Wasanii nao ni mbinu sema nyie pesa hakuna itakuwa mna shida sanamwambie aende uwanjani bila wasanii aone namna "anavyokubalika" vizuri...kutumia wasanii hata Hashim Rungwe uwanja usingetosha!.
uzuri maeneo ya mijini wengi wameanza kuwashitukia huu utapeli wenu wa kuwatumia wasanii watu wanaenda kushangaa show za bure tuu
Ukiona mtu anapewa t-shirt ya CCM na kipeperushi na akavaa akaenda kwenye kampeni za CCM jua ni CCM kabla Ila hakuwa na t-shirt wala kofia kabla. Kwa hali ilivyo huwezi mvalisha mfuasi wa Lissu t-shirt na kofia ya ccm akakubali. So, ukiona nyomi usishangae sana. Nakuhakikishia walioguswa na uongozi wa JPM hasa wa hali ya chini ni wengi sana. Subirini 28 October ndo mtaelewa.Mwendokasi na DSM zote zitakodiwa na CCM na zitabeba watu kutoka kila kona ya mji!
Tshirt na vipeperushi vitagawiwa bure !
Sisi ndio watawala tunaamua tunavyotaka hapa mjiniVipi mmeshaandaa scania na fuso ngapi kubeba raia kutoka mikoa ya pembezoni?
Na vipi siku hiyo mtawapa off wanafunzi tuu ama kwa watumishi wote wa umma?
Unforgetable
T-shirt bei gani babu acha uzeeUkiona mtu anapewa t-shirt ya CCM na kipeperushi na akavaa akaenda kwenye kampeni za CCM jua ni CCM kabla Ila hakuwa na t-shirt wala kofia kabla. Kwa hali ilivyo huwezi mvalisha mfuasi wa Lissu t-shirt na kofia ya ccm akakubali. So, ukiona nyomi usishangae sana. Nakuhakikishia walioguswa na uongozi wa JPM hasa wa hali ya chini ni wengi sana. Subirini 28 October ndo mtaelewa.
Yaani mziki wa dar ndo usipime! Hiyo ndo itakua funga kazi! Kwa Dar Hilo halina ubishi jpm anakubalika sana!.
Kwa umasikini uliopo kwa wananchi mtu kupata tshirt ya bure na burudani ya viwango vya fiesta,hawezi kukataa!Ukiona mtu anapewa t-shirt ya CCM na kipeperushi na akavaa akaenda kwenye kampeni za CCM jua ni CCM kabla Ila hakuwa na t-shirt wala kofia kabla. Kwa hali ilivyo huwezi mvalisha mfuasi wa Lissu t-shirt na kofia ya ccm akakubali. So, ukiona nyomi usishangae sana. Nakuhakikishia walioguswa na uongozi wa JPM hasa wa hali ya chini ni wengi sana. Subirini 28 October ndo mtaelewa.
Hapa ni njiani tu Jpm akifika Kigoma ! Watu wamekusanyika hivyo na Hakuna wasanii hapo!, sasa vuta picha itakavyo kuwa Dar ! Ndo mtajua hamjui.mwambie aende uwanjani bila wasanii aone namna "anavyokubalika" vizuri...kutumia wasanii hata Hashim Rungwe uwanja usingetosha!.
uzuri maeneo ya mijini wengi wameanza kuwashitukia huu utapeli wenu wa kuwatumia wasanii watu wanaenda kushangaa show za bure tuu
Wewe t-shirt unazo au ndio walewaleKwa umasikini uliopo kwa wananchi mtu kupata tshirt ya bure na burudani ya viwango vya fiesta,hawezi kukataa!
Hawa wengi wao ni wapiga kura wasio na vyama!Utashangaa akienda mgombea mwingine nao wanaenda pia!
Hapa ni njiani tu Jpm akifika Kigoma ! Watu wamekusanyika hivyo na Hakuna wasanii hapo!, sasa vuta picha itakavyo kuwa Dar ! Ndo mtajua hamjui. View attachment 1574279
Hivi kwa mnavyo fikili hapa Dar bila wasanii !. Watu hawawezi kwenda kumuona jpm ! Mara ngap msafar wake ulikuwa ukisimamishwa na nyomi!mwambie aende uwanjani bila wasanii aone namna "anavyokubalika" vizuri...kutumia wasanii hata Hashim Rungwe uwanja usingetosha!.
uzuri maeneo ya mijini wengi wameanza kuwashitukia huu utapeli wenu wa kuwatumia wasanii watu wanaenda kushangaa show za bure tuu
watu wa Dar tunapenda sana kuwaona wasanii waki perform live majukwaani.Kama amejaza hivyo Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Kagera mpaka viwanja vikajaa na watu kubakia nje huku barabara zikiwa zimejaa, sipati picha hapa Dar.
