kikubwa umejua anakuwazia nini.Huo siyo ukweli ni ujinga na ulimbukeni wa madaraka .najuta kumpa kura yangu mwaka 2015
Atakimbilia wapi sasawale waliomzomea wamemchanganya kabisa leo. yani huyu jamaa dawa yake ndogo sana watu wakiingia barabarani wiki moja anakimbia nchi.
Ulichotaka kumaanisha katika aya yako ya mwisho ni kuwa kimetumika kisukuma kwakuwa kuna ahadi ambazo watu wasiojua kisukuma hawakutakiwa kujua au kusikia sababu watapata wivu ? Kwamba sera zetu haziuzi ila kushawishi kwa kuongea kilugha !? Kuwa kuna watanzania ambao leo 2020 hawajui kiswahili inabidi waambiwe kwa lugha zao, mgombea wetu akienda Mtwara, Tanga, Mbeya na maeneo mengine tutegemee atazungumza kwa lugha hizo ndiyo atakuwa na ushawishi, vinginevyo mgombea wetu hana ushawishi ?Sema una kaushabiki... NaJF imeanza kuwa tainted..sio kisima cha fikra huru Tena. Ukienda kwa warumi ongea kirumi..
Vijana hampigi kura kutwa kwenye mitandao kupiga soga.. mwanasiasa yeyote Mwenye akili anajua umuhimu wa watu wa vijijini ambao wengi wao Kiswahili hawakijui Kama unavyotaka Kujiaminisha.
Na kiongozi Kama utashindwa kuongea yale yanayogusa moyo wao kura hupati.. labda kitu usichokijua Duniani kote sera haikupeleki ikulu.. Ni ushawishi..
Sasa wewe nenda bukoba/umasaini au Ihemi na Tungamalenga huko uwashawishi na maneno yako ya mchakato uone Kama utapata kura..
Na kinachosikitisha ..na haka kanakuwa katrend humu-jf watu aidha kuongezea chunvi Sana matukio ya kampeni au kuyabadilisha badilisha kusuit their narrative,. Ni aibu kwa msomi kupindisha data aonekane yuko Sahihi... Na hii iwafikie wote vyama vyote na moderators mnaua brand ya JF.
Btw. Kwanza kwa hilo la kisukuma unayo picha ya video au rekodi ya sauti ya kampeni iliyoendeshwa kwa Kisukuma mwanzo mpaka mwisho!? Na Kama ipo haina version ambayo aliielezea kwa Kiswahili!?
Pili wewe upo Mwanza!? Katika eneo analoahidi na kumwaga sera allegedly fully kwa kisukuma!? Kama hapana una ndugu, jamaa au rafiki maeneo hayo ambaye amesema hakuelewa!? Kama huna jamaa na wala huna ndugu huko..
Kwann unataka sana kujua wao wameahidiwa Nini!? Wivu!? Tamaa!? Au!? Kwann wewe mtu wa temeke uwe very interested kujua Mlele wameahidiwa Nini!?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nakuhakikishia kuna wasukuma na wamasai Hawajui kuswahiliUlichotaka kumaanisha katika aya yako ya mwisho ni kuwa kimetumika kisukuma kwakuwa kuna ahadi ambazo watu wasiojua kisukuma hawakutakiwa kujua au kusikia sababu watapata wivu ? Kwamba sera zetu haziuzi ila kushawishi kwa kuongea kilugha !? Kuwa kuna watanzania ambao leo 2020 hawajui kiswahili inabidi waambiwe kwa lugha zao, mgombea wetu akienda Mtwara, Tanga, Mbeya na maeneo mengine tutegemee atazungumza kwa lugha hizo ndiyo atakuwa na ushawishi, vinginevyo mgombea wetu hana ushawishi ?
