Mbona hata wewe Mwenyewe ni msanii,Atakuwa na mkutano "mkubwa" na nani?Na wasanii?
Haka kajamaa kanampangia jiwe cha kuongea? Hahahahaaaa! Kweli jiwe limepata joto kali.Polepole yuko mubashara Channel ten!
Karibu.
Up dates;
Dkt. Magufuli kesho 28/9 atakuwa na mkubwa wa kampeni mkoani Iringa katika uwanja wa Samora.
Tarehe 29/9 Dkt. Magufuli atakuwa na mkutano wa kihistoria katika uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.
Katika mikutano hii Dkt. Magufuli atajikita kwenye kuelezea maono yake na hatajibishana na wanasiasa wengine majukwaani.
Ratiba kamili baada ya Mbeya itatangazwa baadaye.
mzee kashachoka hana hamu na kampeni mnamlazimisha tu, Lisu2020Polepole yuko mubashara Channel ten!
Karibu.
Up dates;
Dkt. Magufuli kesho 28/9 atakuwa na mkubwa wa kampeni mkoani Iringa katika uwanja wa Samora.
Tarehe 29/9 Dkt. Magufuli atakuwa na mkutano wa kihistoria katika uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.
Katika mikutano hii Dkt. Magufuli atajikita kwenye kuelezea maono yake na hatajibishana na wanasiasa wengine majukwaani.
Ratiba kamili baada ya Mbeya itatangazwa baadaye.
Polepole yuko mubashara Channel ten!
Karibu.
Up dates;
Dkt. Magufuli kesho 28/9 atakuwa na mkubwa wa kampeni mkoani Iringa katika uwanja wa Samora.
Tarehe 29/9 Dkt. Magufuli atakuwa na mkutano wa kihistoria katika uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.
Katika mikutano hii Dkt. Magufuli atajikita kwenye kuelezea maono yake na hatajibishana na wanasiasa wengine majukwaani.
Ratiba kamili baada ya Mbeya itatangazwa baadaye.
Akili imemrudia hadi ameamua kuacha kujibishana na Legendary Lisu.Polepole yuko mubashara Channel ten!
Karibu.
Up dates;
Dkt. Magufuli kesho 28/9 atakuwa na mkubwa wa kampeni mkoani Iringa katika uwanja wa Samora.
Tarehe 29/9 Dkt. Magufuli atakuwa na mkutano wa kihistoria katika uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.
Katika mikutano hii Dkt. Magufuli atajikita kwenye kuelezea maono yake na hatajibishana na wanasiasa wengine majukwaani.
Ratiba kamili baada ya Mbeya itatangazwa baadaye.
Hawelewi anachoongea ni kuchanganyikiwa msameheni tuJamaa anataja mgombea wa chama cha Mbowe.
Kumbe kuna chama kipya Cha siasa kinaitwa chama cha Mbowe?
Polepole yuko mubashara Channel ten!
Karibu.
Up dates;
Dkt. Magufuli kesho 28/9 atakuwa na mkubwa wa kampeni mkoani Iringa katika uwanja wa Samora.
Tarehe 29/9 Dkt. Magufuli atakuwa na mkutano wa kihistoria katika uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.
Katika mikutano hii Dkt. Magufuli atajikita kwenye kuelezea maono yake na hatajibishana na wanasiasa wengine majukwaani.
Ratiba kamili baada ya Mbeya itatangazwa baadaye.
Hivi kumbe hujui kuwa Lissu hana sera anasubiri CCM wasema ndiyo apate cha kuongea. Kwa watz makini wanamwona ni vuvuzela tu.Lissu anawatesa sana!