Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Sababu mlimpiga risasi ili afe. Hajafa sasa. Na wewe utakufa kabla yake ili alione kaburi lako. Kama alivyokufa yule aliyetuita Malofa. Sema Ameen
Mkuu kuongelea swala la kufa ni Ujinga Kwa kuwa hakuna atayeishi milele, Kwa hiyo unamnaga Nani na kufa? Mimi nitakufa ndiyo, kumbuka na wewe utakufa

Nimesema, tuwaombee viongozi wetu, halafu unachoandika hakiendani kabisa na nilichoandika
 
Nakukumbusha mkuu.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World MASIKINI ZAIDI DUNIANI. inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)

CCM imetufikisha hapa
 
Well said anaongea kuhusu flyovers na watu wa Kasulu. Zinawasaidia nini sasa katika maisha yao ya kila siku ?Wanakunywa maji machafu,umeme hawana. Ndege zinawasaidia nini sasa ?Hata tiketi za ndege hawajui zinauzwa wapi. 😂😂😂😂
 
Mkuu kuongelea swala la kufa ni Ujinga Kwa kuwa hakuna atayeishi milele, Kwa hiyo unamnaga Nani na kufa? Mimi nitakufa ndiyo, kumbuka na wewe utakufa

Nimesema, tuwaombee viongozi wetu, halafu unachoandika hakiendani kabisa na nilichoandika
Kumdhihaki mtu mliyempiga risasi ili afe na hakufa ni ujinga maana hata wewe kabla hujafa utakuwa mlemavu. Sema Ameen
 
Kumdhihaki mtu mliyempiga risasi ili afe na hakufa ni ujinga maana hata wewe kabla hujafa utakuwa mlemavu. Sema Ameen
Okay! Nishajua najibizana na mtu wa type ipi, hunisumbui tena! Na sikufuatilii tena, Endelea mkuu

Sema amen
 
Subiri Lissu afike kwanza ndio tutajadili hili
Sasa lissu akifika kweli mtampokea kwa shangwe. Huyu LISSU aliyetumiwa na Mbowe na Mtei kumsaliti Zitto na hata kugomea kumzika Mjumbe wao wa kamati kuu Marehemu Mama Zitto. Tutaona kama wana kigoma wana muungano au ni wanafiki na wanuzana.
 
Heheh kawashika mabaya..wakati wengine wanasema tutafanya( maneno) wengine wanasema tumefanya( vitendo)..actions speak louder.
 
Nani kakwambia kuwa wote unaowaona hapo wanampenda Magufuli? Sisi ambao tumezaliwa na kukulia vijijini, tunajua maana ya kwenda kumwona uso kwa uso mtu ambaye siku zote umekuwa ukimsikia redioni ama kumwona kwenye TV. Yaani kwenda kushangaa. Na isitoshe, usijifanye kuwa haujasoma nyaraka za ofisi zikilazimisha watu kwenda kwenye mikutano ya Magufuli, shule kufungwa ili wanafunzi na walimu waende kwenye mikutano ya Magufuli. Na hata picha kuletwa hapa JF na mitandao ya kijamii. Na picha za watu kusombwa pia haujaziona? Na Mama Maria Nyerere naye haukumsikia? It is an artificial audience kwa ajili ya kampeni ya kisaikolojia. Otherwise, haina maana yoyote.
 
Anaponifurahisha zaidi ety anashangaa kwa nini kajenga madarasa 9 tyu .. huyo huyo ashangae kwa nini watu wanakunywa tope , amalize aseme tulichezewa sana ,amalize aseme maendeleo ayana chama, ghafla anene kwa lugha msiniletee wa chama kingine.

Mara arusha chato tuliweka taa za barabarani ..usema ukweli tulipigwa kuletewa huyu mtu , ni vile tu kila mtu analinda ugali wake na familia yake ila ata wao hawamtaki.
 
Unasemaaaaaaaaaa?
 
Leo uwanjani hawapo wengi kama jana ..wameshinswaje kujaa kumuona na rais wa Burundi
 
Bora wangekuwa wanaweka CD au flash ya hotuba yake inapofika zamu ya kuhutubia kwani wana mchosha wakati hana muktadha kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zitto anamuunga mkono Lissu na hii ni karata kubwa sana ya CHADEMA kubeba kura nyingi kigoma.

Kati ya kura Mil 1.3 za Kigoma tutabeba kura laki 6. Kwa mkoa mzima.
 
Jamaa hadi alishiba sifa akaanza kuita watu vilaza.

Mamaaaaa miaka 5 imekuwa kama upepo, imetosha kuonesha nyeti za kuku hakuna kitu pale. Ni fuvu la kubebea macho, masikio na nywele.

Mungu ingilia kati.

JPM kawashika pabaya usbadilishe station japo hapo mpakaa 28 october tumuone rais wa ubeligiji atakimbilia wapi Membe anakesi bado ya utakatishaji wa pesa huyo kazi kwisha ...Mungu ni yuleyule wa korona ndo huyohuyo wa uchaguzi 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…