Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Mwenyezi Mungu wapende zaidi CCM na Magufuri , miaka 59 chama kimeliletea taifa
IMG_20200904_193732.jpg
hili laana kubwa Sana na umaskini wa kutupa na huyu miaka mitano kaleta umaskini wa kutupa kamaliza kila alichokikuta .
 
Hii imekuwa Ni tabia ya CCM kwamba kila inapofikia hatua ya wananchi kuwachagua viongozi kwa kwa njia ya kupiga kura wao wanaingilia na kuvuruga vuruga haki za wananchi, hili lina leta ukakasi kwa namna flani.
Jambo la kuji uuliza kwanini uoga umekuwa mkubwa kwa kiwango hiki ?
Watu wliojenga mabarabara, reli, elimu bure, zahanati kila kata, makusanyo makubwa ya Kodi,ununuzi wa ndege, nk. Mbona Wana mengi ya kuongea mbele za wananchi?.
Basi inatia mashaka kuwa huwenda ndani ya utekelezaji wa miradi yote hiyo kuna UHUJUMU UCHUMI na wizi uliokithiri.
 
Rais tuliyenae ni Muoga sana wa sanduku la kura, si mtu wa democrasia.
Miaka yote hata akiwa mbunge amekuwa na njama za kupita bila kupingwa kwa ujanja ujanja.

Ametengeneza hiyo hofu hadi akiwa rais na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi.

Tumeona kwenye chaguzi za marudio CCM ikimwaga hadi dam mladi ishinde.
. Tumeshuhudia kununua wapinzani kwa kusingizia kuunga juhudi.
.Tumeshuhudia uchaguzi wa selikali za mitaa.2019 na zile rafu hadi upinzanj kjjitoa.
.Vitisho kwa wakurugenzi kuwa watakiona cha moto endapo watamtangaza mpinzani ameshinda.
.
 
Mwaka huu hamna kusingizia polisi .....ushindi wa CCM ni asilimia 95
 
Hakuna CCM anayeogopa.. Wana CCM wote wanatembea vifua mbele.. Baada ya uchaguzi kwisha Lissu itabidi achague kukubali kazi (na bata) atayopewa na Magufuli au kurudi Singida kulima alizeti... Akumbuke ana mke na watoto...
 
Hii imekuwa Ni tabia ya CCM kwamba kila inapofikia hatua ya wananchi kuwachagua viongozi kwa kwa njia ya kupiga kura wao wanaingilia na kuvuruga vuruga haki za wananchi, hili lina leta ukakasi kwa namna flani.
Jambo la kuji uuliza kwanini uoga umekuwa mkubwa kwa kiwango hiki ?
Watu wliojenga mabarabara, reli, elimu bure, zahanati kila kata, makusanyo makubwa ya Kodi,ununuzi wa ndege, nk. Mbona Wana mengi ya kuongea mbele za wananchi?.
Basi inatia mashaka kuwa huwenda ndani ya utekelezaji wa miradi yote hiyo kuna UHUJUMU UCHUMI na wizi uliokithiri.
Kuna makosa mengi sana wamefanya matrillioni hayajulikani yalipo, mauaji nk ndio chanzo cha woga huu.
 
Rais tuliyenae ni Muoga sana wa sanduku la kura, si mtu wa democrasia.
Miaka yote hata akiwa mbunge amekuwa na njama za kupita bila kupingwa kwa ujanja ujanja.

Ametengeneza hiyo hofu hadi akiwa rais na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi.

Tumeona kwenye chaguzi za marudio CCM ikimwaga hadi dam mladi ishinde.
. Tumeshuhudia kununua wapinzani kwa kusingizia kuunga juhudi.
.Tumeshuhudia uchaguzi wa selikali za mitaa.2019 na zile rafu hadi upinzanj kjjitoa.
.Vitisho kwa wakurugenzi kuwa watakiona cha moto endapo watamtangaza mpinzani ameshinda.
.
Wamezuia mikutano ya wapinzani kwa miaka 5, ili wapinzani wasinitanue

wamezuia bunge lisive live, ili wapinzani wasionekane

wametunga:, Sheria nyingi za kuwabana wapinzani,

wamezuia vyombo vya habari kutangaza habari za wapinzani

Wamewapiga risasi wapinzani

Wamewafunga wapinzani

Wamewateka na kuwaua wapinzani
 
Hakuna CCM anayeogopa.. Wana CCM wote wanatembea vifua mbele.. Baada ya uchaguzi kwisha Lissu itabidi achague kukubali kazi (na bata) atayopewa na Magufuli au kurudi Singida kulima alizeti... Akumbuke ana mke na watoto...
Lisu afanyi kazi za masimango,hizo zinafanywa na wenye njaa ya matumbo na akili.
 
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli akataa kumsikiliza mama mmoja aliyetaka kuongea wakati akinadi sera zake mkoani Simiyu akiwa safarini kuelekea Mkoani Mwanza


Magufuli amesema ni lazima wananchi wajue kuwa wapo viongozi wa mkoa na wilaya ambao wanaweza kuwaona ili kuwatatulia matatizo yao. Katika mkutano huo amemtaka awaone Mkuu wa Mkoa ili apewe haki yake

Magufuli amesema hata kwenye mkutano wako viongozi wengi, haiwezekani kila anapofika yeye ndio wenye shida waende kwake, amesema wengine wanataka kuwavuruga katika mkutano wao
 
JPM yupo sahihi .....kwasasa ni mgombea asubiri arudi madarakani kama ataona haki yake imefeli kwa wakuu wa mikoa na wilaya
 
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli akataa kumsikiliza mama mmoja aliyetaka kuongea wakati akinadi sera zake mkoani Simiyu akiwa safarini kuelekea Mkoani Mwanza


Magufuli amesema ni lazima wananchi wajue kuwa wapo viongozi wa mkoa na wilaya ambao wanaweza kuwaona ili kuwatatulia matatizo yao. Katika mkutano huo amemtaka awaone Mkuu wa Mkoa ili apewe haki yake

Magufuli amesema hata kwenye mkutano wako viongozi wengi, haiwezekani kila anapofika yeye ndio wenye shida waende kwake, amesema wengine wanataka kuwavuruga katika mkutano wao

Huyo Mama alikuwa na jogoo au alienda hivi hivi?
Anaposea kuna viongozi ambao wanaweza kuwatatulia watu matatizo yao, je yule jogoo mbona akusema apewe kiongozi wa mtaa au mkoa?

NB: Kwa kauli hiyo mimi naamini tu kuwa hao waliosemwa kuwa wao ndo wanapaswa kutatua tatizo hilo watachukua hatua za kutatua hilo tatizo.
 
Umet
Huyo Mama alikuwa na jogoo au alienda hivi hivi?
Anaposea kuna viongozi ambao wanaweza kuwatatulia watu matatizo yao, je yule jogoo mbona akusema apewe kiongozi wa mtaa au mkoa?

NB: Kwa kauli hiyo mimi naamini tu kuwa hao waliosemwa kuwa wao ndo wanapaswa kutatua tatizo hilo watachukua hatua za kutatua hilo tatizo.
Umetisha
 
Back
Top Bottom