Usidanganyike na mikusanyiko ya wanafunzi wa shule za msingi na chekechea wanaosombwa na malori.Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%
Usidanganyike na mikusanyiko ya wanafunzi wanaosombwa na malori.
Sasa hiyo 90% unaipima na kuipataje ikiwa mgombea wa CCM hana mvuto, mpaka malori yatumike, shule zifungwe na wanafunzi wahudhurie?Wanafunzi ndio wapiga kura wa kesho,
Ndo mana anaambatana na bongo movies, bongo flaver na kina maria nyerere kuongeza vichwa hahaha hizi degree za kudesa hizi mbaya sanaKusema kampeni za Ccm ni ngumu ni vichekesho
Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%
Rafiki zetu wa Chadema mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge
Anatia aibu huyu mgombea. Miaka 5 ikulu lkn watanzania wanamkataa kama wote.Ndo mana anaambatana na bongo movies, bongo flaver na kina maria nyerere kuongeza vichwa hahaha hizi degree za kudesa hizi mbaya sana
Huo ushauri wako,ngojaa uendelee kuongeza ugumu was kampeni zake,kumbe ni miongoni mwa washauri .Kusema kampeni za Ccm ni ngumu ni vichekesho
Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%
Rafiki zetu wa Chadema mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge
Tatizo watu wanakuwa na maana zao za usikivu na unyenyekevu ambazo ni za kumtaka kiongozi aendeshe nchi kwa matakwa yao.Amepuuza vilio vya watanzania kuhusu biashara zao kudorora, vijana kukosa ajira na kutoyakemea matukio ya utekaji, mauaji, matusi ya Musiba kwa wazee wastaafu na mengine mengi.
Alifanya maamuzi mengi kibabe. Mfano kukataza mikutano ya siasa, kukataza bunge kuwa live, n.k kwa kisingizio kuwa watanzania wachape kazi. Lkn yeye kutwa kucha yuko mubashara hata kwa mambo yasiyo na umuhimu.
Laiti kama Magufuli angekuwa msikivu, mnyenyekevu na mpenda watu uchaguzi huu ungekuwa rahisi kwake.
Sasa hiyo 90% unaipima na kuipataje ikiwa mgombea wa ccm hana mvuto, mpk malori yatumike, shule zifungwe na wanafunzi wahudhurie?
Ingekuwa nikweli CCM wasingejichosha kubeba watu kwenye malori Kama mifugoKusema kampeni za Ccm ni ngumu ni vichekesho
Rais Magufuli hata asipopiga kampeni kuanzia leo ushindi ni 90%
Rafiki zetu wa Chadema mtaula wa chuya huu mwaka hampati hata mbunge
Ndo mana anaambatana na bongo movies, bongo flaver na kina maria nyerere kuongeza vichwa hahaha hizi degree za kudesa hizi mbaya sana
Ingekuwa nikweli CCM wasingejichosha kubeba watu kwenye malori Kama mifugo
Kumbe kiongozi anatakiwa aendeshe kwa matakwa ya nani kama siyo wao wananchi?Tatizo watu wanakuwa na maana zao za usikivu na unyenyekevu ambazo ni za kumtaka kiongozi aendeshe nchi kwa matakwa yao.
Waliopanda hili roli ni Nyumbu wanarudishwa serengeti mbuga za wanyama.Hawa Chadema wamebeba mbuzi[emoji6]
View attachment 1567008
Pia wasingewatumia Wakurugenzi na Watendaji kata kuwakata wapinzani kwa sababu za kijinga.Ingekuwa nikweli CCM wasingejichosha kubeba watu kwenye malori Kama mifugo
Mbishi anahisi anachofikiria yye ni sahihi kwenye kila jambo. Hivi unamtoza mmachinga kodiak ya 20 kwa mwaka wakati wewe mshahara wako hulipi kodi . Unapora KOROSHO za watu na kuwalipa kwa mafungu ili uonekane una maamuzi yasiyoyumbaa kisha kesho unaenda kuomba kura siyo ujinga nnAnatia aibu huyu mgombea. Miaka 5 ikulu lkn watanzania wanamkataa kama wote.
Hii picha ya mwaka 1995 uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi
Tunakudharau sana hapa
Sorry mkuu,hao huwa ni wanafunzi ni wa kada zipi vyuo,msingi, au sekondariUsidanganyike na mikusanyiko ya wanafunzi wanaosombwa na malori.