Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
HONGERA KWA KUCHAGUA UJINGA,NA KUWEKA AKILI STOO 🤣🤣🤣Kusema kampeni za Ccm ni ngumu ni vichekesho
Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%
Rafiki zetu wa Chadema mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge