Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mbona mkishinda kesi hizi kauli huwa hatuzioni jitokeze tuu maana huo ushahidi uliouweka hapa ni mzito sana, nenda mahakamani Mkuu.
JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
Tunakwenda kwenye hizi mahakama sio kwa kuwa tunaziamini, bali tunalazimika. Ingekuwa tunaweza kwenda pengine hizo mahakama za ccm mngeenda wanaccm peke yenu.