Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli akataa kumsikiliza mama mmoja aliyetaka kuongea wakati akinadi sera zake mkoani Simiyu akiwa safarini kuelekea Mkoani Mwanza


Magufuli amesema ni lazima wananchi wajue kuwa wapo viongozi wa mkoa na wilaya ambao wanaweza kuwaona ili kuwatatulia matatizo yao. Katika mkutano huo amemtaka awaone Mkuu wa Mkoa ili apewe haki yake

Magufuli amesema hata kwenye mkutano wako viongozi wengi, haiwezekani kila anapofika yeye ndio wenye shida waende kwake, amesema wengine wanataka kuwavuruga katika mkutano wao

Weka kideo
 
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli akataa kumsikiliza mama mmoja aliyetaka kuongea wakati akinadi sera zake mkoani Simiyu akiwa safarini kuelekea Mkoani Mwanza
Sio kiongozi msikivu tuamue haki October.

Magufuli amesema ni lazima wananchi wajue kuwa wapo viongozi wa mkoa na wilaya ambao wanaweza kuwaona ili kuwatatulia matatizo yao. Katika mkutano huo amemtaka awaone Mkuu wa Mkoa ili apewe haki yake

Magufuli amesema hata kwenye mkutano wako viongozi wengi, haiwezekani kila anapofika yeye ndio wenye shida waende kwake, amesema wengine wanataka kuwavuruga katika mkutano wao
 
Mikutano mingi ya CCM imejaa watoto. Hivi hawa watoto CCM huwa mnawatoa wapi? Angalia walivyo jazana hapo kwenye kampeni za CCM.

Ni muda wa kutunga sheria ya kuwazuia watoto wasishiriki kwenye mikutano ya kisiasa hasa katika kipindi hiki cha kampeni.

Ipo siku mgombea atakuja kujikuta anahutubia watoto.
Screenshot_2020-09-06-11-16-43-1.jpg
 
Mikutano mingi ya CCM imejaa watoto. Hivi hawa watoto CCM huwa mnawatoa wapi? Angalia walivyo jazana hapo kwenye kampeni za CCM.

Ni muda wa kutunga sheria ya kuwazuia watoto wasishiriki kwenye mikutano ya kisiasa hasa katika kipindi hiki cha kampeni.

Ipo siku mgombea atakuja kujikuta anahutubia watoto.
View attachment 1560297
Watoto wamekuja kuona magari na wasanii hapo hakuna kura.
 
Ndugu zangu,
Nimesikitishwa na kitenda cha mgombea uraisi ccm kukataa kwamba hawezi ongeza mshahara Kwa wafanyakazi akiwa hadharani akiomba kura huko Mara.
Sasa ni dhahiri mtu huyu ni mbabe na hafuati sheria za nchi tumkatae.
Wafanyakazi wanaongezwa mshahara Kwa mujibu wa sharia na si takwa la kiongizi,harafu anajidai na kusema kwamba anajenga reli na hospital hivyo zitawasaidia wafanyakazi kutibiwa hapo hivyo hakuna haja ya kuongezewa mshahara.
Mbaya zaidi kampeni zake ni za vitisho na anawatisha wapiga kura kwamba wamchague anayemtaka ktk ubunge na udiwani na kuwaahidi watakipata cha moto wasipomchagua anayemtaka yeye,hii si sawa na tume ya uchaguzi walipaswa kumkaripia Kwa kauli mbaya sana hii,ni kama anajiona yeye ameshashinda uraisi vile,sasa niwaombe wafanyakazi,wahitimu na wanafunzi wa vyuo,wafanya biashara na wananchi wote Kwa ujumla tumkatae magufuli Kwa kumnyima kura,tumchague lisu huenda ni mpango wa MUNGU kumuweka lisu hai ili aje kuiteketeza ccm iliyotutesa Kwa muda mrefu.

TUMKATAE TUMKATAE TUMKATAE MAGUFULI NA UOVU WAKE.

Swelana.
 
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli akataa kumsikiliza mama mmoja aliyetaka kuongea wakati akinadi sera zake mkoani Simiyu akiwa safarini kuelekea Mkoani Mwanza


Magufuli amesema ni lazima wananchi wajue kuwa wapo viongozi wa mkoa na wilaya ambao wanaweza kuwaona ili kuwatatulia matatizo yao. Katika mkutano huo amemtaka awaone Mkuu wa Mkoa ili apewe haki yake

Magufuli amesema hata kwenye mkutano wako viongozi wengi, haiwezekani kila anapofika yeye ndio wenye shida waende kwake, amesema wengine wanataka kuwavuruga katika mkutano wao
Wasukuma wanatakiwa kufunzwa wanapowaona kwenye Tv watu wanaleta 'shida' halafu "zinatatuliwa" na mhishimiwa mikutanoni tayari wanakuwa na script na wameshafanya rehearsal ya kutosha tu ndio maana na vibunda vinakuwepo. Angemuacha tu aeleze "mafanikio" ya utawala wake ndani ya miaka 5 iliyopita, kwani wale wengine anapowakubalia kunakuwa hakuna viongozi kwenye maeneo husika?
 
Huyo mama hakupangwa vyema, huenda protokali ya maigizo ya Ikulu haikuzingatiwa, script haikuwekwa vizuri, Rehearsal haikufanyika na boss hakuandaliwa kisaikolojia.
 
wale waliokuwa wanasikilizwa ni watu wa system waliokuwa wanajifanya raia wa kawaida wenye matatizo.
 
Magufuli kila anapopita,kama vile Hitra alipopita Poland majeshi yalijisalimisha, kwa nini aendelee kujichosha wakati yale aliyoyafanya yananena.!!!
Kama ni lazima kupita kwa wananchi zungumza maneno machache ; AHSANTE KWA MIAKA MITANO MINGINE NITAENDELEA KUFANYA NA KUFANYA ZAIDI.
 
Magufuli kila anapopita,kama vile Hitra alipopita Poland majeshi yalijisalimisha, kwa nini aendelee kujichosha wakati yale aliyoyafanya yananena.!!!
Kama ni lazima kupita kwa wananchi zungumza maneno machache ; AHSANTE KWA MIAKA MITANO MINGINE NITAENDELEA KUFANYA NA KUFANYA ZAIDI.

Tume iamue inataka uchaguzi ufanyike au usifanyike, sisi tumejiridhisha katika majimbo yetu yote 62 ya ubunge, wagombea wetu wamejaza fomu sawasawa na hakuna mgombea ambaye amekose chochote".Zitto Kabwe.
Wananchi wazalendo tunasubiri go ahead tu.
 
Magufuli kila anapopita,kama vile Hitra alipopita Poland majeshi yalijisalimisha, kwa nini aendelee kujichosha wakati yale aliyoyafanya yananena.!!!
Kama ni lazima kupita kwa wananchi zungumza maneno machache ; AHSANTE KWA MIAKA MITANO MINGINE NITAENDELEA KUFANYA NA KUFANYA ZAIDI.
Kwa huu upumbavu ulioandika ungekuwa karibu ningekuzaba makofi
 
Kwa mapenzi ya Tz tunajituma silipwi na mtu, wagombea wako wakifikisha 10% kwa pamoja njoo uchukue zawadi.
 
Back
Top Bottom