Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtakoma Uchaguzi umeshaisha 82%..Zuchu ametoswa?
..Mmemkumbuka John Komba?
Na watakoma haswa.Mtakoma Uchaguzi umeshaisha 82%
Mtakoma Uchaguzi umeshaisha 82%
We unaisoma namba??😂😂😂 pole fanya kazi kwa Juhudi ndugu acha ujanja ujanja..labda uwe kwenye ukoo wa kina Doto James, na Kheri James.
..vinginevyo wote tunaisoma namba.
Bosi wako umemuelewa lakiniNa watakoma haswa.
Rais wako huyuNa watakoma haswa.
We unaisoma namba??😂😂😂 pole fanya kazi kwa Juhudi ndugu acha ujanja ujanja
Ilivyopangwa na NEC lakini sio kwa kura halali.Kumekuchaaaaa 82%
Makamanda uchwara wamebaki kunukuu vipeperushi tu.Bosi wako umemuelewa lakiniView attachment 1605333
Aaaaaaaa kijana polepole kasema mwezio anamiliki v8unaijua V8 wewe tulia mkabidhi inchi kijanaMakamanda uchwara wamebaki kunukuu vipeperushi tu.
Umeongea mpaka nataka kutoa machozi yaani wamevimbiwa sana hawa jamaaaHuu mwaka Chama cha meko kupitia kile kijamaa kinaitwa Polepole sijui , mmeamua kuongea ukweli toka mioyoni kwa kukubali kuwa nyie hampo kwa ajili ya wananchi maskini. Kamwe hamjawahi kuwa. Zaidi ni kwamba mnastahili kuondoka madarani. Mmekula mmevimbiwa, hamna UTU. Hadharani mnawatweza walalahoi walipakodi mnazofuja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe unatembelea V8 alizosema polpoleMakamanda uchwara wamebaki kunukuu vipeperushi tu.
Makamanda uchwara wanaweweseka hovyo. Tarehe inakaribia.Aaaaaaaa kijana polepole kasema mwezio anamiliki v8unaijua V8 wewe tulia mkabidhi inchi kijana
Makamanda uchwara wanaweweseka hovyo. Tarehe inakaribia.
Haswa wavuta Bangi gheto kwa cyprian Musiba na le mutuz watengeneza propaganda za CCMNa watakoma haswa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kumekuchaaaaa 82%
CCM uchwara wanaweweseka hovyoMakamanda uchwara wanaweweseka hovyo. Tarehe inakaribia.