Absurd! kuyasikia haya leo kutoka kwetu sisi wana CCM, kuwa kuna mwana CCM anaaminisha umma kuwa mgombea wetu hana ushawishi na hawezi kuuza ilani na sera zetu?! Anaweza kuuza lugha yake tu? Tena unaaminisha watu wakati wa campaign? Jambo la ajabu kabisa. CCM imeshinda kila chaguzi katika historia ya nchi yetu, sababu wagombea wetu wa urais ni watu wanaoweza kunadi na kuuza sera zetu na ilani yetu kwa wananchi, wameweza kueleza haya katika lugha rahisi kwa kila mpiga kura, bila kujali chama chake, dini, elimu, kabila, umri au kipato chake. Umeshindwa hata kueleza kuwa mh. Alikuwa akitoa salamu tuu kwa lugha mbalimbali na sera zote zilinadiwa kwa kiswahili!??
Ajabu kabisa ! Unasema bila uwoga, soni wala haya kuwa tunazungumza kilugha eti kwasabu hatuwezi kushinda kwa sera. Si kweli, ni uwongo, uliojaa chuki na wenye lengo la kusambaza chuki hii kwa wapiga kura. Ni matumaini yangu utajifikiria ulichokiandika dhidi ya chama cha mapinduzi na tuhuma ambazo umekipa chama kisirisiri na utarekebisha mara moja tuhuma hizo na uwongo, unafiki na uzandiki dhidi ya chama.
Kimsingi, Mh. Alisalimia tuu kwa kilugha na hakuna jipya wala si jambo geni, ni kama wanasiasa wanavyosalimia kwa salamu za dini.
Swala siyo nguvu ya ukawa. Hata rungwe anaishinda CCM.Katika uchaguzi ambao wapinzani watapigwa vibaya mnoo na ccm ni huu wa mwaka 2020 kwa sababu wapinzani bila nguvu ya ukawa hawawezi kushindana na ccm.
Hebu fikiria uchaguzi 2015 ambao uliwapa wapinzani wabunge wengi,madiwani wengi sababu ya nguvu ya ukawa
Leo hii ACT,CHADEMA,CUF,NCCR kila chama kinasimamishq mgombea wake wa uraisi ubunge udiwani alafu mnategemea mtashinda kweliii
kwani sheria za uchaguzi zinasemaje? tusinajsi akili zetu. ebu leteni sheria ya uchaguzi kuhusu lughaWivu tu. TZ ongea lugha yoyote. Utanaka tuwe tunaongea viingeleza Kama Ubelgiji?
Kusukuma ni Kanda ya Ziwa..
Mkikosa kabsa Sera mnataka Hadi watu waache kuwasiliana kwa ukaribu?
Mtu anaongea na watu wa Mwanza unataka hadi wewe uelewe?
Mbona hivyo tena??Asante kwa video hii mkuu. Naituma kwa mtu wa tume aisikilize.
Nataka kusikia toka tume kama kutumia ukabila ktk kampeni inaruhusiwa.Mbona hivyo tena??
Jiwe bin Mwamba alizaliwa Bujumbura, akakulia Busubi (Biharamuro), lakini akapata bahati ya kujipachika Usukuma - ambao unaona anacheza nao kupitiliza. Muulize akuoneshe kaburi la babu yake!!!Mnakumbuka kale kakabila alikopewa john 2015 kwa kumficha kuwa sio msukuma!
Amesahau tz sio ya wasukuma
anafoka kweli kweli
Hivi kinachowachanganya ni lugha aliyoitumia leo baada ya kuingia Mwanza au ni lile nyomi lililokuwa linazuia njia ili kipenzi chetu aseme nao japo neno japo mojaHivi kila mgombea akianza kupiga kampeni kilugha, kikabila sielewi tutafika wap..
Kwanza wewe si mwanaCCM.Ulichotaka kumaanisha katika aya yako ya mwisho ni kuwa kimetumika kisukuma kwakuwa kuna ahadi ambazo watu wasiojua kisukuma hawakutakiwa kujua au kusikia sababu watapata wivu ? Kwamba sera zetu haziuzi ila kushawishi kwa kuongea kilugha !? Kuwa kuna watanzania ambao leo 2020 hawajui kiswahili inabidi waambiwe kwa lugha zao, mgombea wetu akienda Mtwara, Tanga, Mbeya na maeneo mengine tutegemee atazungumza kwa lugha hizo ndiyo atakuwa na ushawishi, vinginevyo mgombea wetu hana ushawishi ?
