Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uwo Uwanja wa samora mdogo, inatakiwa msimamie watu wasije waka jaa kupita kiasi. Watu 30,000 wanatosha wasizidi ao wengine wafungiwe TV kwenye ma stendi.
 
Polepole yuko mubashara Channel ten!

Karibu.

Up dates;

Dkt. Magufuli kesho 28/9 atakuwa na mkubwa wa kampeni mkoani Iringa katika uwanja wa Samora.

Tarehe 29/9 Dkt. Magufuli atakuwa na mkutano wa kihistoria katika uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.

Katika mikutano hii Dkt. Magufuli atajikita kwenye kuelezea maono yake na hatajibishana na wanasiasa wengine majukwaani.

Ratiba kamili baada ya Mbeya itatangazwa baadaye.
Haka kajamaa kanampangia jiwe cha kuongea? Hahahahaaaa! Kweli jiwe limepata joto kali.
 
Mwambie Akirudi ulingoni watu wamesha muacha kabisaaa...

Upepo umebadilika na HAWEZI kuzuia kimbunga kwa mkono
 
Polepole yuko mubashara Channel ten!

Karibu.

Up dates;

Dkt. Magufuli kesho 28/9 atakuwa na mkubwa wa kampeni mkoani Iringa katika uwanja wa Samora.

Tarehe 29/9 Dkt. Magufuli atakuwa na mkutano wa kihistoria katika uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.

Katika mikutano hii Dkt. Magufuli atajikita kwenye kuelezea maono yake na hatajibishana na wanasiasa wengine majukwaani.

Ratiba kamili baada ya Mbeya itatangazwa baadaye.
mzee kashachoka hana hamu na kampeni mnamlazimisha tu, Lisu2020
 
Rais wa Watanzania
Polepole yuko mubashara Channel ten!

Karibu.

Up dates;

Dkt. Magufuli kesho 28/9 atakuwa na mkubwa wa kampeni mkoani Iringa katika uwanja wa Samora.

Tarehe 29/9 Dkt. Magufuli atakuwa na mkutano wa kihistoria katika uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.

Katika mikutano hii Dkt. Magufuli atajikita kwenye kuelezea maono yake na hatajibishana na wanasiasa wengine majukwaani.

Ratiba kamili baada ya Mbeya itatangazwa baadaye.
 
Polepole yuko mubashara Channel ten!

Karibu.

Up dates;

Dkt. Magufuli kesho 28/9 atakuwa na mkubwa wa kampeni mkoani Iringa katika uwanja wa Samora.

Tarehe 29/9 Dkt. Magufuli atakuwa na mkutano wa kihistoria katika uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.

Katika mikutano hii Dkt. Magufuli atajikita kwenye kuelezea maono yake na hatajibishana na wanasiasa wengine majukwaani.

Ratiba kamili baada ya Mbeya itatangazwa baadaye.
Akili imemrudia hadi ameamua kuacha kujibishana na Legendary Lisu.
Sasa tunasubiri story zake za mabarabara, ndege, sgr na stigler
 
Lissu kiboko.. ana sauti kali, inachoma na kuamsha vilivyo lala.

Hibi kweli

1. Nasikia ardhi ekari 24,000 zimerudishwa.[emoji1][emoji1]

2. Tamisemi wamemjibu lissu

3. Polepole ametumia siku mbili kimjibu lissu

4..
Polepole yuko mubashara Channel ten!

Karibu.

Up dates;

Dkt. Magufuli kesho 28/9 atakuwa na mkubwa wa kampeni mkoani Iringa katika uwanja wa Samora.

Tarehe 29/9 Dkt. Magufuli atakuwa na mkutano wa kihistoria katika uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.

Katika mikutano hii Dkt. Magufuli atajikita kwenye kuelezea maono yake na hatajibishana na wanasiasa wengine majukwaani.

Ratiba kamili baada ya Mbeya itatangazwa baadaye.
 
Mbeya?? Yaani Kampeni ya Kihistoria Mbeya?? Atajuta kwenda Mbeya.
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Pole pole anasema Kuna diwani huko Momba alipigwa risasi 30 Ila yupo hai, jamaa anadanganya huyu.
 
Back
Top Bottom