kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,965
Hii ni moja ya account za kupokelea Buku sabasaba pale LumumbaModerator, Mhariri JamiiForums Paw futeni hii ID ya jitombashisho kwa sababu inakiuka maadili, inachochea ngono na ni tusi.
Itakuwa aibu sana kwa nchi kuongozwa na mtu asiyekubalika kwao , kwanza si Muislam alishabatizwa kitambo tuSijui ni kwanini Tanzania ina 'bahati' mno ya 'Kuongozwa' na Marais waliokuwa / wenye Fani za 'Ualimu' labda ukiondoa tu Hayati Mkapa na Mzee Kikwete. Na kwa zile za chini ya 'Kapeti' nilizopenyezewa ni kwamba hata 2025 kama 'Upinzani' usipojipanga kuanzia sasa basi huenda Rais ajaye ( Muislamu japo Mkewe ni Mkristo Mkatoliki ) nae atakuwa alishawahi kuwa ni Mwalimu.
Kama ilivyokuwa Mikoa ya karibu ya Mara na Geita imetoa 'Marais' basi huenda hata Mikoa ya Mtwara na Lindi nayo ikafanya hivyo tu hapo 2025.
Itakuwa aibu sana kwa nchi kuongozwa na mtu asiyekubalika kwao , kwanza si Muislam alishabatizwa kitambo tu
Anaitwa nani sasa??Itakuwa aibu sana kwa nchi kuongozwa na mtu asiyekubalika kwao , kwanza si Muislam alishabatizwa kitambo tu
ni utapeli tu , kuna uzi humu wa kitambo sana wa The Boss unamchambua nje ndani huyo mtu utafuteAliyebatizwa huwa anahudhuria 'Ibada' za 'Misikitini' Kila Siku?
Makamanda watakumind....wenzio washaanza andaa baraza la mawaziri.....kwani hujui washafunga ndoa na mabeberuAliyebatizwa huwa anahudhuria 'Ibada' za 'Misikitini' Kila Siku?
Hiyo kitambo wenye maono walishapenyezwa KM Kama K zingine zilipopita ndo mbeba maono 2025.
majina si kitu , hakuna mwislam mwenye mke mkatoliki acheni kukashifu dini za watuAnaitwa nani sasa??
Sijui ni kwanini Tanzania ina 'bahati' mno ya 'Kuongozwa' na Marais waliokuwa / wenye Fani za 'Ualimu' labda ukiondoa tu Hayati Mkapa na Mzee Kikwete. Na kwa zile za chini ya 'Kapeti' nilizopenyezewa ni kwamba hata 2025 kama 'Upinzani' usipojipanga kuanzia sasa basi huenda Rais ajaye ( Muislamu japo Mkewe ni Mkristo Mkatoliki ) nae atakuwa alishawahi kuwa ni Mwalimu.
Kama ilivyokuwa Mikoa ya karibu ya Mara na Geita imetoa 'Marais' basi huenda hata Mikoa ya Mtwara na Lindi nayo ikafanya hivyo tu hapo 2025.
Anaitwa nani sasa??
Ungepitia nyuzi zingine uone kwanza wenzako walikuwa wanajadili nini
Apia...Sebastian ⛪️
We unayejua siri embu tuambie tu, hata Magu naona hajui.Magu anajua.. ngoja aje akuibie siri