technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Chadema ni jeshi la mtu mmoja na nguvu ya umma Lissu ategemei mtu ili afanye kampeni zake yeye anategemea nguvu ya umma.Wapi akina mzee Mtei na Prof. Baregu, kwa mfano?
Tatizo hujioni.Chadema ni jeshi la mtu mmoja na nguvu ya umma Lissu ategemei mtu ili afanye kampeni zake yeye anategemea nguvu ya umma.
Mbowe aendelee tu kufanya mambo yake.
Ukipiga kura ya rais kwa Tundu Lissu, ujue unapiga kura ya katiba mpya, ujue unapiga kura kwa rais ambaye atarudisha uhuru na haki za wananchi, ujue unapiga kura kwa rais ambaye hatawasimanga..".Tundu Lissu. #Uchaguzi2020Katika hali isiyo ya kawaida mhombea wa CCM John Magufuli akiwa njiani Nguruka kuelekea Urambo Tabora amampa nafasi Husna Mwilima aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini kumwombea kura mgombea wa CCM bwana Nashon, wakati Mwilima akiomba kura akamkumbisha Magufuli changamoto ambazo mgombea Nashoni amesahau kumweleza Magufuli, ndipo Magufuli bila ajizi akamwambia umekuwa mbunge hapa kwa miaka mitano ulishindwa nini kutatua shida hii ndogo ya shule.
Hapa ndipo huwa namwelewa sana Magufuli huwa hamezi maneno sehemu ambayo hajaridhika.
Maendeleo hayana chama
Usishangae ndugu yangu! Jahazi linazama na mizimu yote iliyoitafuna taifa hili inabidi ifukuliwe isaidie kuliokoa. Timu toka 1995 hadi 2020 lazima zifukuliwe ili kama ni kuzama wazame pamoja kwa pigo moja la Mh. Tundu Antiphas Lissu. Watakaokosa ni wale tu waliotangulia mbele ya haki. CCM ni ile ile...Profesa.Juma Athumani Kapuya anagombea ubunge?
Hahahaaaa..Profesa.Juma Athumani Kapuya anagombea ubunge?
Yaani Lissu ana wakati mgumu Kagera????πππππππππππππππππππππππππππππππππππππDr Magufuli amewataka wakazi wa Kaliua kutofanya makosa ya kuchagua mbunge wa upinzani tena kwani duniani kote hakuna Upendo wa kumpa chakula mtoto wa jirani wakati wa kwako ana njaa.
Dr Magufuli amesema hata barabara ya Kaliua imejengwa kwa heshima ya mzee Kapuya hivyo wasimwangushe.
Tundu Lisu atakuwa na wakati mgumu sana mkoani Kagera kwa sababu CCM imefanya kampeni kisayansi sana na Dr Bashiru anaendelea kufukia mashimo.
Maendeleo hayana vyama!
Hujui majukumu ya hao wazee uliowataja kaa kimya.Mfano mdogo tu, unataka Butiku ampigie kampeni mgombea wa ccm, je unajua wadhifa wake na ni taasisi gani.Fanya home work yako.Wapi Butiku, Wapi Mangula, Wapi Kinana, Wapi makamba,Wapi Warioba.
Popote walipo hawa wazee mbona mwaka 2015 walikuwa busy Sana kusema Lowassa ni fisadi.
Vipi wamepata majibu tulipo waambia tatizo la nchi hii ni CCM na mfumo mbovu waliouhasisi?.
Njooni Mtetee vitambulisho vya Machinga wenye mitaji ya elfu 15 halafu wanatozwa kitambulisho Cha elf 20.
Njooni mtetee uwanja wa ndege chato.
Njooni mtetee Mbuga ya wanyama chato...
Nasema njooni tafadhari maana siwaoni majukwaani mkivitetea hivi vitu.
Tundu Lissu atawashangaza sana Mwaka huu lazima turudishe nchi yetu kwenye Uhuru Haki na maendeleo yao.
Hatuwezi kuendelea kuacha nchi chini ya Ngedere.
Tukutane October.
Ni vizuri mida hii mngeitumia kumfundisha magufuli wenu aache kutoa maneno ya kuwabagua watanzania kimaendeleo wakati watanzania wote wanalipa kodiDr Magufuli amewataka wakazi wa Kaliua kutofanya makosa ya kuchagua mbunge wa upinzani tena kwani duniani kote hakuna Upendo wa kumpa chakula mtoto wa jirani wakati wa kwako ana njaa.
Dr Magufuli amesema hata barabara ya Kaliua imejengwa kwa heshima ya mzee Kapuya hivyo wasimwangushe.
Tundu Lisu atakuwa na wakati mgumu sana mkoani Kagera kwa sababu CCM imefanya kampeni kisayansi sana na Dr Bashiru anaendelea kufukia mashimo.
Maendeleo hayana vyama!
Makamanda uchwara wamekaa wakimtegemea mnyoa kiduku na buti lake la jeje awaletee ushindi. Kazi ipo mwaka huu.Mizengo Pinda Anapasha joto Arusha,Manyara na Kilimanjaro huku Samia Suluhu akitoa sauti mororo huko kusini Peramiho.
Dada Ummy Mwalimu Kaishika Tanga kisawasawa.
Kaskazini Unguja Kwa utulivu Mwinyi Juniour anamwaga Sera .
Pinda kumpa kanda ya Kaskazini mmemuonea, ni sawa na sisimizi tu, haonekani wala hasikiki.Mizengo Pinda Anapasha joto Arusha,Manyara na Kilimanjaro huku Samia Suluhu akitoa sauti mororo huko kusini Peramiho.
Dada Ummy Mwalimu Kaishika Tanga kisawasawa.
Kaskazini Unguja Kwa utulivu Mwinyi Juniour anamwaga Sera .