Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Sisi tunataka huo mziki tu wa bure kutoka kwa hao wavaa hereni. Hotuba mara zote imekua haina mvuto na pia imekosa matumaini.

Zaidi tu ni kuimbishana kinguvu ''Aliserema'' serema serema!!!

By the way, mbona mnawapotezea sana TOT kwenye kampeni za mwaka huu? Au hamfahamu kila mwezi chama kinawalipa mshahara hao waimbaji?

Au kwa sababu Cpt Komba hayupo? Pia ule wimbo wa "CCM ni ile ile" 'wacha tuisome namba' hauimbwi kabisa awamu hii eti!!!
Mkuu mimi sipo ssm nimechomekea tu hapo na wala sina chama
 
Ukiwasikiliza wapinzani wa Magufuli iwe mitandaoni ama kwenye majukwaa kwa hakika utadhani atakufa kesho kwa namna wanavyotuaminisha eti ni mgonjwa na kwa muktadha huo hawezi kufanya kampeni kwa muda mrefu.

Ajabu tokea zitangazwe kusitishwa kwa kampeni zake lakini bado anaendelea kuchapa kazi mfululizo kama Rais wa Nchi na dhana yote ya eti anapumzika kwa sababu za kiafya zinakosa mantiki.

Ama kweli si kila lisemwalo lina maana!
 
Ndugu Mtanzania Mzalendo

Mkumbushe Mwenzako

Usipange Kukosa.
 

Attachments

  • FB_IMG_16020911191854412.jpg
    FB_IMG_16020911191854412.jpg
    20 KB · Views: 1
"Watu wa Kigamboni nileteeni Ndugulile, watu wa Kawe nileteeni Gwajiboy, watu wa wapi sijui nileteeni na madiwani" hizi ni kauli ya JPM. Swali kama anajua kashinda kwanini asitulie maana kwa kauli hizi inaonekana uhakika upo.

"Mkichagua upande ure sileti maji"
 
We kila unapopiga kampeni mabarabara tu na madege wakati watu wanakufa njaa. Sijui no lini JPM huwaga anaongelea swala la ajira. Yeye anahisi mababara ndo sifa tu.

Jk anaheshimiwa Sana kwa sababu aliangalia Sana ustawi wa watu kuliko mabarabara.

Ningekuwa jpm hawa wote walioom ualimu japo alisema wanatakiwa 13,000 nongajiri kila aliyeomba Mana yeye ndo alifanya makosa makubwa ya kutoajiri miaka miaka mitano na kuwafanya warukane tofauti na jk ambaye aliajiri wote kila mwaka labda uache mwenyewe.
 
"Watu wa Kigamboni nileteeni Ndugulile, watu wa Kawe nileteeni Gwajiboy, watu wa wapi sijui nileteeni na madiwani" hizi ni kauli ya JPM. Swali kama anajua kashinda kwanini asitulie maana kwa kauli hizi inaonekana uhakika upo.

"Mkichagua upande ure sileti maji"
Lissu yeye uhakika wake ni upi?
 
"Watu wa Kigamboni nileteeni Ndugulile, watu wa Kawe nileteeni Gwajiboy, watu wa wapi sijui nileteeni na madiwani" hizi ni kauli ya JPM. Swali kama anajua kashinda kwanini asitulie maana kwa kauli hizi inaonekana uhakika upo.

"Mkichagua upande ure sileti maji"
Takwa la Kisheria. Lazima aoneshe ruzuku imetumikaje, sio kama chama chako kisicho nidhamu. Wao hutafuna ruzuku, michango ya wabunge, kisha huchangisha wananchi wanyonge. Mungu anawaona na udhalimu wenu.
 
10% ya mikutano yake ni kampeni na 90% wanasherekea mafanikio ya utekerezaji wa yale waliyoyahaidi ambayo 80% yalikuwemo kwenye Ilani ya uchaguzi ya CHADEMA ambao wameyapa kisogo na kusema ni maendeleo ya vitu!
Chadema walikula ruzuku yote kuja kushtuka uchaguzi huu hapa!
 
