Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Ndio maana Ccm huwa hawataki watu wapate elimuNi ukweli usiopingika kwamba mitandao ya kijamii kama huu wa jamii forums, tweeter, fb na ile inayojadili mambo ya kisiasa hutumiwa kwa kiasi kikubwa na wasomi. Ktk mijadala mbalimbali iliyoibuliwa kuhusu wagombea wawili wanaochuana vikali imeonyesha dhahiri upande wa ccm umeelemewa kwa hoja za nguvu toka upande unaomuunga mkono lissu.
Hii ni ishara ya wazi kabisa kwamba wasomi wengi wanamuunga mkono lissu mbali na wale wachache wanaoitetea ccm kwa ajili ya maslahi binafsi na kuonekana kabisa hawana hoja zenye ushawisi zaidi ya kejeli na matamko ya magufuli mitano tena! Jamii ya wasomi imemkataa magufuli na ccm yake!
Kwanza hata ccm kupita kwa wananchi ni kukosa aibuNi ukweli usiopingika kwamba mitandao ya kijamii kama huu wa jamii forums, tweeter, fb na ile inayojadili mambo ya kisiasa hutumiwa kwa kiasi kikubwa na wasomi. Ktk mijadala mbalimbali iliyoibuliwa kuhusu wagombea wawili wanaochuana vikali imeonyesha dhahiri upande wa ccm umeelemewa kwa hoja za nguvu toka upande unaomuunga mkono lissu.
Hii ni ishara ya wazi kabisa kwamba wasomi wengi wanamuunga mkono lissu mbali na wale wachache wanaoitetea ccm kwa ajili ya maslahi binafsi na kuonekana kabisa hawana hoja zenye ushawisi zaidi ya kejeli na matamko ya magufuli mitano tena! Jamii ya wasomi imemkataa magufuli na ccm yake!
Tatizo lake mh. hapendi kushauriwa. Nahisi wenzake walimshauri kabla ya haya yote,na uwenda akawapuuzia. Sasa wenye kumuangalia wanamuangali na wenye kumcheka wanamcheka. Kazi ni kwake mh.mtukufu wetu,sisi tuna msubilia 28/10/2010 kutimiza yetuMwezi wa mwisho wa Jiwe/Chuma kuongoza
Ni muda wa kumtumbua Magufuli, tumejipangaNi ukweli usiopingika kwamba mitandao ya kijamii kama huu wa jamii forums, tweeter, fb na ile inayojadili mambo ya kisiasa hutumiwa kwa kiasi kikubwa na wasomi. Ktk mijadala mbalimbali iliyoibuliwa kuhusu wagombea wawili wanaochuana vikali imeonyesha dhahiri upande wa ccm umeelemewa kwa hoja za nguvu toka upande unaomuunga mkono lissu.
Hii ni ishara ya wazi kabisa kwamba wasomi wengi wanamuunga mkono lissu mbali na wale wachache wanaoitetea ccm kwa ajili ya maslahi binafsi na kuonekana kabisa hawana hoja zenye ushawisi zaidi ya kejeli na matamko ya magufuli mitano tena! Jamii ya wasomi imemkataa magufuli na ccm yake!
Kifo cha nyaniNi ukweli usiopingika kwamba mitandao ya kijamii kama huu wa jamii forums, tweeter, fb na ile inayojadili mambo ya kisiasa hutumiwa kwa kiasi kikubwa na wasomi. Ktk mijadala mbalimbali iliyoibuliwa kuhusu wagombea wawili wanaochuana vikali imeonyesha dhahiri upande wa ccm umeelemewa kwa hoja za nguvu toka upande unaomuunga mkono lissu.
Hii ni ishara ya wazi kabisa kwamba wasomi wengi wanamuunga mkono lissu mbali na wale wachache wanaoitetea ccm kwa ajili ya maslahi binafsi na kuonekana kabisa hawana hoja zenye ushawisi zaidi ya kejeli na matamko ya magufuli mitano tena! Jamii ya wasomi imemkataa magufuli na ccm yake!
Hakitakuwa chama cha upinzani. CCM kitakufa kabisa na kuzaliwa vyama vingine.Ccm wajiandae kuitwa wapinzani
Huwezi tenganisha ccm na ujinga, unakuta mtu Hana hata uwezo wa kununua ndala anashangilia kununuliwaa kwa ndege,watu wajinga na masikini upendwa Sana na madikteta sababu ni rahisi kuwapropaganda.. Madikteta wote uwachukia na kuwashughulikia wasomi na matajiri. Madikteta wote upenda maendeleo ya vitu badala ya watu, wao sababu ya ukosefu wa confidence uamini kwao ni salama kuwatawala masikini na wajinga. Thus uwasomesha namba watu ili waweze kuwatawala.Ndio maana Ccm huwa hawataki watu wapate elimu
Na wataiba kweli, kama tume inaengua watu kisa kakosea kujaza fomuMwisho wa hivi vi threads vyenu ni tarehe 28/10/2020
Baada ya hapo wimbo wa tumeibiwa unaendelea kusikika
Option pekee waliyonayo wahairishe uchaguzi hili la wizi Ni ngumu Lisu sio LowasaNa wataiba kweli, kama tume inaengua watu kisa kakosea kujaza fomu