Wivu tu. TZ ongea lugha yoyote. Utanaka tuwe tunaongea viingeleza Kama Ubelgiji?Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.
Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.
Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Unahangaika kweli wewe mwanasaccos naona umeanzisha thread nyingine inayowahusu wasukuma!Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.
Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.
Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Kamsikilize Msaliti LissuTunahisi kubaguliwa sisi tusioelewa kilugha hicho. Tunamwomba aongee lugha rasmi Kiswahili ili na sisi wengine tumwelewe.
Unahangaika tu! Wapi huko wamemzomea? Acha uongo wewe farasi!wale waliomzomea wamemchanganya kabisa leo. yani huyu jamaa dawa yake ndogo sana watu wakiingia barabarani wiki moja anakimbia nchi.
Mimi nazungumzia mustakabali wa watanzania sio wasukuma.Unahangaika kweli wewe mwanasaccos naona umeanzisha thread nyingine inayowahusu wasukuma!
Malalamiko FCMimi nazungumzia mustakabali wa watanzania sio wasukuma.
Kwa hiyo Wakazi wote wa Mwanza ni Wasukuma?? Ninyi ndiyo mnaosababisha haya mambo ya kipuuzi yanayofanywa na Bw. Yule. Badala ya kukemea arudi kwenye mstari mnapotosha kwa kumpamba kwa maneno ya kipuuzi. Huko mbeleni tusilaumiane.Wivu tu. TZ ongea lugha yoyote. Utanaka tuwe tunaongea viingeleza Kama Ubelgiji?
Kusukuma ni Kanda ya Ziwa..
Mkikosa kabsa Sera mnataka Hadi watu waache kuwasiliana kwa ukaribu?
Mtu anaongea na watu wa Mwanza unataka hadi wewe uelewe?
Kwahiyo mwanza wanakaa wasukuma tu.Wivu tu. TZ ongea lugha yoyote. Utanaka tuwe tunaongea viingeleza Kama Ubelgiji?
Kusukuma ni Kanda ya Ziwa..
Mkikosa kabsa Sera mnataka Hadi watu waache kuwasiliana kwa ukaribu?
Mtu anaongea na watu wa Mwanza unataka hadi wewe uelewe?
Tunaomba mkalimani awepo sisi hatuelewei kisukuma kuna muda tunaona kama anatutukana.Kamsikilize Msaliti Lissu
Tumkatae magufuli kwa kuendekeza ukabilaKila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.
Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.
Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Mbona Tume ya uchaguzi wako kimya ?Binafsi imenishangaza Sana hii..
Nani amethubutu kumzomea mtukufu magufuli ?wale waliomzomea wamemchanganya kabisa leo. yani huyu jamaa dawa yake ndogo sana watu wakiingia barabarani wiki moja anakimbia nchi.
DIMDegrees of insanity in the making