harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,074
- 2,870
Hahahahaha. Mchakato wa kumwagia manii baharini Naona upo kwenu. Kwa wastaarabu na waungwana kwetu sie haupo na haiwezekani kwa Mwenye akili timamu....
Tumegeuka mazwazwa ...ccm kuna watu wengi sana wa kufunga hadi zimbambwe iingie uchumi wa katiNikiwa kijiji kwetu 2000 wakati huo hata hadhi ya kuwa kijiji ilikuwa bado wakati wa kampeni CCM waliwaambia wanachi kuwa kuchagua chama pinzani ni sawa na kuchagua vurugu na nchi ikiingia kwenye machafuko wamama na watoto ndio watakaopata shiida...
Most likely hahawezi kubomoa, ila hawataweza kuyaendeleza kama wanaona kuwa hayo ni "maendeleo ya vitu tu." Pesa zitarudi kwenye trip za kwenda nje za kutafuta wafadhili, na kuacha wafanyabiashara wa ndani kula bata.Haya maneno nimewahi kumsikia akiyasema tangu alipokuwa Waziri ktk Serikali ya JK.
Kama mtakumbuka zile hotuba zake maarufu za " aliselema. "...
We mbwa hakuna maccm kwetu.... Labda familia yako inayolamba makalio yao ili ipate vueaoKwaiyo babayako na mamayako na babuyako ambao ni CCM ni vicha na wakakuzaa wewe si kichaa
We mbwa hakuna maccm kwetu...... Maccm ni wajinga km ww na familia yako mnaotafuta vyeo huku mkiwaua watz na kuharibu uchumi wa nchiNdio Vilaza huongea hivyo
Kwahiyo mamako anaipigia kura CCM
Je Naye unamwitaje
Shithole kabisa....Watapata kura za wake na waume zao
Pumbavu, punguza ujinga kichwani, punguza mahaba ya ivyama kijanaWe mbwa hakuna maccm kwetu...... Maccm ni wajinga km ww na familia yako mnaotafuta vyeo huku mkiwaua watz na kuharibu uchumi wa nchi
Sasa ww km unaakili timamu unaendaje ccm iliyoharibu nchi miaka 5 tu... Acha kua msukule wa lumumba ww chokoPumbavu, punguza ujinga kichwani, punguza mahaba ya ivyama kijana
Kuzidi matapeli wa karata tatuMaccm ni matapeli wa kisiasa
Sasa hilo dole gumba ndio kitu gani?Kuzidi matapeli wa karata tatu
Hasira zako za ki vyeti feki achana nazo, utaharibikiwa zaidi, tulia kijana, piga shule, elimu haina mwisho,Sasa ww km unaakili timamu unaendaje ccm iliyoharibu nchi miaka 5 tu... Acha kua msukule wa lumumba ww choko
Ndugu yangu JK, yaani mambo mengine tunajikuta tu tumeangua kicheko kana kwamba ni mazuri!!Haya maneno nimewahi kumsikia akiyasema tangu alipokuwa Waziri katika Serikali ya JK.
Kama mtakumbuka zile hotuba zake maarufu za " aliselema. "
Huenda uelewa wake wa katiba, sheria, na demokrasia ya vyama vingi, ni kwamba miundombinu inayojengwa nchini ni mali ya CCM kwasababu ndio chama tawala.
Hata madai yake kuwa wapinzani wakichaguliwa watavunja miundombinu na kuuza screpa, huenda anaamini hivyo kwa dhati ya moyo wake.
Wako waliojisemea kwamba tuna raisi wa ajabu haijapata kutokea.
cc Richard, Chige, Nguruvi3, Mag3, @Erythrocite, tindo