Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Iko hivi mkuu ccm wajifunze kujishusha mfano mfano hata inatokea waziri mkuu uko kagera hata Kama ni mjini au bilyamlo au karangwe huna sababu kutengenezewa jukwaa Kama vile hutaondoka no tumia hata bajaji kwa kuhutubia Basi au chochote kile,jishushe wakuu
 
Harudi kwa sanduku la kura, wananchi wamemkataa kabisa kabisa, labda aibe tu kura.
 
Mitano Tena ya kutekwa kupigana risasi kuhujumiana hapana aisee better die now
Watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yetu, tutaishi na kuyasimulia Matendo makubwa ya awamu ya tano. Kama ni kufa, jiongeze tu kamanda, maana Magufuli ni Tano tena.
 
Kuna watu bado wanasambaza propaganda kwamba CCM inakubalika ila kiukweli uku vujijini Hali ndio mbaya zaidi kwa CCM kuliko hata mwaka 2015.

Tofauti ya mwaka 2015 mwaka huu wazee wengi wa vijijini hawataki kabisa kusikia kitu kinachoitwa ccm.

Nimejaribu kutembea maeneo ya vijiji vya mikoa miwili nimeanza na mikoa ya Rukwa na Katavi ambayo ni stong hold ya CCM toka mwaka 1961.

Hali ya matumaini yao kwa CCM ni Mbaya sana na wanasema wazi wazi watamchagua Tundu lissu.

Nimetembelea maeneo ya Kasanga, Matai, Kurando,Namanyere, Mtowisa na kwingine kwingi

Kilichonishangaza zaidi mkoa wa Katavi vijijini kabisa me sitembei mjini wazee wananiambia watamchagua Tundu Lissu.

Mtaani kumechafuka kinenuka watu hawataki mchezo mwaka huu mwambie mshua hali ni tete sana Hana chake field.
 
Field ipi?
Field ya kwenye account twiter ya kigogo?

Lisu ni debe tupu.

Baada ya oktoba mtajua udebe tupu wa Lisu.

Kiufupi Lisu ndio mgombea atakae tia aibu kwa kupata kura chache kuliko wagombea wote waliowahi kugombea chadema.
 
Hahaha anafahamu, sasa hawaoni pa kutokea wameanza vitisho kama kawaida yao.
 
Wanaochagua hawana nguvu kama wanaotangaza matokeo.Tanzania kiongozi hachaguliwi,anatangazwa
Lisu hana kura za kufanya tume ipindishe matokeo.

Kwanza kashaenda kwa Seif zanzibar kuchukua mbinu za ccm za ushindi?
 
Kuna siku mshua atajua ukweli na wakiwa wawili na Chakubanga atamshushia kipigo kwa jinsi alivyokuwa anampotosha.
Sasa hivi chama chao kina jibu hoja za Tundu kwa ghadhabu hivyo kuzidi kupotea mazima
 
Field ipi?
Field ya kwenye account twiter ya kigogo?

Lisu ni debe tupu.

Baada ya oktoba mtajua udebe tupu wa Lisu.

Kiufupi Lisu ndio mgombea atakae tia aibu kwa kupata kura chache kuliko wagombea wote waliowahi kugombea chadema.
Umepewa laki moja uje mtandaoni kuongea upuuzi ...mnapopewa hela wawape na hoja za kuja kubishana mtandaoni
 
Wanaochagua hawana nguvu kama wanaotangaza matokeo.Tanzania kiongozi hachaguliwi,anatangazwa
Hiyo mwisho ulikuwa 2019 uchaguzi wa serikali za mitaa. 2020 agizo limetoka kuwa ATATANGAZWA ALIYESHINDA.
Agizo hilo limetolewa na mamlaka ya juu kabisa ya nchi ambayo ni WANANCHI WENYEWE
 
Kuna watu bado wanasambaza propaganda kwamba CCM inakubalika ila kiukweli uku vujijini Hali ndio mbaya zaidi kwa CCM kuliko hata mwaka 2015.

Tofauti ya mwaka 2015 mwaka huu wazee wengi wa vijijini hawataki kabisa kusikia kitu kinachoitwa ccm...
Hayo ni mawazo yako kijana. Usiyalazimishe yawe ya wote.
 
Maisha magumu!mzunguko wa fedha wamekaba !!!Bei zimepanda sana!!HAKIKA VETING YA JIWE NI JANGA KUBWA KWENYE HISTORIA YA NCHI YETU??!
 
Field ipi?
Field ya kwenye account twiter ya kigogo?

Lisu ni debe tupu.

Baada ya oktoba mtajua udebe tupu wa Lisu.

Kiufupi Lisu ndio mgombea atakae tia aibu kwa kupata kura chache kuliko wagombea wote waliowahi kugombea chadema.
Umeanza kuuchafua uzi mapema hivi,ungesubiri ukoment baadae ili comment yako iwe ya mwisho huko ili wasoma comment wasiifikie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…