johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bills?!Tuliobomolewa nyumba zetu tuna neno letu 28/10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bills?!Tuliobomolewa nyumba zetu tuna neno letu 28/10
Siyo Bob mazishi?!!Maelekezo aliyopewa Mkurugenzi ni kuwa atakaetangazwa mshindi Mbeya ni Betina.
PatachimbikaMaelekezo aliyopewa Mkurugenzi ni kuwa atakaetangazwa mshindi Mbeya ni Betina.
Kwa ratiba ni UWANJA WA MKAPA.Mgombea urais wa CCM siku ya Ijumaa ataitikisa Dar kwa mikutano kabambe na ya kisayansi.
Mzizima kaeni tayari kupokea madini ya " ukweli "
Source: Uhuru
Huo ndiyo utakua mwanzo wa maandamano ya siyo na ukomo.Patachimbika
Ile ya akina Emmanuel Mbasha na Adam?Dar anarudi mara ya pili.vipi ile kampeni walifanya Uwanja wa Uhuru ilikuwa ni ya mji gani?
Watafahamu kuwa CCM ndio nguzo ya kudumisha amani, umoja na mshikamano wa kitaifa.
Never happen.!Maelekezo aliyopewa Mkurugenzi ni kuwa atakaetangazwa mshindi Mbeya ni Betina.
Maelekezo kutoka juu yana mbunge wao wa Mbeya mjini tayari.Never happen.!
Sugu ndio 'Raisi' na mbunge wa Mbeya Mjini wa milele.
alikiba,diamond ,harmonize na zuchu watakwepo ? Hii fiesta ya mwaka huu haina mvutoMgombea urais wa CCM siku ya Ijumaa ataitikisa Dar kwa mikutano kabambe na ya kisayansi.
Mzizima kaeni tayari kupokea madini ya " ukweli "
Source: Uhuru
Basi Sugu asitishe kampeni zake!Maelekezo kutoka juu yana mbunge wao wa Mbeya mjini tayari.
Prof J atakuwepo pia!alikiba,diamond ,harmonize na zuchu watakwepo ? Hii fiesta ya mwaka huu haina mvuto
Jane umesha kunywa chai.?Siku hiyo ndiyo Chadema watajua hawajui
poleni sana magu kakosa mvutoProf J atakuwepo pia!