Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Sababu mlimpiga risasi ili afe. Hajafa sasa. Na wewe utakufa kabla yake ili alione kaburi lako. Kama alivyokufa yule aliyetuita Malofa. Sema Ameen
Mkuu kuongelea swala la kufa ni Ujinga Kwa kuwa hakuna atayeishi milele, Kwa hiyo unamnaga Nani na kufa? Mimi nitakufa ndiyo, kumbuka na wewe utakufa

Nimesema, tuwaombee viongozi wetu, halafu unachoandika hakiendani kabisa na nilichoandika
 
Nakukumbusha mkuu.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World MASIKINI ZAIDI DUNIANI. inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)

CCM imetufikisha hapa
 
Well said anaongea kuhusu flyovers na watu wa Kasulu. Zinawasaidia nini sasa katika maisha yao ya kila siku ?Wanakunywa maji machafu,umeme hawana. Ndege zinawasaidia nini sasa ?Hata tiketi za ndege hawajui zinauzwa wapi. 😂😂😂😂
 
Mkuu kuongelea swala la kufa ni Ujinga Kwa kuwa hakuna atayeishi milele, Kwa hiyo unamnaga Nani na kufa? Mimi nitakufa ndiyo, kumbuka na wewe utakufa

Nimesema, tuwaombee viongozi wetu, halafu unachoandika hakiendani kabisa na nilichoandika
Kumdhihaki mtu mliyempiga risasi ili afe na hakufa ni ujinga maana hata wewe kabla hujafa utakuwa mlemavu. Sema Ameen
 
Kumdhihaki mtu mliyempiga risasi ili afe na hakufa ni ujinga maana hata wewe kabla hujafa utakuwa mlemavu. Sema Ameen
Okay! Nishajua najibizana na mtu wa type ipi, hunisumbui tena! Na sikufuatilii tena, Endelea mkuu

Sema amen
 
Subiri Lissu afike kwanza ndio tutajadili hili
Sasa lissu akifika kweli mtampokea kwa shangwe. Huyu LISSU aliyetumiwa na Mbowe na Mtei kumsaliti Zitto na hata kugomea kumzika Mjumbe wao wa kamati kuu Marehemu Mama Zitto. Tutaona kama wana kigoma wana muungano au ni wanafiki na wanuzana.
 
Heheh kawashika mabaya..wakati wengine wanasema tutafanya( maneno) wengine wanasema tumefanya( vitendo)..actions speak louder.
 
Nani kakwambia kuwa wote unaowaona hapo wanampenda Magufuli? Sisi ambao tumezaliwa na kukulia vijijini, tunajua maana ya kwenda kumwona uso kwa uso mtu ambaye siku zote umekuwa ukimsikia redioni ama kumwona kwenye TV. Yaani kwenda kushangaa. Na isitoshe, usijifanye kuwa haujasoma nyaraka za ofisi zikilazimisha watu kwenda kwenye mikutano ya Magufuli, shule kufungwa ili wanafunzi na walimu waende kwenye mikutano ya Magufuli. Na hata picha kuletwa hapa JF na mitandao ya kijamii. Na picha za watu kusombwa pia haujaziona? Na Mama Maria Nyerere naye haukumsikia? It is an artificial audience kwa ajili ya kampeni ya kisaikolojia. Otherwise, haina maana yoyote.
Ni kama kuvunja rekodi kwa aina yake mwaka huu kitu ambacho si kizuri kwa ACT Wazalendo kwani Kigoma ni kama miguu ya ACT Wazalendo hivyo ukikata ngwala Kigoma maana ni kama CCM imeua mtu au kubaka kabisa. Kuna kila haja ya Zitto kuliangalia hili anguko kwa umakini na kuchukua hatua za maksudi kuepuka janga hilo.

Kinachokwenda kutokea ni kuwa Tanzania Bara hakutakuwa na ACT Wazalendo ila Zanzibar itakuwepo, hili ndilo linaloonekana kwa sasa.
 
Anaponifurahisha zaidi ety anashangaa kwa nini kajenga madarasa 9 tyu .. huyo huyo ashangae kwa nini watu wanakunywa tope , amalize aseme tulichezewa sana ,amalize aseme maendeleo ayana chama, ghafla anene kwa lugha msiniletee wa chama kingine.

Mara arusha chato tuliweka taa za barabarani ..usema ukweli tulipigwa kuletewa huyu mtu , ni vile tu kila mtu analinda ugali wake na familia yake ila ata wao hawamtaki.
 
Kuna mgombea anaongea mpaka sauti ina mkauka mishipa imemtoka lakini kazi ni kukariri yale yale kila anapoongea na wananchi bila kuangalia mahitaji ya eneo husika na uelewa wa anao ongea nao. Hii ni kama mtu aliye zaliwa kipofu bahati nzuri macho yakafunguka kwa sekunde moja akawa kamwona punda mbele yake kisha macho kufunga tena. Kuanzia siku hiyo ikawa kila unacho sema yeye anasema ni kama punda. Ukisema fulani kajenga nyumba nzuri anasema kama punda? Ukisema fulani kanunua gari zuri yeye anasema kama punda? Ukisema dada fulani ni mzuri anasema kama punda?

Sasa huyu mgombea naye kakariri hata kabla hajaanza kuongea unajua kabisa atakariri mabilioni wizara ya afya, ndege, sgr, stigula, urefu wa barabara, bure elimu. Wakati mwingine hata anao ongea nao hawajui bilioni ina elfu moja ngapi kwakuwa maisha yao ni ya chini sana yanaishia kwenye elfu lakini yeye amekazana kutaja mabilioni. Mara ndege wakati wananchi anao ongea nao maisha yao ni baiskeli wana hitaji maji. Wengine wame dhurumiwa korosho zao. Hayupo contextual wala contemporary kabisa. Akienda kanisani ni hivyo hivyo. Bora wangekuwa wanaweka CD au flash ya hotuba yake inapofika zamu ya kuhutubia kwani wana mchosha wakati hana muktadha kabisa.
Unasemaaaaaaaaaa?
 
