Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Ndio nani huyo sisi Rais wetu ni Dr. John P. Magufuli na hilo halina ubishi.

Tukutane kwenye kiapo mara baada ya October 28.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Mkuu uko serious hujui nani anajiita Jiwe? By the way make sure you use singular yaani zungumzia wewe na nafsi yako na kama ukishindwa ongeza familia yako au MATAGA basi, Watanzania wamemwelewa Mh Lissu.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu uko serious hujui nani anajiita Jiwe? By the way make sure you use singular yaani zungumzia wewe na nafsi yako na kama ukishindwa ongeza familia yako au MATAGA basi, Watanzania wamemwelewa Mh Lissu.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mkuu zungumzia nafsi yako na kama ukishindwa ongezea familia yako au waumini wenzako wa ndoto za abunuasi.

Watanzania watampa JPM kura za NDIO.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Wanasema usimhukumu mtu bila kumsikiliza. Hivyo nikaamua kufungulia TBC (baada ya siku nyingi kupita bila kuitanzama) na kumsikiliza mgombea wa CCM.
Hakika nilijitahidi sana kuvumilia, lakini takribani baada ya dakika kama 10 au 13 hivi nikashindwa kuendelea.
Hivi ni waandaaji wake ndio wa hovyo, au yeye mwenyewe ndio anashindwa au hajui afanyacho?
Bora hata Shibuda au Lipumba hotuba zao za kampeni zina mashiko kuliko mzee baba.
Namlinganisha na Mrema huyu wa sasa katika uwasilishaji wa hoja.
Jee wenzangu wa Iringa na wengine mmevutiwa hotuba ya Leo?
 
Usimhukumu bila kumsikiliza mpaka mwisho.
Wanasema usimhukumu mtu bila kumsikiliza. Hivyo nikaamua kufungulia TBC (baada ya siku nyingi kupita bila kuitanzama) na kumsikiliza mgombea wa CCM.
Hakika nilijitahidi sana kuvumilia, lakini takribani baada ya dakika kama 10 au 13 hivi nikashindwa kuendelea.
Hivi ni waandaaji wake ndio wa hovyo, au yeye mwenyewe ndio anashindwa au hajui afanyacho?
Bora hata Shibuda au Lipumba hotuba zao za kampeni zina mashiko kuliko mzee baba.
Namlinganisha na Mrema huyu wa sasa katika uwasilishaji wa hoja.
Jee wenzangu wa Iringa na wengine mmevutiwa hotuba ya Leo?
 
Wanasema usimhukumu mtu bila kumsikiliza. Hivyo nikaamua kufungulia TBC (baada ya siku nyingi kupita bila kuitanzama) na kumsikiliza mgombea wa CCM.
Hakika nilijitahidi sana kuvumilia, lakini takribani baada ya dakika kama 10 au 13 hivi nikashindwa kuendelea.
Hivi ni waandaaji wake ndio wa hovyo, au yeye mwenyewe ndio anashindwa au hajui afanyacho?
Bora hata Shibuda au Lipumba hotuba zao za kampeni zina mashiko kuliko mzee baba.
Namlinganisha na Mrema huyu wa sasa katika uwasilishaji wa hoja.
Jee wenzangu wa Iringa na wengine mmevutiwa hotuba ya Leo?

Ili uweze kujua tatizo kubwa liko wapi na kwanini yuko hivyo anza Kwanza Kuulizia / Kuwaulizia Washauri wake Wakuu ni akina nani hutoshangaa.
 
Bomu huyo Mkuu sijawahi kupoteza muda wangu kumsikiliza.

Wanasema usimhukumu mtu bila kumsikiliza. Hivyo nikaamua kufungulia TBC (baada ya siku nyingi kupita bila kuitanzama) na kumsikiliza mgombea wa CCM.
Hakika nilijitahidi sana kuvumilia, lakini takribani baada ya dakika kama 10 au 13 hivi nikashindwa kuendelea.
Hivi ni waandaaji wake ndio wa hovyo, au yeye mwenyewe ndio anashindwa au hajui afanyacho?
Bora hata Shibuda au Lipumba hotuba zao za kampeni zina mashiko kuliko mzee baba.
Namlinganisha na Mrema huyu wa sasa katika uwasilishaji wa hoja.
Jee wenzangu wa Iringa na wengine mmevutiwa hotuba ya Leo?
 
Wanasema usimhukumu mtu bila kumsikiliza. Hivyo nikaamua kufungulia TBC (baada ya siku nyingi kupita bila kuitanzama) na kumsikiliza mgombea wa CCM.
Hakika nilijitahidi sana kuvumilia, lakini takribani baada ya dakika kama 10 au 13 hivi nikashindwa kuendelea.
Hivi ni waandaaji wake ndio wa hovyo, au yeye mwenyewe ndio anashindwa au hajui afanyacho?
Bora hata Shibuda au Lipumba hotuba zao za kampeni zina mashiko kuliko mzee baba.
Namlinganisha na Mrema huyu wa sasa katika uwasilishaji wa hoja.
Jee wenzangu wa Iringa na wengine mmevutiwa hotuba ya Leo?
Mzee kaishiwa kabisa ni mweupe pee. Sijui hata alifikaje uwaziri.
 
Ili uweze kujua tatizo kubwa liko wapi na kwanini yuko hivyo anza Kwanza Kuulizia / Kuwaulizia Washauri wake Wakuu ni akina nani hutoshangaa.


JITU HALIAMBILIKI LIMEKUJA KUUWA CCM ...UNADHANI HATA UKIMPA KINA KINANA ,NAPE NA JANUARY ATAWASIKILIZA AU ATAWADHURU ???????
ANAONGEA KINACHOMJIA KICHWANI ....NA HIVI MDOGO WAKE BABA MMOJA NDIO MKURUGENZI WA TUME ANAJUA ATASHINDA ...LAKINI ATASHINDA AKIWA HAKUBALIKI KABISA HUKU CHINI .....
VIPI KAJIBU ISSUE YA KUJIMILIKISHA HEKA 25,000?
 
HAKUNA RAIS ALIYEFANYA CCM NA SERIKALI ICHUKIWE KAMA MEKO .....DAIMA TUTAWALAUMU WALIOFANYA VETTING MWAKA 2014/15 ??? TULIKUWA NA WATU WAZURI SANA ,,...SIO HUUYU WALA LOWASSA , WALA MEMBE ...TULIKUWA NA VIONGOZI MBADALA WENYE BUSARA KABISA
 
Hotuba za mheshimiwa zimekosa kabisa mvuto! Hazina jipya, hazina focus, hazileti matumaini.
Bila shaka kuna shida sehemu.
Sina uhakika kama wanafanya assessment kila baada ya siku moja ya mikutano ya kampeni.
Halafu inaonekana mheshimiwa anaishiwa pumzi na ni kama anaumwa hivi.
 
Back
Top Bottom