond????

Umewapelekea Ali kiba, Harmonize, Linex , wanamuziki wa singeli alafu wasijae???
 
Kuna mgombea anaongea mpaka sauti ina mkauka mishipa imemtoka lakini kazi ni kukariri yale yale kila anapoongea na wananchi bila kuangalia mahitaji ya eneo husika na uelewa wa anao ongea nao. Hii ni kama mtu aliye zaliwa kipofu bahati nzuri macho yakafunguka kwa sekunde moja akawa kamwona punda mbele yake kisha macho kufunga tena. Kuanzia siku hiyo ikawa kila unacho sema yeye anasema ni kama punda. Ukisema fulani kajenga nyumba nzuri anasema kama punda? Ukisema fulani kanunua gari zuri yeye anasema kama punda? Ukisema dada fulani ni mzuri anasema kama punda?

Sasa huyu mgombea naye kakariri hata kabla hajaanza kuongea unajua kabisa atakariri mabilioni wizara ya afya, ndege, sgr, stigula, urefu wa barabara, bure elimu. Wakati mwingine hata anao ongea nao hawajui bilioni ina elfu moja ngapi kwakuwa maisha yao ni ya chini sana yanaishia kwenye elfu lakini yeye amekazana kutaja mabilioni. Mara ndege wakati wananchi anao ongea nao maisha yao ni baiskeli wana hitaji maji. Wengine wame dhurumiwa korosho zao. Hayupo contextual wala contemporary kabisa. Akienda kanisani ni hivyo hivyo. Bora wangekuwa wanaweka CD au flash ya hotuba yake inapofika zamu ya kuhutubia kwani wana mchosha wakati hana muktadha kabisa.
 
Kipindi kile cha dark ages akiwa ana recite idadi ya samaki ziwani basi mazuzu walikuwa wanamuona jamaa kama bonge la genius kumbe mbugira tu.
Jamaa hadi alishiba sifa akaanza kuita watu wengine vilaza.

Mamaaaaa🙆🙆🙆🙆 miaka 5 imekuwa kama upepo, imetosha kuonesha nyeti za kuku hakuna kitu pale. Ni fuvu la kubebea macho, masikio na nywele.

Mungu ingilia kati.
 
Jamaa hadi alishiba sifa akaanza kuita watu vilaza.

Mamaaaaa miaka 5 imekuwa kama upepo, imetosha kuonesha nyeti za kuku hakuna kitu pale. Ni fuvu la kubebea macho, masikio na nywele.

Mungu ingilia kati.
Ila Dr Slaa alimuonea sana kumuita Kikwete Dr nini sijuiiiii, walati wenye phd feki tumejionea wenyewe jinsi walivyo.
 
Wakati mwingine hata anao ongea nao hawajui bilioni ina elfu moja ngapi kwakuwa maisha yao ni ya chini sana yanaishia kwenye elfu lakini yeye amekazana kutaja mabilioni.

Mara ndege wakati wananchi anao ongea nao maisha yao ni baiskeli wana hitaji maji.

Wengine wame dhurumiwa korosho zao. Hayupo contextual wala contemporary kabisa.

Akienda kanisani ni hivyo hivyo.

Bora wangekuwa wanaweka CD au flash ya hotuba yake inapofika zamu ya kuhutubia kwani wana mchosha wakati hana muktadha kabisa.
 
Kuna mgombea anaongea mpaka sauti ina mkauka mishipa imemtoka lakini kazi ni kukariri yale yale kila anapoongea na wananchi bila kuangalia mahitaji ya eneo husika na uelewa wa anao ongea nao. Hii ni kama mtu aliye zaliwa kipofu bahati nzuri macho yakafunguka kwa sekunde moja akawa kamwona punda mbele yake kisha macho kufunga tena. Kuanzia siku hiyo ikawa kila unacho sema yeye anasema ni kama punda. Ukisema fulani kajenga nyumba nzuri anasema kama punda? Ukisema fulani kanunua gari zuri yeye anasema kama punda? Ukisema dada fulani ni mzuri anasema kama punda?

Sasa huyu mgombea naye kakariri hata kabla hajaanza kuongea unajua kabisa atakariri mabilioni wizara ya afya, ndege, sgr, stigula, urefu wa barabara, bure elimu. Wakati mwingine hata anao ongea nao hawajui bilioni ina elfu moja ngapi kwakuwa maisha yao ni ya chini sana yanaishia kwenye elfu lakini yeye amekazana kutaja mabilioni. Mara ndege wakati wananchi anao ongea nao maisha yao ni baiskeli wana hitaji maji. Wengine wame dhurumiwa korosho zao. Hayupo contextual wala contemporary kabisa. Akienda kanisani ni hivyo hivyo. Bora wangekuwa wanaweka CD au flash ya hotuba yake inapofika zamu ya kuhutubia kwani wana mchosha wakati hana muktadha kabisa.
Tuwaombeeni viongozi wetu, mmoja wa wagombea alidondoka jukwaani mchana kweupe,
Sasa wewe umekalia majungu tu Wakati mgombea kupitia Chama chako anadondoka jukwaani
 
Tuwaombeeni viongozi wetu, mmoja wa wagombea alidondoka jukwaani mchana kweupe,
Sasa wewe umekalia majungu tu Wakati mgombea kupitia Chama chako anadondoka jukwaani
Sababu mlimpiga risasi ili afe. Hajafa sasa. Na wewe utakufa kabla yake ili alione kaburi lako. Kama alivyokufa yule aliyetuita Malofa. Sema Ameen
 
Back
Top Bottom