uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
Nawe pia, viongozi wa chadema punguzeni faru john.Usiku mwema mkuu!
Labda watashinda na njaa lkn sio urais msahauNinauhakika CCM watashinda uchaguzi kwa ngazi ya urais mwaka huu 2020.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Jazba haliondoi ukweli tukutane oktoba 28 nitakukumbushaUnaumwa mavi wewe, yaani nikachague usenge sababu ya fara wa bongo muvi au bongo fleva. Kachambe ulale..
Kwahiyo hapo ni kituo cha kura?Tukiangazia mvuto wa CCM kupitia wasanii vijana tunaona ni namna gani imeweza kuwateka vijana kupitia vijana wenzao waliojiajiri kupitia sanaa.
Ukiangalia idadi ya wasanii walioiunga mkono CCM unapata picha ya mashabiki wa CCM vijana wataokaompigia kura JPM.
kwenye kituo cha kura wasanii na wafuasi wao watawafunza adabuKwahiyo hapo ni kituo cha kura?
Kwahiyo wote wamejiandikisha na watawapigia kura?kwenye kituo cha kura wasanii na wafuasi wao watawafunza adabu
Wengi wamejiandikisha na wataipigia kura ccm...Kwahiyo wote wamejiandikisha na watawapigia kura?
Au zinawahusu wasukuma tu?Ukiona hivyo ujue hazikuhusu
Analazimisha furaha
Kama nyie Wasukuma wa Mara, Simiyu, Mwanza, Shy, Geita na Kagera hamuelewi Kisukuma cha Mwenyekiti wa Chama chenu, itakuwaje atakapokwenda kufungua kampeni Mikoa ya Kusini ambako walimfukiza karibuni akakimbia bila kugeuka nyuma? Labda Mwenyekiti mpendwa ni mtalaamu wa Kihutu cha kule, hajui Kisukuma cha huku!Kila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.
Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.
Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Kwani ulilazimishwa kufuatilia mikutano ya ccm? Wewe fuatilia wa Savimbi hukoKila nikijaribu kufuatilia kampeni za mgombea wa CCM huko kanda ya ziwa nashindwa kuelewa kutokana na kilugha kinachoongelewa huko TBC.
Kwa maoni yangu tumerudi nyuma miaka 80 wakati kila kabila likiongea lugha yake Tanzania.
Tufanye nini tuondokane na hali hii? Jambo hili ni hatari kwa mshikamano wa taifa letu.
Mimi ni mtanzania nataka kujua sera za mgombea urais wa Tanzania sasa nashindwa kwani lugha anayozungumza siielewi na sio Kiswahili wala Kiingereza.Kwani ulilazimishwa kufuatilia mikutano ya ccm? Wewe fuatilia wa Savimbi huko
Atakuwa anavumilia makubwa mama huyu.Analazimisha furaha
kale ubwabwaMimi ni mtanzania nataka kujua sera za mgombea urais wa Tanzania sasa nashindwa kwani lugha anayozungumza siielewi na sio Kiswahili wala Kiingereza.
Daaah wee acha tu. Tuliowahi kuishi karibu na familia hiyo tuliyashuhudia mambo ya hatariAtakuwa anavumilia makubwa mama huyu.