Magufuli ni mnyenyekevu anapita kuwasalimu Watanzania

Ushindi ni 98%
 
Mgombea wa CCM kwa kiti cha Urais ajapata kizuizi chochote cha kutembea eneo lolote nchini lakini Hadi Sasa ametembelea chini ya Nusu ya Wilaya na Mikoa ya Tanzania Bara, je, kwa kipindi kilichobaki ataweza kutembea maeneo yaliyobaki?

Mwaka 2015 alifanya kampeni karibia kila kona ya nchi, kwa nini baada ya kuwa madarakani speed yakuwaomba wananchi Kura imepungua?

Ikumbukwe kwa miaka mitano pia hakuweza kurudi kwa wananchi kuwashukuru kwa Kura walizompa, maeneo mengi aliyotembelea akiwa madarakani ni yale aliyokuwa na miradi ya uzinduzi.

Timu ya kampeni itamsaidiaje awafikie Watanzania waliobaki wasije wakamnyima Kura kwa kumtafsiri kama amewadharau?
 
Magufuli ameshakubali matokeo ya kushindwa uchaguzi. PENTAGON / THINKTANK, BUNGE LA MAREKANI, Na Dunia nzima hazimtaki.
 
Nashuhudia kwa mara ya Kwanza Rais anaongoza term moja.

Safari hii, Mshindi hapangi NEC, CCM, Polisi wala Wapiga kura.

Unauliza ni nani?
Tusubiri 28th October
Baba wa Taifa aliruhusu kuanzishwa kwa mfumo wa Vyama Vingi Tanzania kwa vile aligundua WATANZANIA WALIKUWA WANATEKA MABADILIKO ya Uongozi.....! Lakini kwa bakhati mbaya kabisa tangu uanze mfumo wa Vyama vingi CCM haijawahi shinda Uchaguzi wowote na badala yake imekuwa ikipora ushindi wa vyama pinzani si Bara wala Visiwani.
Tofauti ya Uchaguzi huu wa 2020 Kuna mwamko wa tofauti na kipekee ambao bila ya shaka CCM is gonna bow to its knees come 28th of Oct, 2020.
Just stay tuned✌️✌️✌️
 
Mgombea wa CCM kwa kiti Cha Urais ajapata kizuizi chochote Cha kutembea eneo lolote nchini lakini Hadi Sasa ametembelea chini ya Nusu ya Wilaya na Mikoa ya Tanzania Bara, je, kwa kipindi kilichobaki ataweza kutembea maeneo yaliyobaki?

Mwaka 2015 alifanya kampeni karibia kila kona ya nchi, kwa nini baada ya kuwa madarakani speed yakuwaomba wananchi Kura imepungua? Ikumbukwe kwa miaka mitano pia hakuweza kurudi kwa wananchi kuwashukuru kwa Kura walizompa, maeneo mengi aliyotembelea akiwa madarakani Ni Yale aliyokuwa na miradi ya uzinduzi. Timu ya kampeni itamsaidiaje awafikie Watanzania waliobaki wasije wakamnyima Kura kwa kumtafsiri Kama amewadharau?
You know what my dear Beatrice?
Magufuli na Campign Team yake wanajiaminisha wameshashinda kwa Kujenga Flyover, SGR, Stieglers Gorge na kwa kununua Bombadier, Dreamliner na Vivuko......!!
Wanafikiri kuwa walishawanunua au kuwahonga Watz kwa vitu hivo ndo maana hawana wasiwasi.....!!!
Tusubiri tu hiyo 28/10/2020 tutajua mbichi na mbivu!
 
CCM mwaka huu wameamua kwa hiari yao kutupatia burudani ya muziki bure kabisa.

Lkn baada ya kuona wananchi wanaondoka mara tu msanii wa mwisho anapoteremka jukwaani ili kumpisha mgombea wao wamebuni njia haramu ya kuzuia wananchi kuondoka.

Wanaweka machuma (ma-grill) kuzunguka umati wa watu, halafu wayu wanashindwa kutoka.

Mtindo huu umekuja kufautia aibu kubwa iliyowakuta ccm kule Zanzibar na baadaye uwanja wa Mkapa ambapo mgombea wao wa urais alijikuta anahutubia viongozi wa CCM peke yao.
 
Back
Top Bottom