Kila mpenzi wa ubwabwa- kura kwa Rungwe, hakyanami spunda atachukuwa nchi. Nani hapendi ubweche?, nina uhakika na wewe utampaBring counter analysis
pamoja na ubwabwa amepata watu wa kuja kula??Kila mpenzi wa ubwabwa- kura kwa Sounds Rungwe, hakyanami spunda atachukuwa nchi. Nani hapendi ubweche?, nina uhakika na wewe utampa
Vijana gani hao jingalao!!??Tukiangazia mvuto wa CCM kupitia wasanii vijana tunaona ni namna gani imeweza kuwateka vijana kupitia vijana wenzao waliojiajiri kupitia sanaa.
Ukiangalia idadi ya wasanii walioiunga mkono CCM unapata picha ya mashabiki wa CCM vijana wataokaompigia kura JPM.
Hapa umembana huyu mataga kwenye kona ya kitandaπ€£π€£π€£Angalia hiyo picha lkn angalia na hiiView attachment 1561009
pamoja na ubwabwa amepata watu wa kuja kula??
[/
Takukuru wametia mchanga ubwabwa watu
oktoba 28 msihame humu jamviniHapa umembana huyu mataga kwenye kona ya kitandaπ€£π€£π€£
akirudi naomba unitag.
We ulitaka nisemeje?Duuh,huo ndio utetezi wako?Aisee!
Unaumwa mavi wewe, yaani nikachague usenge sababu ya fara wa bongo muvi au bongo fleva. Kachambe ulale..Tukiangazia mvuto wa CCM kupitia wasanii vijana tunaona ni namna gani imeweza kuwateka vijana kupitia vijana wenzao waliojiajiri kupitia sanaa.
Ukiangalia idadi ya wasanii walioiunga mkono CCM unapata picha ya mashabiki wa CCM vijana wataokaompigia kura JPM.
Comrade imefika hatua CCM mnakubali muimba Singeli Sholo Mwamba anawazalilisha kwa kumpigisha magoti mgombea wenu π€£oktoba 28 msihame humu jamvini
Nadhani umejionea jinsi ambavyo ccm mnajaza watoto kwenye mikutano yenu ..je hao watoto ni wapiga kura??oktoba 28 msihame humu jamvini
ccm wajinga Sana aiseeeeeeeHapa umembana huyu mataga kwenye kona ya kitanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
akirudi naomba unitag.
Basi mkuu,huwa sijibishani nikishaona aina hii ya hoja!Kwa watu ambao wako open minded,we discuss facts!We ulitaka nisemeje?
Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.
Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.
Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Facts zipi aswaa unazozingumzia?Basi mkuu,huwa sijibishani nikishaona aina hii ya hoja!Kwa watu ambao wako open minded,we discuss facts!
Usiku mwema mkuu!Facts zipi aswaa unazozingumzia?