Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Habari waungwana!
Kumpigia au kutokumpigia kura ya ndiyo mwanasiasa si dhambi.
Mimi ni mmojawapo ambao tarehe 28, October, 2020 sitampa kura yangu Magufuli.
Kama na wewe hutampa kura yako Magufuli hebu weka sahihi yako hapa.
 
Habari waungwana!
Kumpigia au kutokumpigia kura ya ndiyo mwanasiasa si dhambi.
Mimi ni mmojawapo ambao tarehe 28, October, 2020 sitampa kura yangu Magufuli.
Kama na wewe hutampa kura yako Magufuli hebu weka sahihi yako hapa.
Wenzio 6mil walimnyima 2015, lakini alishinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…