All the best wanasingidaLeo ni zamu ya Mkoa wa Singida kwenda kusikia yaliyofanyika na sera zenye muelekeo mpya wa Tanzania ya kujitegemea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
All the best wanasingidaLeo ni zamu ya Mkoa wa Singida kwenda kusikia yaliyofanyika na sera zenye muelekeo mpya wa Tanzania ya kujitegemea.
Kama wote...wasanii wapokaribu na CCM.Wasanii wangapi watakuwepo huko..Zuchu vip. Maana zile ni tamasha la bongo fleva, muvi, na komedi
Watu tuko bize na mambo yetu ila nimeona malori tupu yana bendera sijui ndo yanafuata watu huko vijijini?
For your information, barabara ya lami ya kwanza Singida ilijengwa kipindi cha mjerumani.Kwa mara ya kwanza Shule zinachukua Chaki Singida.
Kwa mara ya kwanza Mji wa Singida punda na watu wanakanyaga lami.
Hospitali na vituo vipya vya Afya vimejengwa.
Iiving in the last without hope in the future...wishing you all the best brotherLeo ni zamu ya Mkoa wa Singida kwenda kusikia yaliyofanyika na sera zenye muelekeo mpya wa Tanzania ya kujitegemea.
Halafu malizia..Kama si awamu ya tano....Kwa mara ya kwanza Shule zinachukua Chaki Singida.
Kwa mara ya kwanza Mji wa Singida punda na watu wanakanyaga lami.
Hospitali na vituo vipya vya Afya vimejengwa.
Singida wako bize na mambo yao hawana hata habari kama kuna mhadhara wa ccm
Na stori za kulialia kuonewa huruma kisa kupigwa risasi zitawasaidia nini?Story za madaraja na ndege zitawasaidia vipi walima alizeti wa singida,
Mi nashauri Lisu na yeye aitishe mkutano wake Singida siku hiyo hiyo ya September 2
[emoji23][emoji1787][emoji2960]Kama upinzani unategemea kushinda kupitia akili kubwa km za mtoa mada, ni Bora wangeelekeza nguvu kubwa kwenye udiwani. Au wakasubiri 2025.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app