Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.

Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.

Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Wivu tu. TZ ongea lugha yoyote. Utanaka tuwe tunaongea viingeleza Kama Ubelgiji?

Kusukuma ni Kanda ya Ziwa..

Mkikosa kabsa Sera mnataka Hadi watu waache kuwasiliana kwa ukaribu?

Mtu anaongea na watu wa Mwanza unataka hadi wewe uelewe?
 
Tunahisi kubaguliwa sisi tusioelewa kilugha hicho. Tunamwomba aongee lugha rasmi Kiswahili ili na sisi wengine tumwelewe.
 
Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.

Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.

Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Unahangaika kweli wewe mwanasaccos naona umeanzisha thread nyingine inayowahusu wasukuma!
 
Wivu tu. TZ ongea lugha yoyote. Utanaka tuwe tunaongea viingeleza Kama Ubelgiji?

Kusukuma ni Kanda ya Ziwa..

Mkikosa kabsa Sera mnataka Hadi watu waache kuwasiliana kwa ukaribu?

Mtu anaongea na watu wa Mwanza unataka hadi wewe uelewe?
Kwa hiyo Wakazi wote wa Mwanza ni Wasukuma?? Ninyi ndiyo mnaosababisha haya mambo ya kipuuzi yanayofanywa na Bw. Yule. Badala ya kukemea arudi kwenye mstari mnapotosha kwa kumpamba kwa maneno ya kipuuzi. Huko mbeleni tusilaumiane.
 
Ni mlemavu Wa akili tu ndiye anayeweza kuamini kwamba Lisu atakuwa Raiis
 
IMG-20200906-WA0023.jpg
 
Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.

Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.

Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Tumkatae magufuli kwa kuendekeza ukabila
 
Back
Top Bottom