Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Hayo ni maneno ya polepole jana wakati anaongea na waandishi wa habari. Anadai kuanzia leo zitaongezwa injini nyingine nyingi ili kupambana na injini moja kutoka huko chadema inayo onekana kuwa imara siku baada ya siku.

Injini hiyo inayo saga na kukoboa kutoka chadema imeonekana kuzishinda injini za ccm kila kukicha ukianza na injini kuu iliyo kuwa ikisifiwa kila kukicha.

Injini zinazo tarajiwa kuongezwa ni
[emoji117]Mawaziri wote wakuu wastaafu
[emoji117]Marais wastaafu
[emoji117]Makada kindaki ndaki (waandamizi)

Je hizo injini zitaweza kweli kupambana na hiyo injini kutoka huko chadema inayo onekana hata kuchemka tu bado?

Mimi kwa mtazamo wangu naona waziache tu hizo injini maana naona zimesha shindwa kabla hata yakuingia uwanja wa vita.
 
Ohoo! Mnampoteza John hivo. Au wewe pia ndiyo wale wanaotuhumiwa na Bashiru kuwa mnamsaliti John?

Sisi tulio batizwa kwa maji mengi ndio tuaminika sana CCM. hatuwezi kubadilika. Tubadilike ili twende wapi tena? Tulikwisha badilika kuja CCM.

Nyinyi bakini na Chama cha Mbowe mmpoteze muda.

Kuishi kwa tumaini la mtoto wa kuku, kuna siku atanyonya. Komaa kamanda.
 
Scenario zipo tofauti hapa hatuna minority rule na pia hatuna Boers acha kupotosha una uhuru wa kuropoka utakavyo na kuishi utakavyo.

Acheni porojo Magufuli anatosha.

JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
Jowe hafai kuwa hata kiongozi wa familia achilia mbali kuwa Rais wa nchi

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kwa namna mambo yanavyokwenda hali si shwari ndani na nje ya chama chake.

Sasa, ikitokea amechaguliwa baadhi ya maeneo yanayoshabikia Sana upinzani, wanaCCM ambao mkubwa huyu anawaona kama wasaliti na wapinzani wanaomsumbua akili yake katika kampeni sipati picha itakuwaje.

Si mnamfahamu kwa kulipa visasi na visasili?

Kuliepuka balaa hili sote kwa pamoja tuseme NO kwa mkubwa huyu.
Tumeamua kumkataa mtu mbaguz i
 
Watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yetu, tutaishi na kuyasimulia Matendo makubwa ya awamu ya tano. Kama ni kufa, jiongeze tu kamanda, maana Magufuli ni Tano tena.
Ee Mungu wa mbingu na nchi, ututazame sisi viumbe vyako hapa tanzania, wapo watawala karne na karne waotawala kwa mkono wa chuma uliwashusha kwa uweza wako.

Tutendee nasi vivyo, maana tumedhikika sana kwa mkono wa chuma wa huyu mtu, safari hii tunaona dalili ya mkono wako ukitaka kutukomboa kutoka kwenye mkono wa chuma wa huyu aliyepo.
Mshushe Mungu wetu, mshushe kwa jina na Yesu ameen
 
Tundu atafute pa kwenda sijui atakula nini, ruzuku zetu kwa chadema anazotumbua sasa hivi hakuna tena, uwakili kibali chetu hakuna, Ulaya viza hapati, anamuiga Fatuma, mwenzake mtoto wa Rais
😂😂😂 '' anamuiga mtoto wa rais karume " 🤣🤣🤣
 
Ee Mungu wa mbingu na nchi, ututazame sisi viumbe vyako hapa tanzania, wapo watawala karne na karne waotawala kwa mkono wa chuma uliwashusha kwa uweza wako.

Tutendee nasi vivyo, maana tumedhikika sana kwa mkono wa chuma wa huyu mtu, safari hii tunaona dalili ya mkono wako ukitaka kutukomboa kutoka kwenye mkono wa chuma wa huyu aliyepo.
Mshushe Mungu wetu, mshushe kwa jina na Yesu ameen
Hivi unajua utawala wa mkono wa chuma au unaropoka ropoka tu, hii nchi iko huru sana ukifafananisha na mataifa mengine sisi tuna uhuru mno hata sijui unakwama wapi kuelewa
 
Jowe hafai kuwa hata kiongozi wa familia achilia mbali kuwa Rais wa nchi

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ndio nani huyo sisi Rais wetu ni Dr. John P. Magufuli na hilo halina ubishi.

Tukutane kwenye kiapo mara baada ya October 28.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Maendeleo siyo barabara, reli na zahanati alipaswa kujiongeza. Aangalie watu.
Ani akili zingine bhana sijui mlizaliwa usiku, ivi kwa uwezo wa kufikiri ulionao ww unataka magufuli akujengee nyumba ? Unataka magufuli akupe hela cash ? Kama umeshindwa kufanya kazi kwa uzembe wako utakufa na umaskini wako wala usije hapa kumlaumu magufuli, serikali ina deal na vitu vya umma cyo vya mmoja mmoja kama unavyofikiri ww, hakunaga serikali yenye uwezo wa ku deal na maendeleo ya mtu mmoja mmoja hapa duniani, narudia tena aina ya serikali unayoitaka haiko duniani kwa sasa, alikuwa Gaddafi tu aliyeweza ku deal na maendeleo ya mmoja mmoja na hayupo tena duniani alishauwawa na wafadhili wa lisu ( mabepari) .
 
Ani akili zingine bhana sijui mlizaliwa usiku, ivi kwa uwezo wa kufikiri ulionao ww unataka magufuli akujengee nyumba ? Unataka magufuli akupe hela cash ? Kama umeshindwa kufanya kazi kwa uzembe wako utakufa na umaskini wako wala usije hapa kumlaumu magufuli, serikali ina deal na vitu vya umma cyo vya mmoja mmoja kama unavyofikiri ww, hakunaga serikali yenye uwezo wa ku deal na maendeleo ya mtu mmoja mmoja hapa duniani, narudia tena aina serikali au unayoitaka haiko duniani kwa sasa, alikuwa Gaddafi tu aliyeweza ku deal na maendeleo ya mmoja mmoja na hayupo tena duniani alishauwawa na wafadhili wa lisu ( mabepari) .
Basi baki naye wewe mwenye akili. Watanzania wote tumemkataa.
 
Kwa namna mambo yanavyokwenda hali si shwari ndani na nje ya chama chake.

Sasa, ikitokea amechaguliwa baadhi ya maeneo yanayoshabikia Sana upinzani, wanaCCM ambao mkubwa huyu anawaona kama wasaliti na wapinzani wanaomsumbua akili yake katika kampeni sipati picha itakuwaje.

Si mnamfahamu kwa kulipa visasi na visasili?

Kuliepuka balaa hili sote kwa pamoja tuseme NO kwa mkubwa huyu.
Nimewaza kama wewe mkuu! Ni lazima tuhakikishe tunalitoa hili chatu vyovyote iwavyo...otherwise kwa hali yoyote akirudi kwenye ofisi yetu kuu tumekwisha! Sijui hata kama tutakuwa na uchaguzi mwengine baada ya miaka mitano!
 
Uzuri vijana kwa kuandika humu mitandaoni mpo vizuri sana,tena mnoo,na baada ya kura kupigwa na mshindi kutamgazwa tutarudi humu humu kutukana
 
Back
Top Bottom