Huu ndio kila kitu na wabunge wake watatu wote walihamia CCM kutoka CHADEMA kabla upinzani haujafa huku ukitoa taswira ya aibu siku Lissu alipozindua kampeni Mbagala na kuambulia vitoto vya shule.
Wakati tunazindua kampein zetu Jangwani mwaka 2015 watu walijaa sana ingawa kulikuwa na wingu la Lowassa kwa sasa sisi wanadar tunangoja kwa hamu kama vile wapentekosti wakimsubilia masia sisi ni zaidi nabii wetu wa maendeleo anakuja kutua Dar, mji utazizima kwa furaha sio bodaboda, mamantilie achilia mbali wasomi kama mimi.
Kwa mujibu wa uchunguzi wa umoja wa ulaya jpm anaonekana kukubalika sana Tanzania na mvuto wake hadi nje ya nchi .
Nangojea kuona tukio hili kubwa sana nadhani hata wewe msomaji unaomba usiku na mchana magufuri atue hapa
USSR
Mpaka leo hii wasanii bado wanadai hela zao walizodhulumiwa 2015.Wasanii nao ni mbinu sema nyie pesa hakuna itakuwa mna shida sana
Kama amejaza hivyo Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Kagera mpaka viwanja vikajaa na watu kubakia nje huku barabara zikiwa zimejaa, sipati picha hapa Dar.
Huu ndio kila kitu na wabunge wake watatu wote walihamia CCM kutoka CHADEMA kabla upinzani haujafa huku ukitoa taswira ya aibu siku Lissu alipozindua kampeni Mbagala na kuambulia vitoto vya shule.
Wakati tunazindua kampein zetu Jangwani mwaka 2015 watu walijaa sana ingawa kulikuwa na wingu la Lowassa kwa sasa sisi wanadar tunangoja kwa hamu kama vile wapentekosti wakimsubilia masia sisi ni zaidi nabii wetu wa maendeleo anakuja kutua Dar, mji utazizima kwa furaha sio bodaboda, mamantilie achilia mbali wasomi kama mimi.
Kwa mujibu wa uchunguzi wa umoja wa ulaya jpm anaonekana kukubalika sana Tanzania na mvuto wake hadi nje ya nchi .
Nangojea kuona tukio hili kubwa sana nadhani hata wewe msomaji unaomba usiku na mchana magufuri atue hapa
USSR
Yan huku ndo tunafungia kampeni yaani!Dar itasimama mji utasimama kama kuna kimbunga
Waafrika huwa tunaimba kila tukio,tukiwa na sherehe,vita hata kampeni tunaimba ni sehemu ya maisha yetu.mwambie aende uwanjani bila wasanii aone namna "anavyokubalika" vizuri...kutumia wasanii hata Hashim Rungwe uwanja usingetosha!.
uzuri maeneo ya mijini wengi wameanza kuwashitukia huu utapeli wenu wa kuwatumia wasanii watu wanaenda kushangaa show za bure tuu
Mqnufaa ya masaa mawili tu? Na ni afisa gani aliyeambatana na Ndaishimiye atapanda bodaboda? Acheni kudanganya wananchi.ujio kama huo unaongeza mzunguko wa pesa kwa wananchi
boda boda leo watafanya kazi,mama ntilie,mikahawa,ma bar n.k
Kinachonikera ni hawa wanawake, anamtoto mdogo mgongoni kasimama front page masaa 2+ ili apige vigeregere.....WTF. halafu baba upo unashuhudia tu[emoji848], aliekwambia mwanao ni sisiemu nani?
Yaan watu waend kuwaon wasanii waki perform nyimbo za kumsifia Jpm! Tumienbakili bas ! Yan mi niwe CDM kindakindaki, eti nikamuone zuchu anaimba akismsifia jpm! .Msitake kuforce kuwa jpm hapendwi!..watu wa Dar tunapenda sana kuwaona wasanii waki perform live majukwaani.
so.....yes upo sahihi, wana Dar tutafurika kwa maelfu kwenda kupata burdani ya dezo!!