Katika siku za mwisho za utawala wa mfalme Sauli, licha ya utisho wake mbele za anaowatala, haikuwa salama yake ya kubaki ktk kiti chake cha ufalme. Jambo hili lilikuwa ni bayana kwa kuwa Mungu alimkataa.
Magufuli licha ya kuzungukwa na washauri wengi waliokuwa wanafiki kupitiliza, lkn kuna jambo kubwa sana wanalitambua juu yako. Ndiyo! Wanatambua kwa dhati kuwa hukubaliki wala Watanzania hawakupendi.
Magufuli linahitaji kubaki kuwa jina lako, pengine kidogo na "attribute" ya Rais mstaafu na kiongozi wa kiimla. Hilo la shahada yako ya uzamivu itakupasa ujitetee wewe mwenyewe, mimi wala sina ugomvi na wewe.
Naiona Tanzania mpya chini ya Tundu Lissu na Maalim Seif. Magufuli nenda, Magufuli nenda kwenu Chato. RIP CCM.