Absurd! kuyasikia haya leo kutoka kwetu sisi wana CCM, kuwa kuna mwana CCM anaaminisha umma kuwa mgombea wetu hana ushawishi na hawezi kuuza ilani na sera zetu?! Anaweza kuuza lugha yake tu? Tena unaaminisha watu wakati wa campaign? Jambo la ajabu kabisa. CCM imeshinda kila chaguzi katika historia ya nchi yetu, sababu wagombea wetu wa urais ni watu wanaoweza kunadi na kuuza sera zetu na ilani yetu kwa wananchi, wameweza kueleza haya katika lugha rahisi kwa kila mpiga kura, bila kujali chama chake, dini, elimu, kabila, umri au kipato chake. Umeshindwa hata kueleza kuwa mh. Alikuwa akitoa salamu tuu kwa lugha mbalimbali na sera zote zilinadiwa kwa kiswahili!??
Ajabu kabisa ! Unasema bila uwoga, soni wala haya kuwa tunazungumza kilugha eti kwasabu hatuwezi kushinda kwa sera. Si kweli, ni uwongo, uliojaa chuki na wenye lengo la kusambaza chuki hii kwa wapiga kura. Ni matumaini yangu utajifikiria ulichokiandika dhidi ya chama cha mapinduzi na tuhuma ambazo umekipa chama kisirisiri na utarekebisha mara moja tuhuma hizo na uwongo, unafiki na uzandiki dhidi ya chama.
Kimsingi, Mh. Alisalimia tuu kwa kilugha na hakuna jipya wala si jambo geni, ni kama wanasiasa wanavyosalimia kwa salamu za dini.
Umeeleza vizuri sana, sasa tungoje tuone mrejeshoKwanza wewe si mwanaCCM.
Pili lazima ukubali hakuna sera mbaya.. ikiweko hapa ilete niione.. tunachotofautiana ni uwezo was kuushawishi umma utuchague.. na Kama chama Cha Mapinduzi kinao msingi na mfumo Bora wenye ushawishi.
Tatu hakuna aliyetumia lugha ya asili mwanzo mpaka mwisho kufanya kampeni.. na maneno Kama Wasukuma wanasema..."insert Maneno hapa" hazijaanza kutumika leo kwenye siasa.
Tatizo ni kujiona hii Tanzania ni ya wasomi na Kiswahili kinaeleweka pote.. you are very mistaken"Mjuba" huifahamu Tanzania. Tembea Kisha urudi hapa useme Tena haya unayoyaandika.
Na hizi asili ndizo building blocks za Taifa Hili.. huwezi kupenda mchuzi (Uswahili) halafu ukachukia kitunguu na nyanya(makabila ya kibantu) utakuwa hayawani.
Siasa Duniani kote zinaendeshwa namna moja.. iwe Marekani iwe Uingereza iwe Urusi Japan kote... Ni jukumu la mwanasiasa kuconnect on individual level na wapiga kura..
Huko walikoendelea wasingesafiri na kufanya mikutano ya hadhara.. wangekaa kwenye tv wakazisoma sera na kuzidadavua kwa undani kabisa if that wa simple as you put it.
Running a country is one thing and getting elected is another.. Waacheni wenye ujuzi na hayo wafanye kazi yao.
Btw..sheria inaruhusu lugha hizi kitumika pale inapohitajika na mkalimani awepo.. Sasa Dr. JPM anahitaji mkalimani gani wakati yeye mwenyewe anaijua lugha ya kisukuma na Kiswahili!?
Bado ninangoja Kampeni iliyoendeshwa mwanzo mpaka mwisho kwa lugha ya kisukuma ..
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ukiona hivyo ujue hazikuhusuKila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.
Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.
Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Hili lijamaa,linaona kete iliyobaki ili liludi Ikulu ni ukabila kwenda mbele,kila sehemu linaandamana na boss wa TRL,Kadogosa,ambaye ni Msukuma,ili kumtumia Kama chambo ya kupata kura.Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.
Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.
Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.
Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.
Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.