Kwanza wewe si mwanaCCM.
Pili lazima ukubali hakuna sera mbaya.. ikiweko hapa ilete niione.. tunachotofautiana ni uwezo was kuushawishi umma utuchague.. na Kama chama Cha Mapinduzi kinao msingi na mfumo Bora wenye ushawishi.
Tatu hakuna aliyetumia lugha ya asili mwanzo mpaka mwisho kufanya kampeni.. na maneno Kama Wasukuma wanasema..."insert Maneno hapa" hazijaanza kutumika leo kwenye siasa.
Tatizo ni kujiona hii Tanzania ni ya wasomi na Kiswahili kinaeleweka pote.. you are very mistaken"Mjuba" huifahamu Tanzania. Tembea Kisha urudi hapa useme Tena haya unayoyaandika.
Na hizi asili ndizo building blocks za Taifa Hili.. huwezi kupenda mchuzi (Uswahili) halafu ukachukia kitunguu na nyanya(makabila ya kibantu) utakuwa hayawani.
Siasa Duniani kote zinaendeshwa namna moja.. iwe Marekani iwe Uingereza iwe Urusi Japan kote... Ni jukumu la mwanasiasa kuconnect on individual level na wapiga kura..
Huko walikoendelea wasingesafiri na kufanya mikutano ya hadhara.. wangekaa kwenye tv wakazisoma sera na kuzidadavua kwa undani kabisa if that wa simple as you put it.
Running a country is one thing and getting elected is another.. Waacheni wenye ujuzi na hayo wafanye kazi yao.
Btw..sheria inaruhusu lugha hizi kitumika pale inapohitajika na mkalimani awepo.. Sasa Dr. JPM anahitaji mkalimani gani wakati yeye mwenyewe anaijua lugha ya kisukuma na Kiswahili!?
Bado ninangoja Kampeni iliyoendeshwa mwanzo mpaka mwisho kwa lugha ya kisukuma ..
Sent from my Infinix X650 using
JamiiForums mobile app