Mbona mkishinda kesi hizi kauli huwa hatuzioni jitokeze tuu maana huo ushahidi uliouweka hapa ni mzito sana, nenda mahakamani Mkuu.
JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
Kwa namna mambo yanavyokwenda hali si shwari ndani na nje ya chama chake.
Sasa, ikitokea amechaguliwa baadhi ya maeneo yanayoshabikia Sana upinzani, wanaCCM ambao mkubwa huyu anawaona kama wasaliti na wapinzani wanaomsumbua akili yake katika kampeni sipati picha itakuwaje.
Si mnamfahamu kwa kulipa visasi na visasili?
Kuliepuka balaa hili sote kwa pamoja tuseme NO kwa mkubwa huyu.
Jiandaeni kisaokolojia. Ila miaka mitano ni mingi sana nitakua nimesogeza umri parefu sana[emoji24][emoji24][emoji24]Kwa namna mambo yanavyokwenda hali si shwari ndani na nje ya chama chake.
Sasa, ikitokea amechaguliwa baadhi ya maeneo yanayoshabikia Sana upinzani, wanaCCM ambao mkubwa huyu anawaona kama wasaliti na wapinzani wanaomsumbua akili yake katika kampeni sipati picha itakuwaje.
Si mnamfahamu kwa kulipa visasi na visasili?
Kuliepuka balaa hili sote kwa pamoja tuseme NO kwa mkubwa huyu.
Yaani hawa wa Kagera watawekewa jwtz wa kuwachapa viboko 2 asubuhi na 2 jioni.Kagera watakoma.
Uzuri hata Kanda ya ziwa upepo sio mzuri Cdm cha
ma cha kimataifa naona kimefika hadi kenya SA
Yule ni wakili wa kujitegemea ukae ukijua.Tundu atafute pa kwenda sijui atakula nini, ruzuku zetu kwa chadema anazotumbua sasa hivi hakuna tena, uwakili kibali chetu hakuna, Ulaya viza hapati, anamuiga Fatuma, mwenzake mtoto wa Rais
Mkuu Ondoa hofu Hakuna wa kumgusa TL kwa sasa.LISSU UKIENDA KWENYE HIYO TUME UWE MAKINI MNO MNO NA SUALA LA USALAMA WAKO. BARABARANI NDIO MZIDISHE UMAKINI, WAKATI WA KWENDA NA KURUDI. YULE MTU WA CAMERA ASISAHAULIKE.
HahahaaaMtapoteana sana baada ya 28 oct humu chadomo!
💯Kwa namna mambo yanavyokwenda hali si shwari ndani na nje ya chama chake.
Sasa, ikitokea amechaguliwa baadhi ya maeneo yanayoshabikia Sana upinzani, wanaCCM ambao mkubwa huyu anawaona kama wasaliti na wapinzani wanaomsumbua akili yake katika kampeni sipati picha itakuwaje.
Si mnamfahamu kwa kulipa visasi na visasili?
Kuliepuka balaa hili sote kwa pamoja tuseme NO kwa mkubwa huyu.
Kila binadamu anapanic mbona NI Jambo la kawaida kabisaMmh! Acha kujipa moyo, mgombea wenu anaumwa msongo wa .mawazo. Jana amefokea kila mtu pale Dodoma, kaonesha dalili ya kupaniki.
Tuungane kumkataa kwa nguvu zetu zote.Kwa namna mambo yanavyokwenda hali si shwari ndani na nje ya chama chake.
Sasa, ikitokea amechaguliwa baadhi ya maeneo yanayoshabikia Sana upinzani, wanaCCM ambao mkubwa huyu anawaona kama wasaliti na wapinzani wanaomsumbua akili yake katika kampeni sipati picha itakuwaje.
Si mnamfahamu kwa kulipa visasi na visasili?
Kuliepuka balaa hili sote kwa pamoja tuseme NO kwa mkubwa huyu.
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyoTundu atafute pa kwenda sijui atakula nini, ruzuku zetu kwa chadema anazotumbua sasa hivi hakuna tena, uwakili kibali chetu hakuna, Ulaya viza hapati, anamuiga Fatuma, mwenzake mtoto wa Rais
Watu wa chato kawajengea uwanja lakin hawamtaki maskini mkimbizi huyuInafikirisha Sana. Hata anakotoka Chato watu hawamtaki.
Tatizo lenu ni dogo sana. MNAPINGA MAENDELEO.Kwa namna mambo yanavyokwenda hali si shwari ndani na nje ya chama chake.
Sasa, ikitokea amechaguliwa baadhi ya maeneo yanayoshabikia Sana upinzani, wanaCCM ambao mkubwa huyu anawaona kama wasaliti na wapinzani wanaomsumbua akili yake katika kampeni sipati picha itakuwaje.
Si mnamfahamu kwa kulipa visasi na visasili?
Kuliepuka balaa hili sote kwa pamoja tuseme NO kwa mkubwa huyu.
Anatia hurumaWatu wa chato kawajengea uwanja lakin hawamtaki maskini mkimbizi huyu
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyoTatizo lenu ni dogo sana. MNAPINGA MAENDELEO.
Hakuna lugha mtakayotushawishi kuwa hafai.
Nyie ndo hamfai
Maendeleo siyo barabara, reli na zahanati alipaswa kujiongeza. Aangalie watu.Tatizo lenu ni dogo sana. MNAPINGA MAENDELEO.
Hakuna lugha mtakayotushawishi kuwa hafai.
Nyie ndo hamfai