Leo uwanjani hawapo wengi kama jana ..wameshinswaje kujaa kumuona na rais wa Burundi
Nani kakwambia kuwa wote unaowaona hapo wanampenda Magufuli? Sisi ambao tumezaliwa na kukulia vijijini, tunajua maana ya kwenda kumwona uso kwa uso mtu ambaye siku zote umekuwa ukimsikia redioni ama kumwona kwenye TV. Yaani kwenda kushangaa. Na isitoshe, usijifanye kuwa haujasoma nyaraka za ofisi zikilazimisha watu kwenda kwenye mikutano ya Magufuli, shule kufungwa ili wanafunzi na walimu waende kwenye mikutano ya Magufuli. Na hata picha kuletwa hapa JF na mitandao ya kijamii. Na picha za watu kusombwa pia haujaziona? Na Mama Maria naye haukumsikia? It is an artificial audience kwa ajili ya kampeni ya kisaikolojia. Otherwise, haina maana yoyote.
 
Kuna mgombea anaongea mpaka sauti ina mkauka mishipa imemtoka lakini kazi ni kukariri yale yale kila anapoongea na wananchi bila kuangalia mahitaji ya eneo husika na uelewa wa anao ongea nao. Hii ni kama mtu aliye zaliwa kipofu bahati nzuri macho yakafunguka kwa sekunde moja akawa kamwona punda mbele yake kisha macho kufunga tena. Kuanzia siku hiyo ikawa kila unacho sema yeye anasema ni kama punda. Ukisema fulani kajenga nyumba nzuri anasema kama punda? Ukisema fulani kanunua gari zuri yeye anasema kama punda? Ukisema dada fulani ni mzuri anasema kama punda?

Sasa huyu mgombea naye kakariri hata kabla hajaanza kuongea unajua kabisa atakariri mabilioni wizara ya afya, ndege, sgr, stigula, urefu wa barabara, bure elimu. Wakati mwingine hata anao ongea nao hawajui bilioni ina elfu moja ngapi kwakuwa maisha yao ni ya chini sana yanaishia kwenye elfu lakini yeye amekazana kutaja mabilioni. Mara ndege wakati wananchi anao ongea nao maisha yao ni baiskeli wana hitaji maji. Wengine wame dhurumiwa korosho zao. Hayupo contextual wala contemporary kabisa. Akienda kanisani ni hivyo hivyo. Bora wangekuwa wanaweka CD au flash ya hotuba yake inapofika zamu ya kuhutubia kwani wana mchosha wakati hana muktadha kabisa.
Bora wangekuwa wanaweka CD au flash ya hotuba yake inapofika zamu ya kuhutubia kwani wana mchosha wakati hana muktadha kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwabahati mbaya unaongea habari za kigoma ila unaonekana si mwanakigoma, nakama ndio basi umeongea kimahaba zaidi.

Kigoma washenzi sana kila atakaeenda atajaza watu kwasababu walewale wanaokuja kwenye mkutano wa JPM ndio watakaokuja kwa LISU. Huwa wanapenda sana kumsikiliza mtu anasemaje hata kama hawampendi ili badae wakabishane vijiweni.

Nakukumbusha 2015 kawawa ilijaa hadi wengne wakapanda juu ya ukuta ila mwisho wa siku ubunge na madiwani wakampa Act.

Pili Kigoma kampeni za ndani (Nyumba kwa nyumba) ndo huwa zina mpa maamuzi mpiga kura. Hawategemei sana kampeni za majukwaa wao wanaenda kwenye mkutano ila washajua kula wanapiga wapi. 2005 kilitokea hichi kwa Kaburu baada yakujaza watu kwenye mikutano afu akapigwa chini.

Tatu Kigoma kula za Uraisi ni za Magufuri kwasababu kule Chadema ilipoteza Nguvu baada yakumtoa ZITTO. Ukizingatia wanajua kabisa membe hawezi kupita.

4: Kigoma hasa pale mjini udini na ukanda huwa unamuamulia mpiga kura wapi apeleke kura yake.

5: ZITTO anajua sana jinsi yakucheza na akili zao. Mana huwa anayoahidi 75% yanafanyika ko haijalishi nani kafanya ila wanajua yeye kafanya mana huwa anakua wakwanza kusemea.

Ko kung'oa ZITO kigoma sio kazi rahisi kama unavyofikiria labda irumike nguvu ya Ziada ya gori la mkono.
Zitto anamuunga mkono Lissu na hii ni karata kubwa sana ya CHADEMA kubeba kura nyingi kigoma.

Kati ya kura Mil 1.3 za Kigoma tutabeba kura laki 6. Kwa mkoa mzima.
 
Jamaa hadi alishiba sifa akaanza kuita watu vilaza.

Mamaaaaa miaka 5 imekuwa kama upepo, imetosha kuonesha nyeti za kuku hakuna kitu pale. Ni fuvu la kubebea macho, masikio na nywele.

Mungu ingilia kati.

JPM kawashika pabaya usbadilishe station japo hapo mpakaa 28 october tumuone rais wa ubeligiji atakimbilia wapi Membe anakesi bado ya utakatishaji wa pesa huyo kazi kwisha ...Mungu ni yuleyule wa korona ndo huyohuyo wa uchaguzi 🤔
 
Back
Top Bottom